Imekuwa partey akiwepo tena



, na si arsenal ina kikosi kipana kama mlivyokuwa mnapeana false hopes sasa ndo muda kuwaonyesha jinsi gani mnapeana false hopes.
Yaani et partey angekuwepo

ivi mnafikiri ndo nyinyi tu mna majeruhi pekee yenu , sasa na sisi tukianza kusema bora angekuepo tonali, isak, barnes, botman , enderson na wengine kibao au tusingizie burns kaumia.
Timu kubwa inapimwa kwa fighting spirit iliyonayo na team inazocheza nazo ndani ya week 4 Newcastle kacheza na PSG, Dortmund, man city, man utd, westham , wolves na bado kafungwa game 1 tu still na injuries kibao .
Arsenal nyinyi hamna vyote team wala fighting spirit wala kikosi kipana mlichonacho nyinyi ni FALSE HOPE ONLY
View attachment 2804049
View attachment 2804050
Acha kulialia mkuu , fanya ivii nembu unganisha hiyo picha hapo maana huna kazi za kufanya false hoper wewe