Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Ndio tuingie sokoni
Safari bado mbichi kabisa hiii
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
True
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Ode anashida gani?
 
Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
Hatutoboi.....
 
Daaah[emoji16][emoji16]

Jorginho na Kai kwenye Middle dadeki [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], saka, martinell na Nketia wataonekana wazurulaji kama tu hao jamaa wawili wasipojitutumia kuonyesha angalau robo 3 ya kiwango chao, ila kama wakionyesha basi tutakua na game nzuri
 
Hii timu washabiki wake mnashida kweli kweli sasa mnacomplain kupangwa KAI na JOG mnawachezaji gani kwenye benchi ambao mnaona wanafaa kupangwa???

Mnalalamika utasema mnabenchi la maana kumbe uozo tu.
Unaweza ukadhani nje wana wachezaji wa maana sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hatutoboi.....
Not all hope is lost.

Ushindi utategemea maelekezo waliyonayo nyukesto pia, kama maelekezo yao ni kupaki basi kama mara ya mwisho then kazi tunayo.

Jorginho ni mpiga pasi mzuri na ana vision. Tuombe Forwards ziwe on point kuona hii mipira.

Kai hua anaua attacking ability na defensive ability ya upande aliopo. Leo akibadilika au asipobadilika na kocha akagundua kabla hajasubiri dakika ya 70 then we have a chance.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom