Sinza is an administrative ward near the Kinondoni district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 36,469.
Habari za muda huu Wana-JF wenzangu, natumai mko salama.
Leo kwenye jukwaa la burudani na kumbukumbu (Zilipendwa), natamani tuutazame kwa ukaribu wimbo mmoja maarufu sana uliorekodiwa miaka ya 1980 na bendi nguli ya Orchestra Bima Lee. Huu si mwingine bali ni wimbo wa "Mwamvua", ambao wengi...
Hatimaye vacation yangu ndani ya Dasalamu imeharibika rasmi na kuingia nuksi baada ya kujichanganya na kukanyaga Velvet club Sinza!
Muhudumu anakuja kukusikiliza huku anakuletea nyonyo kifusi zimazima usoni. Kisha mkwanja wa bili unatakiwa uuchopeke katikati ya mtindi.
Mbaya zaidi na...
Eneo la Sinza C, hususan karibu na Chuo cha Sheria, ni miongoni mwa maeneo yanayokumbwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji.
Wananchi wanalalamikia ukosefu wa maji wa mara kwa mara, huku wakieleza kuwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) haijatoa maelezo ya...
Serikali ilitangaza kuanza kwa mchakato wa kuboresha eneo la Sinza ili kulifanya kuwa la uwekezaji na kwamba Wananchi watapewa maelekezo ya kuyaachia maeneo yao kwa makubaliano maalum ya uwekezaji.
Kikao kilichopita kati ya wawakilishi wa Serikali na Wananchi kwa asilimia kubwa hakikuwa na...
Midoli ya kike yenye kuonyesha viungo vya uzazi vya mbele na vya haja kubwa imekuwa ikizagaa madukani na kuvalishwa chupi na mingine sidiria pasi na kusahau shanga!
Midoli hiyo pia ambayo ipo uchi imekuwa ikiacha maziwa yaliyosimama yakiwa wazi, huku watu wa jinsia zote wakijione pasi na...
Habari,
Mimi ni mkazi wa Sinza Madukani kuna mradi wa majitaka unaendelea tokea mwanzoni mwaka 2025 ..Lakini huu mm Mradi umekua kero na Usumbufu kwa wakazi wa Sinza Madukani pamoja na eneo ya hapa.
Mradi wamefanya uharibu wa miundo mbinu ya barabara pamoja na maji wamechimba barabara...
Natoa wito kwa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuuangalia kwa karibu mpango wa uendelezaji upya wa eneo la Sinza, Dar es Salaam, unaoratibiwa na Manispaa ya Ubungo, kutokana na kuwepo kwa viashiria vya shinikizo na ukosefu wa uwazi.
Kwa muda sasa, wananchi wa Sinza tumekuwa...
Just for curiosity: Wamiliki watahamishwa kwenda " Msovera" au watalipwa kupisha wajomba toka Arabuni?
Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza jijini Dar es Salaam, wamiliki wa nyumba katika eneo hilo wamehoji ni wapi watakwenda kuishi mpango huo...
Sio mgeni wa jiji nipo hapa 10+ years shoot in and out . Kuanzia masomo mpaka kazi mpaka unemployed. I declare my interest Kama kuna mtu ana kibarua naomba.
Turudi kwenye mada baada ya miaka kama miwili kutorudi mjini week hii nikaamua kuja kidogo kusuuza nafsi baada ya kumpiga kanji mahali ...
Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza.
Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10.
Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu.
Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka...
Nyumba ya kupanga Kali sana
Ina nyumba viwili vya kulala vyote master
Ina sitting room majiko
Balcony nyuma na mbele.
Full AC
Kodi ni miliioni 2 kila mwezi.
Nipigie simu Kwa ukaguzi📱0754693556
Note:sitozi services charge mkuu.
Mimi ni mtumishi wa mkataba na hudumu katika Kituo cha Afya cha Sinza Hospital (maarufu kwa jina la Hospitali ya Sinza Palestina) kilichopo Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam.
Kero yangu ni kwamba Watumishi kuanzia Wauguzi wasaidizi (nurse), Madaktari wote wa Mkataba tunakumbana na changamoto ya...
KInachoendelea huko Mabatini Sinza, kituo cha polisi kimetiwa moto, polisi nao wapigana kujaribu kuwadhibiti wananchi lakini wanazidiwa nguvu.
Kwa upande mqingine wanajeshi wameanza kuungana na wananchi. Mambo yakiendelea vizuri siku itaisha nchi ikiwa mikononi mwetu.
Hayo maeneo ni sehemu ya city centre kwa hiyo yanatakiwa yaboreshwe
Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo
Hayo maeneo yatajengwa gorofa kuanzia 5 na mpaka 100
Wale wote wenye maeneo watatoa maeneo hayo na kuwapa madeveloper
Madeveloper watajenga...
Shalom Wana Mungu alie hai
Ningependa nikujuze tu hili kwa NDUGU Yangu MMOJA yaliyomtokea Jana
Alishuka maeneo flan akasema ale chakula Moja ya fastfood za sinza
Alipomaliza akaletewa bill ndogo chakula kila kitu kama 24000
Kijana akapiga m Niko busy ma mambo yanguuu
MWISHO akatuma msg dah...
Wazee wa kazi kuna chimbo la madini adimu lipo hapa sinza opposite na Mlimani City, jirani na Survey discipensary. Ni sehemu hizi nyumba zipo kama makazi ya watu tu.
Mwenye details zozote kuhusu hili chimbo alete tuone kama kunachimbika au vp.
Baada ya video iliyoonyesha bango mjongeo lilikokuwa na ujumbe wa no reforms no elections, uongozi wa Bar ya Small Planet iliyopo Sinza waibuka na kulaani vikali tukio hilo ukisema hawahusiki na kilichotokea.
---
Uongozi wa kampuni ya SMALL PLANET ENTERPRISES LIMITED ambayo ni miliki wa bar ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.