Watangazaji wakawa wanafananisha red ya yule dogo wa liva jones baada ya kumchezea rafu Bissouma na Kovacic alichofanya jana baada ya yellow ya kwanza.
Binafsi niliamini Kovacic hastahili kubaki baada ya ule mchezo alioufanya.
Wakati Tomi anampelekea mpira Kai nilisimama nikijua Kai anaunga ule mpira, mpaka unafika kwa Kai Ake akawa kashafika akili ya haraka ikaniambia Kai atajaribu kubody feint na kuscore.
Instead akachagua the simple solution he could see. Akamrudishia sub mwenzake Martinelli. Wakati Martinelli anausogelea mpira, Tomiyasu akawa anapisha njiani, mtangazaji akaita "Martinelliiiiii" mimi muda huo nishasema "Kai vipi tena hapo".
Martinelli anakuja na sasa hivi naamini anaitafuta angle kwa kupiga ndizi. Ake, beki tuliyeambiwa amekuja kumfunika Saka, yeye hakutoka njiani. Ile ndizi ikatua kwake na mpira ukawa wavuni.
Jinsi tumecheza kutotaka kujibizana nao kumesababisha Haaland aonekane wa kawaida, jana au juzi kuna member tukiwa tunaongelea finishing ya Nketiah nikamuambia in terms of finishing and consistency ya conversion Nketiah ndiye top kwa Arsenal.
Na asiposcore utamuona miyeyusho coz huko kwingine ni mbovu. Haaland hajascore na mashabiki wa City wanamuona miyeyusho, lakini ni lini Haaland ameoffer kitu zaidi ya kuscore consistently?
Wiki nzima tunaambiwa Ben atakiona cha moto akikutana na Doku. Doku akaingia na Ben akampiga tobo jamaa na jamaa hajafurukuta hata kidogo.
Tulivyocheza na liva msimu uliopita % kubwa tuliamini we have a chance mara zote 2 nafikiri mpaka msimu ujao tutakua na imani hiyo dhidi ya City pia.
Yule jamaa aliyedai kwamba atajitoa JF nasikia JF wenyewe ukiripoti wanamban