Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

Alikuwa mstari wa mbele kusema ule usemi wa watala kuwa vijana wajiajiri waache uvivu ata kazi ya shoe shine inafaa kwa kijana graduate. Sasa cha kushangaza imegeuka kwake mbigiri zimeota kibaruani kwake sio kwa kumwaga machozi kule. Kumbe ajira tamu sana aisee. Aya tumkaribishe kijiweni ya kupangiwa kazi nyingine.
Apangiwe kazi kwa elimu ipi na kazi gani labda tumkaribishe kijiweni sisi ndo tumpangie kazi
 
Apangiwe kazi kwa elimu ipi na kazi gani labda tumkaribishe kijiweni sisi ndo tumpangie kazi
Ile yake ya zamani ya upiga debe,uchimba mchanga, uchomaji makaa.

Au ulifikiri ni kazi gani inaweza kumfaa zaidi ya hiyo mkuu.
 
Wakati mwingine huyo bwana anatia sana huruma maana nikifikiria itakapobainika alighushi cheti atakuwa hana tofauti na mtu aliyeishia kidato cha nne..

Yaani atakuwa alipoteza muda kusoma kuanzia certificate hadi kujipatia shahada yake!
Aanzie hapo hapo!

At least anavihela nao washkaji watamlipia! Asome tu
 
Acha wivu.
Afadhali wewe ulipangishiwa chumba manzese bei sio kali yule aliyepangishiwa makongo sijui atarudisha nyumba

Any way tutakomaa hadi bashite atoke tena tutampeleka mahakamani mwambie azamie huko huko SA
Wakati mwingine huyo bwana anatia sana huruma maana nikifikiria itakapobainika alighushi cheti atakuwa hana tofauti na mtu aliyeishia kidato cha nne..

Yaani atakuwa alipoteza muda kusoma kuanzia certificate hadi kujipatia shahada yake!
 
Wanabodi;
Salaam,
Nna hakika suala la Daud Bashite litachukua Sura mpya kuanzia kesho. Na ndo itakuwa mwisho wake. Tangu aingie madarakani mwishoni mwa mwaka 2015,Rais magufuli alikuwa akimsifia sana mkuu wa mkoa wa Dar.

Huyu ndo mkuu wa mkoa pekee aliyesifiwa sana hadharani! Kwa bahati mbaya huyo aliyemsifia ndo kawa wa kwanza kumuaibisha Rais wetu.

Ukiacha mkuu wa mkoa,wengine waliosifiwa ni kituo cha Radio na Tv vya Clouds media. Rais vyombo hivi amevisifia hadharani na hata kupiga simu katikati kipindi na kutoa maoni.

Vituo hivi ndivyo vilivyokuwa vimemkumbatia RC wa dar,vimejaribu kufanya poropoganda kumlinda Daud lkn vinaenda kuambulia aibu. Baada ya kuisha sakata la ndugu Daud vyombo vya clouds navyo vitatikiswa kwa kishindo kikuu..! Hawa jamaa wanakashfa za kutisha na zitaanza kuibuliwa mara tu baada ya Daudi kukubaliwa kujiuzuru hiyo kesho km atafanya hivyo..!!

Nawasilisha..
Afrika kusini....Mheshimiwa Rais anarudi....Hashim Mgandilwa anampokea......kifuatacho!!!!!!!
 
Safari Koromije moja hiyo...jiji lishamtumbukia nyongo arudi tu kijijini kwao akafanye kilimo na hivi mvua hazinyeshi maji ataita mma.usimdharau aliye chini yako..huijui kesho yake&huijui kesho yako.

Kaenda South Africa kuweka sawa vitega uchumi. yeye si mwenzio wa kurudi kijijini.
 
Masikini Bashite, anarudi kuwa "Mwananchi wa kawaida".

Kwa kosa alilofanya, anatakiwa kwenda jela.
 
Kule sauzi kuna mchungaji mmoja anawafanya watu wale nyasi kama mbuzi yani, kwa hiyo jamaa awe makini asije akala nyasi.
 
TUENDELEE KUOTA WATANZANIA WENZANGU , YAANI MNAZUNGUMZA KAMA MNAUHAKIKA MPAKA MNAFANYA PREDICTIONS ZA NANI AWE M-BADALA: HIVI MNADHANI TUNAJARIBIWA HIVYO? SASA NA MIMI NAOTA TUTAUNDA CHEO CHA MKUU WA WAKUU WA MIKOA KIJANA KAENDA KUJIFUNZA HUKO AKIRUDI ANATANGAZWA.
 
Back
Top Bottom