Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

|| Juventus have reportedly requested the file of Charlie Patino, who is currently on loan at Swansea City. He can allegedly leave, but only for the right price, which is reportedly €30m (£26m). First talks have already begun [Via - @CMDotCom].
 
Sote tunajua Newcastle ni timu nzuri tangu msim uliopita ila bado sijaiona Newcastle ya kuifunga Arsenal inayotegemea kuchukua ubingwa msimu huu sote tunajua hawa vijana walikutana na Manjesta utd timu mbovu iliyojichokea sana msimu huu
 
Sote tunajua Newcastle ni timu nzuri tangu msim uliopita ila bado sijaiona Newcastle ya kuifunga Arsenal inayotegemea kuchukua ubingwa msimu huu sote tunajua hawa vijana walikutana na Manjesta utd timu mbovu iliyojichokea sana msimu huu
hamna aliyejua kuwa West ham atatupiga tatu,
Tusiwe na matarajio makubwa sheee
 
Kwa Ile midfield ulitegemea ipate chochote kitu sio?
Baada ya matokeo ndiyo unasema hivyo?
Utasingizia Rice? aliingia dk 57
Au Viera ambae mara nyingi amekuwa akitupa matokeo timu ikiwa inamuhitaji?

Hamna cha kisingizio tukubali tuu hamna haya ya kujiaminisha kila mechi wakati hata timu nyingine zinahitaji matokeo.
Kuna watu humu kazi yao ni kusifia tuu hata kwenye ukweli hawakubali,
 
Back
Top Bottom