Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unajua nilipotea online toka saa 7 mchana kwaiyo nilivyomaliza kuangalia game nikawa napitia taratibu kuanzia juu hadi chini aiseee, wanaojua football kwa uchambuzi kabla na baada ya mechi ni wachache sana,

Wapo wenye miemko katikati ya mechi hao ndo balaa tupu
 
🤣🤣🤣...kwmba Braza kichogo alikuwa anakuiga uchezaji wako....kupata striker kama Henry pale epl sasahv itachukua mda kidogo....unabisha...mtafute Barthez umuulize pale Highbury alifanywa nn....hii watoto wa mwaka 2000 hawawezi jua
Halafu na yy Henry akiulizwa ni mchezaji gani bora aliwahi kucheza naye kwny maisha ya soka...hamtaji babu Zidane wala fundi Messi...ila anamtaja faza Bergkamp...anakwmbia ule ulikuwa moto mwingine
 
Mtangazaji anakuambia

Arsenal hawana Saka na timu inashindwa kutengeneza nafasi za kutosha. Hata hivyo City hawana De Bruyne na Haaland anaonekana anastruggle na City nzima haina connection
 
Hawa jamaa Wana point 6 zetu ,wamefukuza kocha,tunao baada ya INTERNATIONAL BREAK


BREAKING: Sevilla have fired head coach José Luis Mendilibar — it’s over.

Decision made with immediate effect for Sevilla, already looking for new coach.
 
Mikel Arteta said in his post-match press conference that he brought Takehiro Tomiyasu on to counter Pep’s sub of Jeremy Doku.

However when Pep Guardiola moved Doku to the left-wing, Arteta moved Tomiyasu further forward.

Tomiyasu won the knock down to Kai Havertz before the goal.
 
Kwa Raya naona ram kazini kwake kuna kazi
Ni vitu vya kawaida tu

Arteta on David Raya

"He can misplace 1 or 2 passes. I demand him to stop the ball when he needs to, to get clarity, to get understanding, to provoke the opponent. The way he controlled the box, aerials, how dominant he was, how high he played.

I thought he was excellent." [PL]
 
Yule shabiki wa nyukesto leo anajifanya kama huko alipo sasahv mtandao haushiki...ypo kimyaaaa

Wewe piga kelele kwa ushindi huu ila still utatoka patupu bila kombe lolote. Miaka 7 bila ushindi kwa city wala draw leo umebahatisha inabidi tukuache ujipe false hope , msimu ukiisha tutaanza kuwaletea hizi false hope mliokua nazo.
 
Saka, Martinelli and Saliba all rested over the international break. We’re getting better at this.
 
Wewe piga kelele kwa ushindi huu ila still utatoka patupu bila kombe lolote. Miaka 7 bila ushindi kwa city wala draw leo umebahatisha inabidi tukuache ujipe false hope , msimu ukiisha tutaanza kuwaletea hizi false hope mliokua nazo.
Umekuja🤠🤠...nyie wnye positive hopes leo mmecheza au hamjacheza🤠🤠🤠
 
Yule shabiki wa nyukesto leo anajifanya kama huko alipo sasahv mtandao haushiki...ypo kimyaaaa
kumbe soon Manjesta iliyojichokea inakaa juu ya huyu Newcastle

Ujue sifatiliagi Sana hiyo timu najua safari hii hata top 6 wanaweza wasiingie

Sasa nikitafakari manjesta Wana points 12 halafu huyu Newcastle tunayepigiwa kelele ana 13 nachoka kabisa
 
kumbe soon Manjesta iliyojichokea inakaa juu ya huyu Newcastle

Ujue sifatiliagi Sana hiyo timu najua safari hii hata top 6 wanaweza wasiingie

Sasa nikitafakari manjesta Wana points 12 halafu huyu Newcastle tunayepigiwa kelele ana 13 nachoka kabisa
Ukianza kutajiwa wachezaji Sasa🤠🤠...unaambiwa sijui tuna Almiron...sijui Gordon...sijui Gimaraes...mara tuna forward Kali....njoo kwny msimamo Sasa....ukicheki unaona wao na Manunu Wana tofauti ya point 1...unachoka kabisa🤠🤠
 
KUNA WAPAMBE WALIDAI PEP HAKUMTAKA RICE


PEP GUARDIOLA KUHUSU DECLAN RICE

"Kiukweli kila mmoja anajua Manchester city walikuwa wanamuhitaji, tulimuhitaji angecheza lakini sio mpaka Rodri asiwepo ndo angepata nafasi.Mwisho wa siku Arsenal waliongeza nguvu zaidi ili kumpata labda Arteta alikuwa na ushawishi mkubwa zaidi kuliko mimi au klabu au ofa yao ilikuwa nzuri zaidi".

Manchester city katika dirisha kubwa la usajili walionyesha nia ya kumtaka Declan Rice wakati yupo West ham lakini Arsenal walifanikiwa kumpata licha ya ushindani walioupata kutoka kwa Manchester city.
 
Back
Top Bottom