OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Mkipigwa mechi tatu mfululizo si mtatafutana uko mitaani munyongane kabisa😂😂😂🤣
Kweli kweli😀😀😀.........................Kai
Martinel..........ode............saka
.........Trossad.........Rice
Zinny.......Gab.....Saliba......white
Tukiingia hivi leo, itakua poa Sana![]()
na efuey pia watabeba😂😂😂Uefa na ipielo wanachukua hawa bol mdomonitititiiii
Jojinyo si ndio man ofu the mechi 😂😂😂Kai na Joginho ndani biashara imeishia hapa hatuwezi kushinda hii game tunakufa mapema,Arteta mapenzi yake binafsi na hao watu 2 anayaleta kazini.
Wanamtaka Lokonga na Pepe kalee😂😂😂😂Hamtaki Kai na Jorginho wacheze Acheze nani sasa Elnery
, Au Kiwior
Hii tunafukia tu hapo hapo ilipofia😅😅🤣Oii oiii
Tunazika au tunasafirisha
Dogo mbona unatumia maneno ya kike au wewe ulishaaga mashindano?
So far so gud
Tunahitaji chances 3 tuweke goals 2
Kwa maneno ya uchache zaidi Newcastle wameshindwa


rudia tenabado hamjasema..Hapo ndio uone connections zipo mpaka ulaya, yani mchezaji ambae hana uwezo yuko tayari kuvumiliwa na kucheza dakika zote 90 wakati kuna watu wanaoweza kucheza nafasi hiyo hiyo wakakupa kitu bora zaidi.
Kwani Arteta angesema ampe nafasi Trossard kucheza LCM badala ya Havertz kungekua na shida gani?
Unamuona kila siku Trossard anatokea sub kisha anakupa positives tu, malipo yake mechi inayofuata anapewa nafasi mtu mwengine.
Sawa Arteta unajaribu ku cover up your shit but si kwa dizaini hii.. Na sisi fans unatuchosha!
Akili kubwa
Hapo hamna kocha...tunapeana matumaini ya kipumbavu sana....
Hua nikimuona nketiah,harvetz na georgino lazima game itunyee,,,,




Hapo ndio uone connections zipo mpaka ulaya, yani mchezaji ambae hana uwezo yuko tayari kuvumiliwa na kucheza dakika zote 90 wakati kuna watu wanaoweza kucheza nafasi hiyo hiyo wakakupa kitu bora zaidi.
Kwani Arteta angesema ampe nafasi Trossard kucheza LCM badala ya Havertz kungekua na shida gani?
Unamuona kila siku Trossard anatokea sub kisha anakupa positives tu, malipo yake mechi inayofuata anapewa nafasi mtu mwengine.
Sawa Arteta unajaribu ku cover up your shit but si kwa dizaini hii.. Na sisi fans unatuchosha!



Yeah rumour has it ...inasemekana FA wanajarbu kumkumbatia pep ndo mana man city wanakua favoured sana ..ili tu aje awe coach wa England


. 


Flano haukukosea mtazamo wako kuhusu mashabiki wa Arsenal..
Nyumbu mbona mashabiki wanasema kocha Jasusi amekuja kutapeli huku vichapo vikiendelea lakini hakuna matusi ...


Watoto wa humu wengi wamekosa malezi ya pande 2.
Mkuu unataka kuniambia Boda Boda wengi ni Arsenyo??Watoto wa humu wengi wamekosa malezi ya pande 2.
Mtaani kwetu bodaboda karibia wote ni mashabiki wa Arsenyau, sasa unategemea hawa vishandu wa humu watakua na adabu?
Malezi, malezi, malezi. View attachment 2804181View attachment 2804182
Hii game mtatamba weee lakini sioni aibu yoyote natembea kifua mbele wanaume wazima mmeshindwa kupata ushindi wa halali halafu mnakuja kutamba. Are you serious?
Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu unataka kuniambia Boda Boda wengi ni Arsenyo??
Masingeli kaingia mitini kama kawaida yake mzee wa kujipiga ban.