Channel 10 Inaonyesha Mkuu.mbona hizo channel 10 na sibuka zina mambo mengine tu!
Sasa kuna issue ya mzigo huko south Afro sasa sijui ni mzigo gani?
Starccm tv na tbccm tv hawapo?
Duh! MSHANA inaelekea upo deep sana na mambo ya kirohoRoho zimekutana watazamaji tupo
Yaan huyo anatuletea mambo ya ndoa za watu
Sizani kama ndoa ya DR Slaa watanzania inatuhusu
Ndoa zetu nitosha kabisa tunachotaka nimambo ya msingi yenyekujenga taifa letu la Tanzania, au nayeye kahongwa aseme tu ukweli
Exactly Mkuu,yan Ukawa Wanabaki Kushambulia Familia Ya Dr. Instead Ya Kujibu Hoja..Huyu Gwajima Atueleze Watz Kwanin Wewe Kiongoz Wadin Ujihusishe Na Siasa Tena Direct Kabisa?Hata Amiri Jesh Mkuu Anaweza Kuendeshwa Na Mkewe Sembuse Slaa,familia Ngap Kanisan Kwake Zinamatatizo Nazo Hzo Anazitangazaga Hadharan?
Sasa Ocampo hiyo avatar yako unalia nini? Unamlilia Slaa?
Hao wanashangilia ni akina nani.