benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dares Salaam lilipokea taarifa kuwa tarehe 29/11/2023, Saa sita usiku maeneo ya Sinza Mapambano Kinondoni askari wawili walimjeruhi kwa risasi mu mmoja aliyefahamika kwa Jina la Razaki Azan mwenye umri miaka 29 mlinzi binafsi wa Bar itwayo Board room iliyopo Sinza Dar es salaam ambaye baaade alipoteza maisha.
Jeshi la Polisi tayari limewakamata askari hao na mambo ya kisheria yanakamilishwa na watachukuliwa hatua za kisheria haraka Kadri iwezekanavyo kwa kufuata mifumo ya kisheria kiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospital ya Rufaa Mwananyamala kukamilisha uchunguzi.
Video hizi zifuatazo chini zinaonesha namna hali ilivyokuwa kabla ya tukio la Askari kufyatua risasi
Jeshi la Polisi tayari limewakamata askari hao na mambo ya kisheria yanakamilishwa na watachukuliwa hatua za kisheria haraka Kadri iwezekanavyo kwa kufuata mifumo ya kisheria kiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospital ya Rufaa Mwananyamala kukamilisha uchunguzi.
Video hizi zifuatazo chini zinaonesha namna hali ilivyokuwa kabla ya tukio la Askari kufyatua risasi