Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta on concerns over David Raya’s distribution…

It’s my fault, all my fault. They can pull me up on it because I asked him to do that, especially against this team, you just have to do other things and you’re get in big trouble. I think he was excellent, the way he dominated his box, the way he came out for crosses and set-pieces, the height that he played at. He’s got big ones, because the crowd go like this with the players. I’ve seen it, the players start to kick balls everywhere and I said to him, you don’t do that, make sure you don’t do it, and he didn’t do it. At the end, he got rewarded because the team started the game that we wanted to play much better, so a big compliment to him.
20231009_053654.jpg
 
Watangazaji wakawa wanafananisha red ya yule dogo wa liva jones baada ya kumchezea rafu Bissouma na Kovacic alichofanya jana baada ya yellow ya kwanza.

Binafsi niliamini Kovacic hastahili kubaki baada ya ule mchezo alioufanya.

Wakati Tomi anampelekea mpira Kai nilisimama nikijua Kai anaunga ule mpira, mpaka unafika kwa Kai Ake akawa kashafika akili ya haraka ikaniambia Kai atajaribu kubody feint na kuscore.

Instead akachagua the simple solution he could see. Akamrudishia sub mwenzake Martinelli. Wakati Martinelli anausogelea mpira, Tomiyasu akawa anapisha njiani, mtangazaji akaita "Martinelliiiiii" mimi muda huo nishasema "Kai vipi tena hapo".

Martinelli anakuja na sasa hivi naamini anaitafuta angle kwa kupiga ndizi. Ake, beki tuliyeambiwa amekuja kumfunika Saka, yeye hakutoka njiani. Ile ndizi ikatua kwake na mpira ukawa wavuni.

Jinsi tumecheza kutotaka kujibizana nao kumesababisha Haaland aonekane wa kawaida, jana au juzi kuna member tukiwa tunaongelea finishing ya Nketiah nikamuambia in terms of finishing and consistency ya conversion Nketiah ndiye top kwa Arsenal.

Na asiposcore utamuona miyeyusho coz huko kwingine ni mbovu. Haaland hajascore na mashabiki wa City wanamuona miyeyusho, lakini ni lini Haaland ameoffer kitu zaidi ya kuscore consistently?

Wiki nzima tunaambiwa Ben atakiona cha moto akikutana na Doku. Doku akaingia na Ben akampiga tobo jamaa na jamaa hajafurukuta hata kidogo.

Tulivyocheza na liva msimu uliopita % kubwa tuliamini we have a chance mara zote 2 nafikiri mpaka msimu ujao tutakua na imani hiyo dhidi ya City pia.

Yule jamaa aliyedai kwamba atajitoa JF nasikia JF wenyewe ukiripoti wanamban
 
Usijidanganye sana Arsenal ya msimu huu kuna utofauti ukilinganisha na msimu uliopita kuanzia squad depth na upambanaji na bado tutasajili tena january aisee msimu huu tutaona mafanikio Zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan game ya jana mzee yan team inaanza tu

Martinell Off

Saka Off

Partey Off

Tommy Off

Kai Off

Alfu pila lilipigwa vile sio kitu kidogo aisee
 
At the end itajulikana nan anajidanganya, msimu uliopita mpaka sasa hukuwa na draw wala loss.

Leo man city hakuna anayelalamika wamekubali matokeo japo wamewakosa key players (KDB & Rodri) lakini nyinyi sasa mtapata injury moja tu ya saliba mtapiga kelele oooh angekuwepo huyu tungechukua ubingwa visingizio kibao.

TUKUBALIANE KABISA INJURIES ISIWE EXCUSE YA KUKOSA UBINGWA. ( SAVE THIS MPAKA MAY)
Mwanzo ulidai tukipata injury ya Saka ulivyoona Jesus kafanya kitu ambacho hakuna aliyemmis Saka ule upande umeamia kwa Jesus,
Pambana na Nyumbu kwanza nafasi ya 13 uko
 
Kdb injury
Rodri red card
Stone injury
Silva injury

Hao wote Ni watu mhimu Kwa game mhimu ,DM anabaki Phillips,Nunez Hawa hawana stamina kama rodri ....

ATM wetu ambaye huwa anawaonesha Namna ya kucheza ball kdb hayupo atacheza Kovacic ....

Note : doku au Alvarez atawapiga Goli kesho ...na kushinda hapo emirates Ni kawaida yetu ,Sisi tuna mentality kubwa mno tukikutana na Arsenal ,ila nyie mnawoga mwingi kuanzia kocha hadi wachezaji ...

Arsenal 1-3 man City
Lile tobo la White kwa doku uliliona?
 
Kwanini mkuu?

Mimi nketiah namsapoti Kama mchezaji wa Arsenal , but Kati ya Nketiah na Kai ukiniambia Nan aanze CF nitaenda na Kai ,

Nketiah anatukaba ,ana faida moja tu anayowazid Jesus na Kai , finishing Tena Ina siku na siku

Kai akicheza CF anaweza asifunge ila atakupa faida watafunga wengine sio nketiah
Mimi wote siwakubali, ila naona Kai alichomzidi Eddie ni urefu tu. Pia supendi jinsi jamaa hana Nia ya kuprogress mipira Kwa mbele. Hata akiwa most advanced na amepewa long ball na Raya akabeat offside trap Bado atageuka na kurudisha mpira nyuma mpaka urudi Kwa Raya tena. Kai Bado ana kazi ya kujifunza mpira, siyo tu mpira wetu, bali mpira tu in general Kwa position tunayotaka acheze, ndiyo nitaanza kuona faida yake
 
Daah humu ndani fantasy ni nyingi sana, yaani fikiri mtu anakuambia picha za mazoezi hazipo ili kutoa suprise ya martineli yaani kwamba city wanaenda kushtukizwa na uwepo wa martineli.

Humu false hopes hazitaisha mpaka ukamilifu wa dahari yaani city the champion of Europe washtukizwe na uwepo wa martineli hizi ni false hope kuelekea kipigo .
Unasemaje?
20231008_210219.jpg
 
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kamfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.


#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Manchester city jana tulitakiwa kucheza nao 2nd half nzima wakiwa 10 uwanjani ila walibebwa na marefa waliokataa kumpa Kovacic kadi ya njano ya pili. Ile mechi ingechezeshwa fairly, wangekula 3 wale.
 
Computer arsenal

Wewe unatokea mechi unazoona tunafungwa uitukane timu na kumnanga kocha

Unakumbuka ulihamia PSG kwa mbwembwe na vigeregere , hutupi Tena maendeleo huko PSG ,umebaki kuvizia timu ikidroo au kufungwa utukane kocha na wachezaji .

Mech vs manjesta pre season tulipofungwa ,uliiona timu hafai , manjesta ndio wanafaa ,


Mechi ya community shield ulijimaliza ,kumbukumbu zipo
Milangomitatu aliibuka jana akitarajia tupoteze, kapotea hana wa kumtupia lawama
 
Yan game ya jana mzee yan team inaanza tu

Martinell Off

Saka Off

Partey Off

Tommy Off

Kai Off

Alfu pila lilipigwa vile sio kitu kidogo aisee
😆😆 hapo Kai umemuongeza tu ila hata asingekuwepo hakuna ambaye angelalamika. Ila Tomi jana sijui aliingia kucheza kama beki ama forward maana nakumbuka kumuona mbele tu anafanya machambulizi ila sikumnbuki kumuona nyuma akikaba
 
Back
Top Bottom