Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Aheri ingekuwa hivyo ndugu, huyu daudi hada adabu kwa wakubwa zake, na ndoa maana hawezi funga goliNdugu kulikoni tena au na ww bashite alikuorodhesha kwenye makaratasi yake?
Aheri ingekuwa hivyo ndugu, huyu daudi hada adabu kwa wakubwa zake, na ndoa maana hawezi funga goliNdugu kulikoni tena au na ww bashite alikuorodhesha kwenye makaratasi yake?
Safari Koromije moja hiyo...jiji lishamtumbukia nyongo arudi tu kijijini kwao akafanye kilimo na hivi mvua hazinyeshi maji ataita mma.usimdharau aliye chini yako..huijui kesho yake&huijui kesho yako.
He's already gone.Bashite Must go!
You sound like one of his...Acha wivu.
Bhayo kagwa wa ng'wiseHuyu msukuma mwenzangu imemkalia vibaya Sana aisee. Mpaka namuonea huruma
Oleyomba geke tokadubhole maliwa ango ng'wana mayo! Nahene ngosha.sing'oki asilani anayetaka kuning'oa akang'oe mihogo
Huyo rais mwenyewe naye Bashite vilevile.
Unafikiri imekuwaje mpaka Bashite kapita kuwa mkuu wa mkoa kama nchi haina proper vetting kuangalia background checks?
Kitoto kimezaliwa 1982 tu juzi hapa watu wanashindwa kufanya background check?
Angekuja muhuni kazaliwa 1947 kweusi space huko hata pa kuanzia wangeweza?
Huyo RC wa Arusha anajulikana tabia zake ni wale wale nae ajiandae na background checks ni mjuaji sana akipewa dar tunaanza nae kama wateule wa Trump wanasumbuliwa baada ya kupata uwaziri.Ndio hivyo hivyo.
Zimevuja
HahaaaaaaaaaHuyo RC wa Arusha anajulikana tabia zake ni wale wale nae ajiandae na background checks ni mjuaji sana akipewa dar tunaanza nae kama wateule wa Trump wanasumbuliwa baada ya kupata uwaziri.
Alikuwa mstari wa mbele kusema ule usemi wa watala kuwa vijana wajiajiri waache uvivu ata kazi ya shoe shine inafaa kwa kijana graduate. Sasa cha kushangaza imegeuka kwake mbigiri zimeota kibaruani kwake sio kwa kumwaga machozi kule. Kumbe ajira tamu sana aisee. Aya tumkaribishe kijiweni ya kupangiwa kazi nyingine.Safari Koromije moja hiyo...jiji lishamtumbukia nyongo arudi tu kijijini kwao akafanye kilimo na hivi mvua hazinyeshi maji ataita mma.usimdharau aliye chini yako..huijui kesho yake&huijui kesho yako.