Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

Unatusemea wewe kama nani? sema wewe na familia yako kama wakazi wa Dar ndo mnamuhitaji mhalifu makonda.


Nawasemea nyinyi mimi nikiwa mwana Dar Es Salaam ninayepinga uhalifu wenu wauza unga....wengi wenu mnakasirika kwa kuwa mmekatiwa mirija, bado sana....tunataka kuwanyonga pia kwani tunamuomba Mh. rais asaini hii sheria.
 
Nasikia boss wa Clouds naye yuko kwenye list aliyonayo Sianga.


Jo Kusaga muda mrefu anahusishwa na madawa ya kulevya kwani hata wasanii wake wa bongo fleva aliokuwa anawatumia kuwapeleka Afrika Kusini na mizigo wanasema hivyo na hili pia linamuhusu kijana govi (Ruge Mutahaba) ambaye ni mkuu wa kusaka vijana wa kuwalostisha.
 
Alikuwa mstari wa mbele kusema ule usemi wa watala kuwa vijana wajiajiri waache uvivu ata kazi ya shoe shine inafaa kwa kijana graduate. Sasa cha kushangaza imegeuka kwake mbigiri zimeota kibaruani kwake sio kwa kumwaga machozi kule. Kumbe ajira tamu sana aisee. Aya tumkaribishe kijiweni ya kupangiwa kazi nyingine.
Hatupangii kazi nyingine form 4 failure
 
Nawasemea nyinyi mimi nikiwa mwana Dar Es Salaam ninayepinga uhalifu wenu wauza unga....wengi wenu mnakasirika kwa kuwa mmekatiwa mirija, bado sana....tunataka kuwanyonga pia kwani tunamuomba Mh. rais asaini hii sheria.
Muuza unga ni mama yako . Vita ya madawa ya kulevya inaongozwa na Tume sio Makonda. Msifiche uhalifu wa vyeti kwenye suala la Madawa.
 
Wakati mwingine huyo bwana anatia sana huruma maana nikifikiria itakapobainika alighushi cheti atakuwa hana tofauti na mtu aliyeishia kidato cha nne..

Yaani atakuwa alipoteza muda kusoma kuanzia certificate hadi kujipatia shahada yake!
Kiongozi; F.IV hana cheti halafu awe sawa na aliyeishia tena F.IV. Ushahidi kwamba alifika F.IV ni cheti cha F.IV. Kama hana cheti hakufika hicho kidato. Huyo ni STD. VII wala hakuna kumung'unya maneno. Soon litatokea "ajabu la dunia" la STD VII mwenye degree. Vijana wakiaswa wasome kwa bidii wakiwa huko mashuleni wanafanya ujinga na kuendekeza ujinga matokeo ndio hayo.

"Kadhia ya Bashite" au "Kashfa ya Bashite" kama ambavyo itatambuliwa kuanzia sasa hadi vizazi na vizazi itatumika kama rejea ya mifano bora kabisa ya kuepukwa katika taaluma na uongozi nchini. Watafiti, wanasiasa, wanafasihi, na waandishi wengi wataitumia kashfa hii kama rejea.
 
Anatumbuliwa SAA ngapi? Mr Daudi Albert... Leo nikiona tu ile barua nyeupe ina alama fulan kwa juu inazagaa mitandaoni najua kazi tayari
 
Tuweni na huruma jmn sheria ichukue mkondo wake km ni kweli, tusimseme sana inatoshaaaaaa" ukiona kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea" let's focus forward tuangalie pia namna ya kujikomboa na ugumu huu wa maisha, najaribu kuwaza kwa sauti tu!
 
Back
Top Bottom