Maxmillian Macha
Member
- Sep 30, 2016
- 13
- 9
Ili tuendeleze zoezi la nyumba kwa nyumba kwa kuwakamata wale wote wasiyofanya kazi na wale wote waliyokaidi zoezi la kupiga nyumba zao rangi
Hili tuendeleze na zoezi la kupita nyumba kwa nyumba na kuwabaini wale wote wasiyofanya kazi pamoja na kuwakamata wote waliyokaidi zoezi la upigaji rangi nyumba zao.Karibu sana mtaani Bashite
Malizia sentence yako *alikiri kwamba nini*?Kuna dada nilisoma nae chuo mama yake ndio alimlea Bashite pale Mwanza...amekiri kwamba ......
JF ukisikia kitu changanya na za kwako! Kuna thread ilitoa list ya mawazir wa kutumbuliwa but where?kwa hiyo kesho anaachia ngazi mbona nasikia yuko kwa Zuma
Amosi wa Green city?Ikitokea hivyo bora Dar wamlete mtu mzima Makara
kausovu vizur msala wa wale maticha...ingekuwa dsm na mihemko ile ya watu cjui ingekuwaje?Nakuunga mkono, 100%. Amos Makala is the best
Hizo usizopenda ndizo sifa za mteuaji kwa kiongizi kama ulikuwa hujui wanafurahia ukiwa mnafiki unajipendekeza unaonea wapinzani.Uongozi ni busara!
Kwangu mimi huyo kijana wa arusha sio kiongozi bora..kiongozi aliyeweka akili muda wote kupambana na wapinzani wake huyo hafai hata kidogo!
Unatakiwa uwaze ni kwajinsi gani utatatua matatizo ya mkoa wako kwa kushirikiana na watu wa mkoa wako na sio kuwaza jinsi gani nitaonekana mimi ndio mchapakazi na hawa wengine waonekane wavivu!
Wale maadui watatu kwa mujibu wa Hayati baba wa taifa hawajaisha hadi tuanze kuwahitaji watu wanaowaona watanzania wenzao kama maadui zao kwasababu ya tofauti zao za kisiasa!
Patakuwa na raha yake.....!!!Nina was was utakuwa chunguNi , maana nimepita jirani na magogoni nikanusa
Bashite out
Gambo DSM
Yule Dogo mpenda media wa kinondoni kaenda Arusha
Daahh ,sorry Mkuu nilikuwa ndotoni ,ngoja tusubiri kesho , nione kama nimekuwa Yusuph MZEE wa ndoto
Huyu msanii wa elimu cheti atoe wapi? Laiti angekuwa nacho! Angeita waandishi wa habari kwenye hoteli ya kitalii na kuwatupia vyeti vyake wavipige picha!!Hivi cheti ameshatoa?
UNATAKIWA KUOTA USIKU,SI MCHANA KAMA HIVI !Wanabodi;
Salaam,
Nna hakika suala la Daud Bashite litachukua Sura mpya kuanzia kesho. Na ndo itakuwa mwisho wake. Tangu aingie madarakani mwishoni mwa mwaka 2015,Rais magufuli alikuwa akimsifia sana mkuu wa mkoa wa Dar.
Huyu ndo mkuu wa mkoa pekee aliyesifiwa sana hadharani! Kwa bahati mbaya huyo aliyemsifia ndo kawa wa kwanza kumuaibisha Rais wetu.
Ukiacha mkuu wa mkoa,wengine waliosifiwa ni kituo cha Radio na Tv vya Clouds media. Rais vyombo hivi amevisifia hadharani na hata kupiga simu katikati kipindi na kutoa maoni.
Vituo hivi ndivyo vilivyokuwa vimemkumbatia RC wa dar,vimejaribu kufanya poropoganda kumlinda Daud lkn vinaenda kuambulia aibu. Baada ya kuisha sakata la ndugu Daud vyombo vya clouds navyo vitatikiswa kwa kishindo kikuu..! Hawa jamaa wanakashfa za kutisha na zitaanza kuibuliwa mara tu baada ya Daudi kukubaliwa kujiuzuru hiyo kesho km atafanya hivyo..!!
Nawasilisha..
Wanabodi;
Salaam,
Nna hakika suala la Daud Bashite litachukua Sura mpya kuanzia kesho. Na ndo itakuwa mwisho wake. Tangu aingie madarakani mwishoni mwa mwaka 2015,Rais magufuli alikuwa akimsifia sana mkuu wa mkoa wa Dar.
Huyu ndo mkuu wa mkoa pekee aliyesifiwa sana hadharani! Kwa bahati mbaya huyo aliyemsifia ndo kawa wa kwanza kumuaibisha Rais wetu.
Ukiacha mkuu wa mkoa,wengine waliosifiwa ni kituo cha Radio na Tv vya Clouds media. Rais vyombo hivi amevisifia hadharani na hata kupiga simu katikati kipindi na kutoa maoni.
Vituo hivi ndivyo vilivyokuwa vimemkumbatia RC wa dar,vimejaribu kufanya poropoganda kumlinda Daud lkn vinaenda kuambulia aibu. Baada ya kuisha sakata la ndugu Daud vyombo vya clouds navyo vitatikiswa kwa kishindo kikuu..! Hawa jamaa wanakashfa za kutisha na zitaanza kuibuliwa mara tu baada ya Daudi kukubaliwa kujiuzuru hiyo kesho km atafanya hivyo..!!
Nawasilisha..
Lelo Ndelo museeMhhh kesho yaan leo???
Unatusemea wewe kama nani? sema wewe na familia yako kama wakazi wa Dar ndo mnamuhitaji mhalifu makonda.Wana Dar Es Salaam tunamuhitaji Makonda, ni mchapa kazi na anafanya kazi kwa niaba ya watanzania. Big up rais wetu kutupa mtu huyu kwa ajili ya jiji letu ambalo lilichafuka kupitiliza.