Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Goli gani hili?
Me naona anacheza kama namba 3 pekee yake.Mafia
Mkatili
Namuona anacheza namba zaidi ya mbili, anafanya defence anafanya attacking kwa ubora ule ule
Nenda kachezeshe mpiraHili goli, wamelilazimisha, mpira kutoka, faulo, kisha offside. 😂
Hili goli sijalielewa...mechi ikiisha hivi wakagundua walifanya makosa wasituombe msamaha maana haitasaidia😀😀😀Hili goli, wamelilazimisha, mpira kutoka, faulo, kisha offside. 😂
Tukiwa tunawaeleza ukweli Acha kuweka mapenzi ya kipumbavu kwa team wakati ukweli moyoni unao kwa mid ya Kai na Jorginho huwezi pata results abadani so next time ukiwa unaelezwa na wakubwa wako uwe unaelewaTurudi baada ya dakika tisini uncle Tom
😂Msamaha watatuomba tu, huyu bruno tu, hapaswi kuwepo uwanjani mpaka muda huuHili goli sijalielewa...mechi ikiisha hivi wakagundua walifanya makosa wasituombe msamaha maana haitasaidia😀😀😀
Tukiwa tunawaeleza ukweli Acha kuweka mapenzi ya kipumbavu kwa team wakati ukweli moyoni unao kwa mid ya Kai na Jorginho huwezi pata results abadani so next time ukiwa unaelezwa na wakubwa wako uwe unaelewa





