Nilienda kwenye page yake but sikuikutaKapost kuisapoti Israel Instagram
Wamemjia juu ,ila amefuta
Angepost kuisapoti Palestine ungeshangaa anasapotiwa
Babu leo Kushida sahau itafosiwa draw kipara kasha fanya calculation zake anatoka na 3 pts subirin muda utaongeaHayo Mambo sio ya kukubali kwa amri yako, Ila unajikuta una amrishwa
3 of those players ares doubt to be injury nikama mnawafosi leo wakiwashe consequences zake mnakuja kulia baadae injury prolonged zimewatoa kweny reliTurushe jez au tuingie hivi?View attachment 2775427
Mgonjwa ni Timber peke yake vyuma vyote vipi fit Kali kit3 of those players ares doubt to be injury nikama mnawafosi leo wakiwashe consequences zake mnakuja kulia baadae injury prolonged zimewatoa kweny reli
Huyo saka wala martineli sio wakuanza leo mnatengeneza bomu la baadae na hata partey hayuko fully recovered msiwe na expectations kubwa hapo kati mtamilikiwa mpira hamtoamini

Yani city wakae position 4 afu watu waende break akijua juu yake wako kina arsenal na muhuni Liverpool ahhhhh weee leoIkitokea city anafungwa leo na Liverpool anashinda
Leo msimamo unakuwa wa
1.Arsenal 20pts
2.Spurs 20pts
3.liverpool 19pts
4.City 18pts
Arsenal fans mtamsamehe bure city leo hata yeye
anakibarua kazi na legacy ya kutetea na sio kuwa
Baba huruma
A draw is goin to be a fair results honestly ila
mkijikuta wakahidi basi lolote litawakuta
Y'all be physical and mental prepared for anything
Coming from tactical master magician the Goat
Pep Guardiola
Master v/s Student
Tactics v/s Tactics
Manjesta hata kupiga pass 10 hawezi ,lakin wanaamini wataingia top 4
Ila Arsenal ya maziwa na asali kusema tutatoa vipigo na kucheza fainal UCL mtu anabisha
Mbona lipo wazi tunacheza fainal Wembley mwaka huu

No kdb No rodri No Gundogan No silva No MahrezCity niliyokua naijua Mimi ni Kdb, bernado na gundogan
Gundogan amesha amsha
Kdb mgonjwa plus umri utaanza kuongea achana na fatigue
Bernado nae analazimishwa kucheza ila ni majerui yule
We are going to dominate each and everything inside and outside the pitch
#COYG
Miaka miwili nyuma, walikua wanaingia wachezaji wote wa city
Foden kwa saka kwenye timu ya taifa Hadi saka ahamue yeye kutokaAlafu inaonekana unaishi kwa kukariri
Zinchenko
Partey
Saka
Unawaachaje hao kwenye hiyo combination?
City inaitwa quality team for a reason kiongozi wala sio individual brilliance ni amount of unity effort ethics tactics and team work determination alongside maturityMiaka miwili nyuma, walikua wanaingia wachezaji wote wa city
Bado hauoni kitu tu?
Mbona msimu bado mapema sana, mmecheza na timu gani ya maana ukitoa Spurs & United. Kwahiyo ulitegemea mtumie 105m halafu muwe dominated na PSV au Everton au Fulham.Shabiki wa manjesta anakwambia Rice hawez kucheza Lone DM ,
Anafananisha Arsenal na manjesta ya 7hag
Kisha unaambiwa Manchester City fans wanaogopa game ya leo vs Arsenal game, inawezekana leo tukapata positive results itakuwa ni ujinga mkubwa kulose 13 games in a row vs Manchester City wakati EPL Tittle tunaitakaTunalaumu United ina wachezaji wazuri ila kocha hajui kuwaunganisha kimbinu.
Hicho alichokishindwa Eriki Kichwa Ngumu Pep amekifanya kwa City for years. Acha hela zao za visima na Dad Sheikh lakini hiki ndicho wanatuzidi.
Ability ya kuset tempo ya mechi. Hiko ndiyo hatujamaster, haswa tukicheza na timu ambazo zina team work ya kwenda toe to toe na sisi.
Kama ukiiangalia Arsenal na City ya sasa unaona Arsenal anaweza kushinda huku anamnyanyasa City basi unakosea vibaya mno.