Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Mkuu salama lkn?Mkuu nakuomba sana...nyamaza tu shetani apite...huu ni mpira tu Haina haja ya kujichumia madhambi yasio na sababu kwa kutukanana na mtu ambaye hata hamjuani...kausha tu...siku itapita
Familia wazima wote hapo?
Pole mkuu kwa msiba.


️

