Askari waliotuhumiwa kumuua Mlinzi wa Boardroom wafukuzwa kazi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limewafukuza kazi askari wawili wa Kituo cha Mabatini wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mlinzi wa baa ya Board Room, Riziki Azan (29).

Azan ambaye alikuwa mlinzi wa baa hiyo iliyoko Sinza jijini hapa, aliuawa usiku wa kuamkia Novemba 29, mwaka huu wakati askari hao wakitaka kumkamata muhudumu wa baa hiyo kwa madai anafanya biashara ya kujiuza.

Hata hivyo, siku moja baada ya tukio hilo kutokea, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kupitia Kaimu Kamanda, Gabriel Pupa alitoa taarifa akisema kuwa wanawashikilia askari wiwili wakihusishwa na tukio hilo.

Akizungumza na chombo kimoja cha Habari, Kamanda Pupa amesema askari hao wameshachukuliwa hatua za kinidhamu kwa kufukuzwa kazi huku mmoja wao akifikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji.
 
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limewafukuza kazi askari wawili wa Kituo cha Mabatini wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mlinzi wa baa ya Board Room, Riziki Azan (29).

Azan ambaye alikuwa mlinzi wa baa hiyo iliyoko Sinza jijini hapa, aliuawa usiku wa kuamkia Novemba 29, mwaka huu wakati askari hao wakitaka kumkamata muhudumu wa baa hiyo kwa madai anafanya biashara ya kujiuza.

Hata hivyo, siku moja baada ya tukio hilo kutokea, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kupitia Kaimu Kamanda, Gabriel Pupa alitoa taarifa akisema kuwa wanawashikilia askari wiwili wakihusishwa na tukio hilo.

Akizungumza na chombo kimoja cha Habari, Kamanda Pupa amesema askari hao wameshachukuliwa hatua za kinidhamu kwa kufukuzwa kazi huku mmoja wao akifikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji.
Kwa nini ameshitakiwa Mahakamani Askari mmoja tu ikiwa wawili ndio waliofukwa kazi kwa kosa hilohilo moja??
Je, Immediate Commander aliyeongoza hiyo doria naye pia amefukuzwa na kufikishwa Mahakamani??
Kwanza ni kwa nini majina ya hao Askari Polisi waliohusika na uhalifu huo hayawekwi hadharani?? Why?? Mbona wahalifu wengine kama hao majina yao yamekuwa yakiwekwa hadharani, kwa nini majina ya hawa yanafichwa kuwa Siri?
 
Kwa nini ameshitakiwa Mahakamani Askari mmoja tu ikiwa wawili ndio waliofukwa kazi kwa kosa hilohilo moja??
Je, Immediate Commander aliyeongoza hiyo doria naye pia amefukuzwa na kufikishwa Mahakamani??
Kwanza ni kwa nini majina ya hao Askari Polisi waliohusika na uhalifu huo hayawekwi hadharani?? Why?? Mbona wahalifu wengine kama hao majina yao yamekuwa yakiwekwa hadharani, kwa nini majina ya hawa yanafichwa kuwa Siri?
Si mmoja tu ndo alifyatua risasi
 
Excellent, police wetu awamu hii ya 6, ya Mama yetu, Rais wetu, Dr. Samia Suluhu Hasssan, hakika wanatenda haki sanaaaa, kwenye ukweli tuseme ukweli, police wetu Tz hivi sasa wanawazidi polisi wa Marekani, EU na nchi karibu zote za Africa, kwa wale wanatembea dunia hii kama mimi hili nasema kwa uwazi kabisa, kwa sasa Tanzania Police is the best, awamu hii ya 6 hakika polisi wetu sina shaka hata kidogo na utendaji wao, majambazi almost yameisha, yaani usalama wa uhakika, ila kidogo wadili na wale wa nguo nyeupe barabarani, kuna shida kidogo ya kutaka kitu kidogo..

Vyama vya upinzani hadi wanalindwa awamu hii ya 6, imagine, ila bado wana dharau sana, wanatukana serikali hiyo hiyo inayowalinda, hakika akutukanaye hakuchagulii tusi.

All the best Tz Police
 
Si mmoja tu ndo alifyatua risasi
1. Kwa nini sasa wamewafukuza kazi Askari Polisi wawili ikiwa kama aliyefyatua risasi ni mmoja tu?
2.Huyo Askari Polisi aliyefyatua risasi, Je, alifanya hivyo bila kuamriwa na Kamanda wake aliyekuwepo wakati huo (kiongozi wa msafara wa doria)?
3.Endapo kama Immediate Commander hakuwepo kwenye hiyo doria, Je, huo ndio utaratibu sahihi wa utendaji katika majeshi kama hili Jeshi la Polisi? Mkuu wa Kituo cha Polisi walikotokea hao Askari naye amechukuliwa hatua gani za kisheria?Je, aliruhusu vipi silaha kutoka kwenye kituo chake bila ya kuwa na Kiongozi maalumu ambaye angehakikisha kuitunza na kusimamia matumizi sahihi ya silaha aliyoidhinisha itoke kutoka kwenye kituo chake?????
Kumbuka: Silaha ni KIFO endapo kama itatumika au kutunzwa vibaya.
 
1. Kwa nini sasa wamewafukuza kazi Askari Polisi wawili ikiwa kama aliyefyatua risasi ni mmoja tu?
2.Huyo Askari Polisi aliyefyatua risasi, Je, alifanya hivyo bila kuamriwa na Kamanda wake aliyekuwepo wakati huo (kiongozi wa msafara wa doria)?
He assume the risk.....
wanasheria wanajua hii. Watafute wakusaidie
 
Silaha ni Hatari.

Silaha haipaswi kukabidhiwa kwa mtu ambae ana mihemko.

POLISI TOENI SILAHA KWA ASKARI AMBAO HAWANA MIHEMKO ILI TUKIO KAMA HILO LISITOKEE TENA.
 
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limewafukuza kazi askari wawili wa Kituo cha Mabatini wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mlinzi wa baa ya Board Room, Riziki Azan (29).

Azan ambaye alikuwa mlinzi wa baa hiyo iliyoko Sinza jijini hapa, aliuawa usiku wa kuamkia Novemba 29, mwaka huu wakati askari hao wakitaka kumkamata muhudumu wa baa hiyo kwa madai anafanya biashara ya kujiuza.

Hata hivyo, siku moja baada ya tukio hilo kutokea, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kupitia Kaimu Kamanda, Gabriel Pupa alitoa taarifa akisema kuwa wanawashikilia askari wiwili wakihusishwa na tukio hilo.

Akizungumza na chombo kimoja cha Habari, Kamanda Pupa amesema askari hao wameshachukuliwa hatua za kinidhamu kwa kufukuzwa kazi huku mmoja wao akifikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji.
Hao askari hawana majina??!!
 
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limewafukuza kazi askari wawili wa Kituo cha Mabatini wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mlinzi wa baa ya Board Room, Riziki Azan (29).

Azan ambaye alikuwa mlinzi wa baa hiyo iliyoko Sinza jijini hapa, aliuawa usiku wa kuamkia Novemba 29, mwaka huu wakati askari hao wakitaka kumkamata muhudumu wa baa hiyo kwa madai anafanya biashara ya kujiuza.

Hata hivyo, siku moja baada ya tukio hilo kutokea, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kupitia Kaimu Kamanda, Gabriel Pupa alitoa taarifa akisema kuwa wanawashikilia askari wiwili wakihusishwa na tukio hilo.

Akizungumza na chombo kimoja cha Habari, Kamanda Pupa amesema askari hao wameshachukuliwa hatua za kinidhamu kwa kufukuzwa kazi huku mmoja wao akifikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji.
Kuanzia Leo sio Polisi tena..
 
Back
Top Bottom