Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Mbona naona kama anaongea umbea uliochanganyikana na ujinga?
Eti anawachimba usalama wa taifa mkwara,huwezi kupambana na TISS ndugu Gwajima.
 
Gwajima ameonesha umahiri wa kujibu maswali ya waandishi
 
CCM wamekata live broadcast ya Chanel Ten. Watulie tu sindano ziingie hawa washenzy!
 
Ngwajima alifaa kufungua band ya taarab kabisa....
 
nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?

Mbona wewe ulimfuatilia dr Mhogo, na usiku ukajiunga na tbccm kwenye marudio, kwani unafanya kazi muda gani? Simbilisi wewe!
 
Una uhakika waliokuwa pale wote ni waandishi wa habari?
 
Kwa yaliyoibuka leo kupitia Askofu Gwajima. Dr. Slaa ndembendembe kwishnei! Dah. Kweli Delila ni hatari sana na dhambi ya usaliti inamtafuna. Bora akimbie nchi.
 
Sikiliza vizuri ile clip ya Gwajima, hakutukana wala kuwadharau maaskofu wa katoliki bali alisema kuhusu Pengo peke yake kwa kwenda kinyume na makubaliano ya maaskofu. Mkuu usitugawanye kidini

Sure, hata mie mwadhama alinikwaza..kwakuwa alienda kinyume na wenzake wa TEC
 
Ndugu zanguni

Nimeshangazwa sana leo kuona eti Gwajima kawa ndio msemaji wa UKAWA

Niwaulize tu, hivi mashehe nao wangepanda jukwaani kisiasa kama Gwajima hii nchi ingekuaje?

Tunakoelekea sio kuzuri, UKAWA ni wadini na wanatupeleka kubaya.

Hii nchi sio ya kidini na haina dini
 
Back
Top Bottom