Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kiukwl kuna maswal uwa nataman japo niongee na Arteta zoom meeting nimuulize.Tunahitaji forward tu...hii mechi Partey angekuwepo ingekuwa na wepesi kidogo... Georginho hawezi kupiga risk passes kabisa...yy ni mzee wa safe passes....alivyoingia Zinchenko ndo mipira ikawa mda wte mbele....kiukweli tuna safari ndefu ya kupambana na Man city
Kwnz nimuulize alikua anamtaka Jorginho amsaidie nn lbd?.. Je aliona nn kwa Jorginho had ashawishike kumtoa chelsea akiamin ataisaidia Arsenal?
LA mwsh ningependa nimuulize Kwn Kai ni mtt wa shangaz yake?.. Kwn anaona nn cha muhm kwake had awe Panga pangua yupo?.. Au ni uwezo wake wa kucontrol aerial duels
