Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni sana wakuu. Ninyi ni mataito kontenda, lazima muwe mabingwa msimu huu. Hahahaha😀😀😀
 
.........................Kai

Martinel..........ode............saka

.........Trossad.........Rice

Zinny.......Gab.....Saliba......white

Tukiingia hivi leo, itakua poa Sana
Kweli kweli😀😀😀
 
Tumefungwa, so what?!
Tumegaragazwa, tuinuke, tujifute, tuingie tena uwanjani, asiyekubali kufungwa siyo....
Ila issue ya Kai na Raya inasumbuwa, tukumbuke msemo wetu kwa Gaffer Arteta, 'trust the process'...
C O Y G.
 
Nyie Kima mpaka muda huu bado mmelala kwa raha gani haswa mliyo nayo?
Amkeni mpige deki Nyau nyie
1692638200452.jpg
 
Hapo ndio uone connections zipo mpaka ulaya, yani mchezaji ambae hana uwezo yuko tayari kuvumiliwa na kucheza dakika zote 90 wakati kuna watu wanaoweza kucheza nafasi hiyo hiyo wakakupa kitu bora zaidi.

Kwani Arteta angesema ampe nafasi Trossard kucheza LCM badala ya Havertz kungekua na shida gani?

Unamuona kila siku Trossard anatokea sub kisha anakupa positives tu, malipo yake mechi inayofuata anapewa nafasi mtu mwengine.

Sawa Arteta unajaribu ku cover up your shit but si kwa dizaini hii.. Na sisi fans unatuchosha!
bado hamjasema..
 
Akili kubwa
Hapo hamna kocha...tunapeana matumaini ya kipumbavu sana....
Hua nikimuona nketiah,harvetz na georgino lazima game itunyee,,,,

Kuna jamaa alikuwa anasema mashabiki wa Arsenal ni makondoo sasa naamini japo huwa sipendi kutumia neno wanyama au kutoa maneno ya kukera kwenye jukwaa. Lakini hili ngoja niliseme na lipite.

Kwann ni makondoo kwasababu juzi tu Nketiah amefung hat trick. Mlimpamba kweli kweli mara bonge la mchezaji mwenye hat trick pekee ipielo



Leo imekuaje mnapondaaa ? Tuendeleeni kuburudika. Hakuna timu isiyo fungwa ipielo ukifungwa unajipanga upya safari inaendelea. Lakini kwenu ni tofauti mnataka mshinde mechi zote mnafikiri mna boraaa kuliko zingine.
 
Hapo ndio uone connections zipo mpaka ulaya, yani mchezaji ambae hana uwezo yuko tayari kuvumiliwa na kucheza dakika zote 90 wakati kuna watu wanaoweza kucheza nafasi hiyo hiyo wakakupa kitu bora zaidi.

Kwani Arteta angesema ampe nafasi Trossard kucheza LCM badala ya Havertz kungekua na shida gani?

Unamuona kila siku Trossard anatokea sub kisha anakupa positives tu, malipo yake mechi inayofuata anapewa nafasi mtu mwengine.

Sawa Arteta unajaribu ku cover up your shit but si kwa dizaini hii.. Na sisi fans unatuchosha!

Mpaka msemee na bado hamjasemaa
 
Yeah rumour has it ...inasemekana FA wanajarbu kumkumbatia pep ndo mana man city wanakua favoured sana ..ili tu aje awe coach wa England

Huzi ni sababu mfu.

Kwamba ana be favoured na kuzawadiwa magoli sita juuu. Acheni sababu zisizo na maaana. Kubalini tu hamna timu ya kushindana man city.
 
Flano haukukosea mtazamo wako kuhusu mashabiki wa Arsenal..

Nyumbu mbona mashabiki wanasema kocha Jasusi amekuja kutapeli huku vichapo vikiendelea lakini hakuna matusi ...
Watoto wa humu wengi wamekosa malezi ya pande 2.
Mtaani kwetu bodaboda karibia wote ni mashabiki wa Arsenyau, sasa unategemea hawa vishandu wa humu watakua na adabu?
Malezi, malezi, malezi.
unnamed.jpg
Football-fans-arrested.jpg
 
Watoto wa humu wengi wamekosa malezi ya pande 2.
Mtaani kwetu bodaboda karibia wote ni mashabiki wa Arsenyau, sasa unategemea hawa vishandu wa humu watakua na adabu?
Malezi, malezi, malezi. View attachment 2804181View attachment 2804182
Mkuu unataka kuniambia Boda Boda wengi ni Arsenyo??

Masingeli kaingia mitini kama kawaida yake mzee wa kujipiga ban.
 
Back
Top Bottom