mkuu, hii dozi ya leo si ya kitoto ati! magamba wasipopona kwa dozi hii wasubiri kifo tu, hakuna jinsi...tumechoka!
Magazeti ya kesho, yapigwe marufuku mtu kununua magazeti zaidi ya matatu.
Watu wengi wamekosa hotuba ya leo kwa sababu sehemu kadhaa zilikosa umeme. Hivyo, kesho muuza magazeti ukiruhusu mtu anunue mengi kwa mkupuo, wakati hujui anapeleka wapi, kuna hatari ya kuwa yamenunuliwa na mtu ambaye hataki hotuba ya Askofu Gwajima isambae na huenda anafanya kampeni yachomwe moto huko anakoyapeleka.
Ni lazima tuwe wabunifu ku-preempty technicalities kama hizi.
Viva Askofu Gwajima, viva mwana-JF kwa kunielewa.
Lini kwanza alioa? Unaweza kuweka ushahidi wa hiyo ndoa??Ivi Dr. wa MIHOGO aliamua kuoa kwa sbb gani?
yaani anatuletea habari zisizo na mashiko.
Yaani askofu anakashfa za ndoa kibao..afu naye anamsema mwenzie
Magazeti ya kesho, yapigwe marufuku mtu kununua magazeti zaidi ya matatu.
Watu wengi wamekosa hotuba ya leo kwa sababu sehemu kadhaa zilikosa umeme. Hivyo, kesho muuza magazeti ukiruhusu mtu anunue mengi kwa mkupuo, wakati hujui anapeleka wapi, kuna hatari ya kuwa yamenunuliwa na mtu ambaye hataki hotuba ya Askofu Gwajima isambae na huenda anafanya kampeni yachomwe moto huko anakoyapeleka.
Ni lazima tuwe wabunifu ku-preempty technicalities kama hizi.
Viva Askofu Gwajima, viva mwana-JF kwa kunielewa.
Hakuna hoja ya Slaa iliyo jibiwa na huyu tapeli zaidi ya mashambulizi binafsi....
well SaidMda mrefu anautumia kutuambia mambo ya familia ya dr slaa wakati ya kwake naye tunayajua na kina mbasha,,, jibu hoja gwajima tupé uthibitisho kwa nini hawa maaskofu 30 hawakuchukua mlungura?? wale viapo na wewe kula kiapo mbele za Mungu kama hukusema hayo maneno ,, dr alikuwa jasiri siku nyingi kuyasema haya kabla hata 2015 leo eti mnakuja kutuambia tatizo urais,, kwani dr slaa ameanza kumuita leo LOWASSA fisadi?? Gwajima hiyo ngoma huiwezi tunakuona kituko au mkurupukaji tu kama lissu,, ndio wale mliitwa vifaranga na ZZK,, sio bure ila kuna shida mahali inawasukuma lakini ni muda ndio utasema,, GWAJIMA leo amekuwa lulu na watanzania mnamsikiliza wakati enzi zile watu wako msituni wanapambana yeye alikuwa bize na kanisa lake,, hana jasho wala damu kwenye harakati hizi za kujikomboa baadala yake tunamuona kama kibaraka tu,, slaa ametoka jasho na damu kwenye hizi harakati na wengine mlikuwa mkila tu keki ya taifa kwa kuchangisha waumini wenu eti leo mko Mbele kuwakebehi mtu kama dr slaa... Jibu hoja gwajima na kutengeneza ushahidi utakaofanya watu wakuamini na si hizi sinema..
Delila alimwambia wazi Gwajima kua bila kumuomba na kumbembeleza yeye, Dr Slaa hawezi kubadili mawazo!!
Hapa ndipo Gwajima anapojidhihirishia kuwa yeye ni Mshenga