Exactly.Arsenal tumepoteza points kisa maamuzi ya marefa mwaka jana na msamaha tukaombwa kwenye scenario zaidi ya moja.
Maamuzi hayakua hivi
Jamaa apumzike mechi chache apone na aimarike vizuri kwa faida ya msimu kwa ujumla.Saka Ni monster
I believe Jumapili yupo
Ni fair kila timu iguswe na kila refa na siyo hili wazo la sasa. VAR haikuingilia, lakini ni games ngapi VAR haikuingilia?Exactly.
Najua kila timu na shabiki wamechoka apologies na PGMOL wanapaswa kuwajibika na kurekebika zaidi. Hapo kwenye kurekebika ndiyo tunataka, ili makosa yapungue au yakome kabisa na mchezo uendelee. Sasa mambo ya kutokupangia refa mechi za timu flani ni shida. Sisi pia tutaweza kusema tuna marefa kadhaa wanachuki nasi hivyo wasipanggiwe mechi zetu. Chelsea nao hivyo hivyo. Kila timu ikifanyiwa hivyo je?
sawa kabisaNi fair kila timu iguswe na kila refa na siyo hili wazo la sasa. VAR haikuingilia, lakini ni games ngapi VAR haikuingilia?
Ikiwa kuna dalili za kamari watashindwa kufanya hivyo game nyingine isiyo ya liva?
Yaani juzi ile game ya False Hopes Fc waliyonyukwa, nikawa najiuliza au kuna sheria mpya mimi sizijui.Shida sio ugumu wa kundi, shida kubwa ni mentality ya timu inaingia kwenye mashindano kwa malengo gani?
Timu kama Arsenyo unaona kabisa mentality yao ni kufanya pressing na over loading huku malengo yao wawe wanaongoza kwenye ball possession.
Halafu timu kama Newcastle United unaona kabisa wao malengo yao ni kupata 3points muhimu haijalishi takwimu yao ndogo ya possession.
Kwa takwimu hizi hapa za Newcastle atakuja masingeli kuwapondea kwa kushindwa kuoverload kiungo na kupata ushindi wa papatu papatuView attachment 2772646View attachment 2772647
England kuna ujinga mwingi sana kwa waamuzi wao....na wanazi cost sana timu...labda hili suala la Liverpool linaweza kuwa ni kama ukombozi huko mbele tunapoenda maana ujinga umezidi sanasawa kabisa
niliisikia ile audio na sikudhani kuna dalili za kamari au uonevu kwa liverpool. Ni wazi kabisa walikosea, wakasingizia sheria zao kuwa mpira ulisharuhusiwa kuendelea hivyo wasingeweza kurudisha nyuma tena. walikosa busara na hii ni incompetence kwa upande wao. Suala la incompetence ni bora kushughulika nalo kwa kuwaondoa kabisa kwenye game siyo unawatoa kwenye game za timu flani halafu unawaacha wakaboronge kwa wengine.
Hauna kosa mkuu.Sasa kusema LUTON TOWN na ARSENAL wako na the same number of CHAMPIONS LEAGUE titles makosa iko wapi? Afande!!View attachment 2772871
Arsenal akitufunga naacha kutumia jf mazima ,najitoa kabisa 😂Wenye supa kompyuta naomba watuangalizie City watakula goli ngapi, Havertz atapata penat y kufunga tena?
NotedArsenal akitufunga naacha kutumia jf mazima ,najitoa kabisa 😂
Tutakukumbusha mkuu....sijawahi kuja ku comment jukwaa Lenu la Man City ila ntakufata hukohuko mkuuArsenal akitufunga naacha kutumia jf mazima ,najitoa kabisa 😂
Wenye supa kompyuta naomba watuangalizie City watakula goli ngapi, Havertz atapata penat y kufunga tena?


ngoja Masingeli aje azipige kamba kondoo za humu juu ya Supa kompyuta ilivyowatabiria kubeba kombe la Mapinduzi. Masingeli anaijulia sana mikondoo yake. Aliwaaminisha kwnye group stage wanachukua point zote, nayo ulivyo mikondoo ikakubali. Leo anakuja kuwapa makondoo yake matumaini kuwa hakuna timu isiyofungwa.ngoja Masingeli aje azipige kamba kondoo za humu juu ya Supa kompyuta ilivyowatabiria kubeba kombe la Mapinduzi.
Unaambiwa Li Supa Kompyuta linashindwa kutofautisha Asenyo na Lipuli Fc maana zote zina 0 Uefa cup.