masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Mauti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiakili. Kuna mahali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Kuna harufu ya damu inamfukuzia.