Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Hapana mkuu .
Ni afrika, ukifikisha 70 unajiandaa kufa ila mbele una miaka 70 unataka urais...
Yeye anaona ashamaliza anakufa soon
 
Na ningetamani azamie kwenye bahari na mwili wake usionekane tuone lile jeneza na kaburi atawekwa nani..........kuna kitu kinamfuatiia huyo.
Ni kweli mkuu, akipanda boti la Zanzibar na akapotelea Nungwi, hata ndugu itabidi wachome jeneza na kufukia mgomba kaburini badala ya Saba Sita.
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.


Huyu jamaa alikuwa mkorofi sana Arusha na
7676 ni namba yake ya jeshi.
Wala hakuwa mbaya kama mnavyo fikiria. Ila tangu ujana wake ni mtu wa masifa. Ali anza kazi Arusha mjini.

Nimesoma Meru Primary, na o level Arusha huyo jamaa alikuwa katili wa kutupwa, wala sijahadithiwa, nasema nachojua.
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
anaogopa kufa, woga tu hana lolote
 
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.

Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.

Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.

Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Mbona kawaida sana hiyo mkuu , kuna nchi wanajinunulia sanda pamoja na mashimo yanaandaliwa mapeema ukifa tu siku hiyo hiyo watu tunafukia na inaokoa gharama kwa kweli .
 
Huyu jamaa alikuwa mkorofi sana Arusha na

Nimesoma Meru Primary, na o level Arusha huyo jamaa alikuwa katili wa kutupwa, wala sijahadithiwa, nasema nachojua.
Psychological payback time, lazima itakuwa halali, mizimu na mapepo yna muwinda.
 
Sabasita kafanya ushenzi mwingi sana akiwa kazini. Hapo hana kabisa furaha na haya maisha. Mimi nikiwa mdogo mkoani Arusha nilimsikia sana Sabasita kwenye ishu za kikatili dhidi ya wahalifu. Alivuka mipaka ya ukatili.
Haya yatakuwa ndio matokea yake. Askari wengi watakuwa wanapitia haya, sema huyu kwasababu ni famous na kaamua kutumia media.
 
Basi damu za watu zitakuwa zinamsumbua, maana kastaafu mwaka jana. Miaka 61 sio mingi sana, badala ya kufanya maendeleo, yeye anawaza mambo ya mazishi tu. Kina Kishimba, Bakressa wana miaka 70+ na wanatafuta pesa mpaka sasa.

Nadhani damu huwa baadaye zinawasumbua sana askari wengi, wengine wanatesa watu lock-up hadi wanapoteza uhai.

Hilo jina Sabasita nilisikia ilikuwa ni namba yake ya u-polisi kwenye uniform yake.

Bakhresa sio Askari, hajawahi kuwa Askari. Kazi zake na maisha yake vinamtegemea Askari kwa ulinzi na usalama wake.

Kishimba sio Askari, hajawahi kuwa Askari. Kazi zake zinarandana sana na majukumu ya Askari na kuwatumia katika kutimiza majukumu yake na malengo yake.

Sabasita ni Askari mpaka anaondoka hapa duniani. Kazi zake zote ni wito wa kutimiza majukumu aliyopangiwa na sio pungufu ama zaidi.

Matokeo ya majukumu ya Sabasita na matokeo ya majukumu ya Kishimba yanayofautiana kwa mmoja kutimiza wajibu na mwingine kutafuta maslahi.

Lakini matokeo ya majukumu ya Bakhresa ni tofauti dhidi ya wote na yanaweza kumfuata kwa mawimbi tofauti kutokana na history ya wajibu wake katika jamii.

Japo kwa wote watatu mwisho ni mmoja lakini hao wawili wa kwanza wanaweza kufanana sana namna yao ya ku exit huku huyo mmoja (B) akiondoka kwa utofauti mkubwa zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom