Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Wakuu matusi ya nini tena nyie Arsenal siyo wa kwanza kufungwa. Man U Chelsea Man City wote wamechezea vipigo na hawajawahi kutukana


Mkuu kwani wewe ni mgeni wa mashabiki wa Arsenyo? Hili jukwaa la Arsenyo ni zuri siku timu ikishinda, kutwa kusifia ujinga na kupeana false hopes ila siku ikifungwa inakua ndio siku ya kutoa nyongo kwa wale waliodanganywa kwa muda mrefu na kuaminishwa matumaini hewa.
#Hii sasa ndio Arsenyo ya asali na maziwa.
#Mirembe Anbitabo Fc

ivi mnafikiri ndo nyinyi tu mna majeruhi pekee yenu , sasa na sisi tukianza kusema bora angekuepo tonali, isak, barnes, botman , enderson na wengine kibao au tusingizie burns kaumia.