Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Xabi Alonsoโ€™s ๐ฉ๐ž๐ซ๐Ÿ๐ž๐œ๐ญ ๐ฆ๐š๐œ๐ก๐ข๐ง๐ž

Spanish manager doing incredible job at Bayer as they are still ๐ฎ๐ง๐›๐ž๐š๐ญ๐ž๐ง in all competitions so far ๏ธ

Bayer have won all the games except 2-2 draw vs Bayernโ€ฆ and they scored 54 goals already โ€” yes, ๐Ÿ“๐Ÿ’!

15 games
๐ŸŸข 14 wins
๐ŸŸฐ 1 draw
๏ธ 54 goals scored
๏ธ 14 goals conceded
Top of Bundesliga
Top of Europa League group

โ€ฆwhat a manager, what a team full of talents!
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Ndio tuingie sokoni
Safari bado mbichi kabisa hiii
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
True
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Ode anashida gani?
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Hatutoboi.....
 
Hatutoboi.....
Not all hope is lost.

Ushindi utategemea maelekezo waliyonayo nyukesto pia, kama maelekezo yao ni kupaki basi kama mara ya mwisho then kazi tunayo.

Jorginho ni mpiga pasi mzuri na ana vision. Tuombe Forwards ziwe on point kuona hii mipira.

Kai hua anaua attacking ability na defensive ability ya upande aliopo. Leo akibadilika au asipobadilika na kocha akagundua kabla hajasubiri dakika ya 70 then we have a chance.
 
Back
Top Bottom