Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Flanooooooo
Dah mkuu unakeraaaaaaa hadi burudani.inshort ukikosekana humu kuna taste inakosekana
Ila Masingeli na Co-wokers wake wananipiga vita vibaya mno, juzi waliweka kikao kwenye ukumbi wa Anatoglo wakijadiliana namna ya kuninyamazisha, wakashauriana eti wanikaribishe tuangalie mechi ya Asenyo na Man City pamoja kisha waniwekee VX toxin ile sumu hatari iliyomuua kaka wa raisi wa Korea ya kaskazini bwana Kim Jong Nam.
 
Tumechoka Takwimu za kipuuzi izo
Mara Duel won, mara pressing!
Kwa comment yako maybe if you dont understand football tactics, who knows? Ni aina ya wale watu wanaosema Messi ni bora kuliko Ronaldo, why? Sababu Messi Kashinda WC. Kwa hivyo bila WC asingekuwa bora kuliko Ronaldo. Ni watu mnaojudge vitu kwa matokeo badala kuangalia parameters zinazofanya mchezaji anacheza eneo husika na role yake ni ipi tactically, that's Y unaona stat km Duels etc ni upuuzi. Inshort bado ujawa kocha yani bado hujakutana na babuu
 
Ubora wa city hauko kwa wachezaji tu,ubora wao uko kwenye mfumo na tactics za pep.Its not about who plays or not,Kitu cha kupambana nacho ni kwenda against na mfumo wa pep kwa kutafuta loophole na kuzitumia kuwaadhibu.

Kama tukiingia kwa kuangalia kukosekana kwa rodri na kdb basi utashangaa kwa tutachokutana na nacho.

Strenth ya city ni mfumo na mbinu za mwalimu pep.unahitaji kushinda mechi do your homework on PEPs tactics and philosophy ila ukishughulika na wachezaji utaumia kwasababu yeyote anaweza akakaa hapo na akakupa almost kilekile anacho offer KDB AU RODRI.

Unajua kwanini man u na ubovu wao huwa wanaitungua city na ubora wao?.jamaa huwa hawaangaiki na quality ya wachezaji wa city toe to toe bali huwa wanaangalia blueprint ya PEPs philosophy na wanakuja na vaccine yake.kwa sasa ili kuifikia quality ya city unahitaji tajiri kichaaa na kocha ambaye ni gifted kwelikweli na a very proper scouting team.

City ana udhaifu mkubwa kwa team zinazocheza direct football na transitional football hasa zikiwa zinacheza kwa intensity kubwa.

Sehemu kubwa ya wachezaji wa city wanacheza intelligent football,yaan kuna uhusiano mkubwa kati ya mind yao,ball distribution,ball movement na positioning yao.so mchezaji na team ya aina hii lazima afikirie before decision making.Do you know what to do against such team and player?PROVOKE THEM.hii ndo mbinu pekee inayompa klop matokeo na ndo mbinu inayompa man u matokeo against city ya guadiola.

HOW DO YOU PROVOKE THEM?. Usicheze man to man utaumia jamaa wanaswitch haraka mno.usitafute kumiliki mpira mbele yao maana wanajua utapiga wapi pasi kabla hujapokea mpira.Usijaribu position play maana its the breath of their game play.

WHAT TO DO?provoke their mind kwa kukosa utulivu katika mchezo.avoid visible patterns of play kwa upande wako.Una SAKA una MARTINELL cheza direct football na transitional.Ruka baadhi ya phase za pitch yako kwa mipira mirefu na kasi kisha peleka mpira langoni kwao kwa kasi.
Usitafute sana v-passes au beautiful passes bali piga mashuti nje ya lango ukiwatumia TROSSARD,ODEGARD NA RICE.

Kila muda tafuta kupeleka mpira langoni kwao kwa high intensity na directly,sahau chenga na unnecessary dribbling kwa wingers na forwads wako.waambie kituo kiwe ni golini kwa city.iwe cross au long passes zinazovunja security patterns zao we hakikisha ubapeleka mpira mbele.ukiyafanya haya continously na usitumbukie kwenye mtego wa kuiga beautiful football yao jamaa wanafungika vizuri mno.

Battle ya mid kwa game za city huwa ngumu kutokana na nature ya uchezaji wao.winger wako wakiwa na kasi unazuia upuuzi wa fullbacks wao ku invert na kuongeza idadi ya midfielder wao hasa wanaposhambulia.

Hii game itaamuliwa na nidhamu ya team yetu.
 
Ubora wa city hauko kwa wachezaji tu,ubora wao uko kwenye mfumo na tactics za pep.Its not about who plays or not,Kitu cha kupambana nacho ni kwenda against na mfumo wa pep kwa kutafuta loophole na kuzitumia kuwaadhibu.

Kama tukiingia kwa kuangalia kukosekana kwa rodri na kdb basi utashangaa kwa tutachokutana na nacho.

Strenth ya city ni mfumo na mbinu za mwalimu pep.unahitaji kushinda mechi do your homework on PEPs tactics and philosophy ila ukishughulika na wachezaji utaumia kwasababu yeyote anaweza akakaa hapo na akakupa almost kilekile anacho offer KDB AU RODRI.

Unajua kwanini man u na ubovu wao huwa wanaitungua city na ubora wao?.jamaa huwa hawaangaiki na quality ya wachezaji wa city toe to toe bali huwa wanaangalia blueprint ya PEPs philosophy na wanakuja na vaccine yake.kwa sasa ili kuifikia quality ya city unahitaji tajiri kichaaa na kocha ambaye ni gifted kwelikweli na a very proper scouting team.

City ana udhaifu mkubwa kwa team zinazocheza direct football na transitional football hasa zikiwa zinacheza kwa intensity kubwa.

Sehemu kubwa ya wachezaji wa city wanacheza intelligent football,yaan kuna uhusiano mkubwa kati ya mind yao,ball distribution,ball movement na positioning yao.so mchezaji na team ya aina hii lazima afikirie before decision making.Do you know what to do against such team and player?PROVOKE THEM.hii ndo mbinu pekee inayompa klop matokeo na ndo mbinu inayompa man u matokeo against city ya guadiola.

HOW DO YOU PROVOKE THEM?. Usicheze man to man utaumia jamaa wanaswitch haraka mno.usitafute kumiliki mpira mbele yao maana wanajua utapiga wapi pasi kabla hujapokea mpira.Usijaribu position play maana its the breath of their game play.

WHAT TO DO?provoke their mind kwa kukosa utulivu katika mchezo.avoid visible patterns of play kwa upande wako.Una SAKA una MARTINELL cheza direct football na transitional.Ruka baadhi ya phase za pitch yako kwa mipira mirefu na kasi kisha peleka mpira langoni kwao kwa kasi.
Usitafute sana v-passes au beautiful passes bali piga mashuti nje ya lango ukiwatumia TROSSARD,ODEGARD NA RICE.

Kila muda tafuta kupeleka mpira langoni kwao kwa high intensity na directly,sahau chenga na unnecessary dribbling kwa wingers na forwads wako.waambie kituo kiwe ni golini kwa city.iwe cross au long passes zinazovunja security patterns zao we hakikisha ubapeleka mpira mbele.ukiyafanya haya continously na usitumbukie kwenye mtego wa kuiga beautiful football yao jamaa wanafungika vizuri mno.

Battle ya mid kwa game za city huwa ngumu kutokana na nature ya uchezaji wao.winger wako wakiwa na kasi unazuia upuuzi wa fullbacks wao ku invert na kuongeza idadi ya midfielder wao hasa wanaposhambulia.

Hii game itaamuliwa na nidhamu ya team yetu.
 
Ubora wa city hauko kwa wachezaji tu,ubora wao uko kwenye mfumo na tactics za pep.Its not about who plays or not,Kitu cha kupambana nacho ni kwenda against na mfumo wa pep kwa kutafuta loophole na kuzitumia kuwaadhibu.

Kama tukiingia kwa kuangalia kukosekana kwa rodri na kdb basi utashangaa kwa tutachokutana na nacho.

Strenth ya city ni mfumo na mbinu za mwalimu pep.unahitaji kushinda mechi do your homework on PEPs tactics and philosophy ila ukishughulika na wachezaji utaumia kwasababu yeyote anaweza akakaa hapo na akakupa almost kilekile anacho offer KDB AU RODRI.

Unajua kwanini man u na ubovu wao huwa wanaitungua city na ubora wao?.jamaa huwa hawaangaiki na quality ya wachezaji wa city toe to toe bali huwa wanaangalia blueprint ya PEPs philosophy na wanakuja na vaccine yake.kwa sasa ili kuifikia quality ya city unahitaji tajiri kichaaa na kocha ambaye ni gifted kwelikweli na a very proper scouting team.

City ana udhaifu mkubwa kwa team zinazocheza direct football na transitional football hasa zikiwa zinacheza kwa intensity kubwa.

Sehemu kubwa ya wachezaji wa city wanacheza intelligent football,yaan kuna uhusiano mkubwa kati ya mind yao,ball distribution,ball movement na positioning yao.so mchezaji na team ya aina hii lazima afikirie before decision making.Do you know what to do against such team and player?PROVOKE THEM.hii ndo mbinu pekee inayompa klop matokeo na ndo mbinu inayompa man u matokeo against city ya guadiola.

HOW DO YOU PROVOKE THEM?. Usicheze man to man utaumia jamaa wanaswitch haraka mno.usitafute kumiliki mpira mbele yao maana wanajua utapiga wapi pasi kabla hujapokea mpira.Usijaribu position play maana its the breath of their game play.

WHAT TO DO?provoke their mind kwa kukosa utulivu katika mchezo.avoid visible patterns of play kwa upande wako.Una SAKA una MARTINELL cheza direct football na transitional.Ruka baadhi ya phase za pitch yako kwa mipira mirefu na kasi kisha peleka mpira langoni kwao kwa kasi.
Usitafute sana v-passes au beautiful passes bali piga mashuti nje ya lango ukiwatumia TROSSARD,ODEGARD NA RICE.

Kila muda tafuta kupeleka mpira langoni kwao kwa high intensity na directly,sahau chenga na unnecessary dribbling kwa wingers na forwads wako.waambie kituo kiwe ni golini kwa city.iwe cross au long passes zinazovunja security patterns zao we hakikisha ubapeleka mpira mbele.ukiyafanya haya continously na usitumbukie kwenye mtego wa kuiga beautiful football yao jamaa wanafungika vizuri mno.

Battle ya mid kwa game za city huwa ngumu kutokana na nature ya uchezaji wao.winger wako wakiwa na kasi unazuia upuuzi wa fullbacks wao ku invert na kuongeza idadi ya midfielder wao hasa wanaposhambulia.

Hii game itaamuliwa na nidhamu ya team yetu.
Kesho city tutamuadhibu the way tutakavyo

Atapigiwa mpira mkubwa mno mno
 
Kwa hali ya majeruhi ya kikosi cha City,Gunners mna nafasi kubwa sana ya kushinda mechi ya kesho msipoweka ujinga wa kupress na kuwin aerial duels kupitia Kai. Chezeni direct football kwa kutumia viberenge wenu kama mnataka matokeo na sio sifa za kijinga za kushinda with style.

City ana majeruhi yupi ujimtoa kdb?
 
City ana majeruhi yupi ujimtoa kdb?
Kdb injury
Rodri red card
Stone injury
Silva injury

Hao wote Ni watu mhimu Kwa game mhimu ,DM anabaki Phillips,Nunez Hawa hawana stamina kama rodri ....

ATM wetu ambaye huwa anawaonesha Namna ya kucheza ball kdb hayupo atacheza Kovacic ....

Note : doku au Alvarez atawapiga Goli kesho ...na kushinda hapo emirates Ni kawaida yetu ,Sisi tuna mentality kubwa mno tukikutana na Arsenal ,ila nyie mnawoga mwingi kuanzia kocha hadi wachezaji ...

Arsenal 1-3 man City
 
Kdb injury
Rodri red card
Stone injury
Silva injury

Hao wote Ni watu mhimu Kwa game mhimu ,DM anabaki Phillips,Nunez Hawa hawana stamina kama rodri ....

ATM wetu ambaye huwa anawaonesha Namna ya kucheza ball kdb hayupo atacheza Kovacic ....

Note : doku au Alvarez atawapiga Goli kesho ...na kushinda hapo emirates Ni kawaida yetu ,Sisi tuna mentality kubwa mno tukikutana na Arsenal ,ila nyie mnawoga mwingi kuanzia kocha hadi wachezaji ...

Arsenal 1-3 man City
Hyu Bernado Silva mechi ya Champions league juzi si nimeona kacheza...au kaumia tena
 
Kwa comment yako maybe if you dont understand football tactics, who knows? Ni aina ya wale watu wanaosema Messi ni bora kuliko Ronaldo, why? Sababu Messi Kashinda WC. Kwa hivyo bila WC asingekuwa bora kuliko Ronaldo. Ni watu mnaojudge vitu kwa matokeo badala kuangalia parameters zinazofanya mchezaji anacheza eneo husika na role yake ni ipi tactically, that's Y unaona stat km Duels etc ni upuuzi. Inshort bado ujawa kocha yani bado hujakutana na babuu
Hao Ni watu wenye akili ndogo ,thus why nimepunguza kujibizana na wengi sababu akili zao Ni ndogo

Akili kubwa kujadiliana na akili ndogo ni upotevu wa muda na pesa maana natumia MB


Mimi nataka mtu ani challenge kweli kweli sio bla blaa

Mtu hajui mchezaji anacheza eneo fulani Sababu ya roles yake ,

Mtu hajui kuwa klabu ina mitambo ya kukusanya data zakila mchezaji kwa kila parameters ambazo ndio huamua acheze mechi .


Wengi humu Wana knowledge ndogo Sana ya mpira wameingia kwenye ushabiki sababu ya kubeti


Akiliwa pesa ya mboga anaamini Kai ndio kamkosesha
 
Ubora wa city hauko kwa wachezaji tu,ubora wao uko kwenye mfumo na tactics za pep.Its not about who plays or not,Kitu cha kupambana nacho ni kwenda against na mfumo wa pep kwa kutafuta loophole na kuzitumia kuwaadhibu.

Kama tukiingia kwa kuangalia kukosekana kwa rodri na kdb basi utashangaa kwa tutachokutana na nacho.

Strenth ya city ni mfumo na mbinu za mwalimu pep.unahitaji kushinda mechi do your homework on PEPs tactics and philosophy ila ukishughulika na wachezaji utaumia kwasababu yeyote anaweza akakaa hapo na akakupa almost kilekile anacho offer KDB AU RODRI.

Unajua kwanini man u na ubovu wao huwa wanaitungua city na ubora wao?.jamaa huwa hawaangaiki na quality ya wachezaji wa city toe to toe bali huwa wanaangalia blueprint ya PEPs philosophy na wanakuja na vaccine yake.kwa sasa ili kuifikia quality ya city unahitaji tajiri kichaaa na kocha ambaye ni gifted kwelikweli na a very proper scouting team.

City ana udhaifu mkubwa kwa team zinazocheza direct football na transitional football hasa zikiwa zinacheza kwa intensity kubwa.

Sehemu kubwa ya wachezaji wa city wanacheza intelligent football,yaan kuna uhusiano mkubwa kati ya mind yao,ball distribution,ball movement na positioning yao.so mchezaji na team ya aina hii lazima afikirie before decision making.Do you know what to do against such team and player?PROVOKE THEM.hii ndo mbinu pekee inayompa klop matokeo na ndo mbinu inayompa man u matokeo against city ya guadiola.

HOW DO YOU PROVOKE THEM?. Usicheze man to man utaumia jamaa wanaswitch haraka mno.usitafute kumiliki mpira mbele yao maana wanajua utapiga wapi pasi kabla hujapokea mpira.Usijaribu position play maana its the breath of their game play.

WHAT TO DO?provoke their mind kwa kukosa utulivu katika mchezo.avoid visible patterns of play kwa upande wako.Una SAKA una MARTINELL cheza direct football na transitional.Ruka baadhi ya phase za pitch yako kwa mipira mirefu na kasi kisha peleka mpira langoni kwao kwa kasi.
Usitafute sana v-passes au beautiful passes bali piga mashuti nje ya lango ukiwatumia TROSSARD,ODEGARD NA RICE.

Kila muda tafuta kupeleka mpira langoni kwao kwa high intensity na directly,sahau chenga na unnecessary dribbling kwa wingers na forwads wako.waambie kituo kiwe ni golini kwa city.iwe cross au long passes zinazovunja security patterns zao we hakikisha ubapeleka mpira mbele.ukiyafanya haya continously na usitumbukie kwenye mtego wa kuiga beautiful football yao jamaa wanafungika vizuri mno.

Battle ya mid kwa game za city huwa ngumu kutokana na nature ya uchezaji wao.winger wako wakiwa na kasi unazuia upuuzi wa fullbacks wao ku invert na kuongeza idadi ya midfielder wao hasa wanaposhambulia.

Hii game itaamuliwa na nidhamu ya team yetu.
Umeongea uhalisia na umechambua vzr Sana ,thus why huwa sipiti bila kusoma michango yako


Ni moja ya watu wachache Sana wenye knowledge ya mpira


Ila nitapingana na wewe sehemu moja tu

Mancity kwa Sasa hagungwi na timu za kuvizia ,

Mancity utamfunga kwasasa kwa Quality yako na kupambana nae


Zaman ndio alikuwa anafungwa na Timu zinazovizia

Baadae akabadili mfumo kwenda 4CBs , mancity amekuwa Mara nyingi anatumia 4CBs + DM ,kulinda hapo tunasema mabeki watano bila natural Fullbacks


Hivo usitarajie timu za kijinga Kama man u kupata matokeo bila Quality


Unahitaji Winger mwenye speed sana kumshinda Fullback wao ambao Ni natural CB, ndio magoli wanayofungwa
 
Mikel Arteta:

"A success is to win. We are at Arsenal. We have to win four trophies, that's the reality.

Every competition that you go, every game that you go, (goal) is to win it." [sky]
 
Ila Masingeli na Co-wokers wake wananipiga vita vibaya mno, juzi waliweka kikao kwenye ukumbi wa Anatoglo wakijadiliana namna ya kuninyamazisha, wakashauriana eti wanikaribishe tuangalie mechi ya Asenyo na Man City pamoja kisha waniwekee VX toxin ile sumu hatari iliyomuua kaka wa raisi wa Korea ya kaskazini bwana Kim Jong Nam.
Wewe endelea kuenjoy maisha humu maana manjesta itakuua siku sio nyingi


Mliniandama Sana na madalali wa Sheikh Jasim,niliposema 7hag sio kocha Ni tapeli na Anthony masebene Ni mchezaji average

Hiyo ilikuwa mwaka Jana


Kwasasa mnaona aibu kutoka hadharan kukubali yule kocha mliyemuweka level za kina Pep ,Ni sawa na malale hamsini wa JKT Ruvu tu ya masau bwire


Leo Brentford wanabeba point
 
wengi humu washakushit sababu unabwabwaja sana bobu.

Ni muda wa kurusha jezi tupate kikosi cha kesho
Wengi unawasemea wewe ,mm Ni jeshi utakavyokuja ndivyo utapokelewa hivo hivo

Majukwaa yenu yamepoa Kama uji wa magimbi ,mnakuja kusaka furaha


Endeleeni kulialia huenda mech na Spurs ikarudiwa
 
Back
Top Bottom