[h=2][/h]Katika hali isiyotarajiwa mshenga anaejulikana kwa jina la Gwajima akizungumza na waandishi wa habari leo hii amejikita zaidi ktka kujibu hoja za maskofu zaidi ya 30 kununuliwa na mzee wao. Hata hivo ilitegemewa kwamba angejikita zaidi ktka kujibu hoja zinazomhusu yeye mwenyewe lkn kaamua kuwajibia viongozi wote wa kidini. Waumini wake pamoja na wanainchi wengine wamesikitishwa sana na hali hiyo.
Kweli hawa ndio watu wenye kutoa mafundisho ya mwenyezi ,Mungu kubadilika na kuwa wanasiasa wenye uchu wa madaraka.
POLENI SANA WAUMINI WA MSHENGA.
Huyu anafanya siasa za kipuuzi sana.!
Mimi simuelewi kabisa huyu Gwajima, sasa yy ni mchungaji/au ni kada wa Chadema, anaongea mambo ya kisiasa kabisa na kutetea hija za kisiasa wakati yeye ni mtu wa dini, au ndo ametumwa na CHADEMA katika harakati za kuzima hoja za Slaa, anajimaliza kabisa kiroho, na wala waumini wenye uelewa wasigeweza kumuamini tena....ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu ampe Mungu
hii dawa ya leo imewaingia sawa sawa magamba
Hiyo msg aliylionesha inasomekaje?
Issue ya ushenga kasemaje?
Kwahiyo kumbe Slaa ni muongo hakuambiwa na Gwajima kuhusu maaskofu kuhongwa.
Gwajima mbona anaongelea zaidi ndoa ya Slaa kuliko hoja?
Gwajima ana uzoefu na ndoa ni Askofu na ameoa mbona yeye ni muasherati pia? (hili nina ushahidi ndio maana nimeandika)
Ccm habari yake imeisha kabisa. Lowasa anasubiri kuapishwa tu. Mungu ibariki TanzaniaHuu uchaguzi strategy zinazotumika si mchezo-Lowassa yuko background halafu wapambe,s are leaving no stone unturned- Kubenea nae mbeya kamaliza kabisa Mwakyembe-yaani CCM sijui watapenya vipi- yaani kama tuko mamtoni vile
Kasema alikuwa anarekodi na ameonyesha sms ya dr slaa
Tatizo ni JK. Alipaswa kuwa mkali kidogo. Ameshusha hadhi ya urais na mamlaka zote za serikali. Yaani yeye kila kitu ni kucheka tu na kugawa vyeo kwa marafiki zake. Matokeo yake ndo haya sasa. Huwezi kujua yupi ni yupi na nchi inakwenda tu kama boya. Rais ajaye atakuwa na kazi kubwa kurudisha hadhi ya taasisi ya urais na taasisi nyinginezo za nchi. Hovyo kabisa!
tusubiri tarehe 25/10Haya ndio yakuzungumza ndugu lakini tukitaka kuegemea kila mtu upande mmoja tutaumana sana.
Nahisi wanajiandaa kuachia ngazi; CDM sasa hivi kumejaa figisufigisu...
himo humu humu jf,imepostiwa jana nadhani ni hiyo https://www.jamiiforums.com/uchaguz...a-asingeweza-kushinda-urais-mwaka-2015-a.htmlMwana nipe link ya kubenea kummaliza Mwakyembe
nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
Naona Gwajima anachonganisha zaidi.
Mi nadhani upumbavu ni kuamini kwamba...Upumbavu ni kuamini kila asemacho Gwajima