Unadhani City hawajaregister shot on target kwavile tulikua tunamiliki mpira?Sio kupaki basi na kaunta Tena?
Unadhani City hawajaregister shot on target kwavile tulikua tunamiliki mpira?Sio kupaki basi na kaunta Tena?
Sema hupendi shali ukaona ukae pemben.Nimezungumza kama shabiki wa LFC mkuu. Arsenal imeimprove sio ile ya miaka mi2 nyuma.
Unajua nilipotea online toka saa 7 mchana kwaiyo nilivyomaliza kuangalia game nikawa napitia taratibu kuanzia juu hadi chini aiseee, wanaojua football kwa uchambuzi kabla na baada ya mechi ni wachache sana,
Wapo wenye miemko katikati ya mechi hao ndo balaa tupu![]()

999 chattaFirst step
Ederson aumizwe.
Second step
Goli la nje ya box
Halafu na yy Henry akiulizwa ni mchezaji gani bora aliwahi kucheza naye kwny maisha ya soka...hamtaji babu Zidane wala fundi Messi...ila anamtaja faza Bergkamp...anakwmbia ule ulikuwa moto mwingine🤣🤣🤣...kwmba Braza kichogo alikuwa anakuiga uchezaji wako....kupata striker kama Henry pale epl sasahv itachukua mda kidogo....unabisha...mtafute Barthez umuulize pale Highbury alifanywa nn....hii watoto wa mwaka 2000 hawawezi jua
HUwezi mfananisha TH 14 na Halaand
Haiwezekani hata kidogo
Shuleni walikua wananiita Henry kwasababu Henry alikua anacheza kama mimi



Mikel Arteta said in his post-match press conference that he brought Takehiro Tomiyasu on to counter Pep’s sub of Jeremy Doku.Ni vitu vya kawaida tuKwa Raya naona ram kazini kwake kuna kazi
Yule shabiki wa nyukesto leo anajifanya kama huko alipo sasahv mtandao haushiki...ypo kimyaaaaHivi kumbe Newcastle ana points 13
Manjesta 12
![]()
Yule shabiki wa nyukesto leo anajifanya kama huko alipo sasahv mtandao haushiki...ypo kimyaaaa
Umekuja🤠🤠...nyie wnye positive hopes leo mmecheza au hamjacheza🤠🤠🤠Wewe piga kelele kwa ushindi huu ila still utatoka patupu bila kombe lolote. Miaka 7 bila ushindi kwa city wala draw leo umebahatisha inabidi tukuache ujipe false hope , msimu ukiisha tutaanza kuwaletea hizi false hope mliokua nazo.
Halafu mko nafasi ya ngapi vile🤠🤠🤠...pamoja na Manunu kucheza hivyo msimu huu ila mnafatana nao kwny msimamo...hivi mpo serious kwli ndugu zetuUmekuja🤠🤠...nyie wnye positive hopes leo mmecheza au hamjacheza🤠🤠🤠
Yule shabiki wa nyukesto leo anajifanya kama huko alipo sasahv mtandao haushiki...ypo kimyaaaa

kumbe soon Manjesta iliyojichokea inakaa juu ya huyu NewcastleUkianza kutajiwa wachezaji Sasa🤠🤠...unaambiwa sijui tuna Almiron...sijui Gordon...sijui Gimaraes...mara tuna forward Kali....njoo kwny msimamo Sasa....ukicheki unaona wao na Manunu Wana tofauti ya point 1...unachoka kabisa🤠🤠kumbe soon Manjesta iliyojichokea inakaa juu ya huyu Newcastle
Ujue sifatiliagi Sana hiyo timu najua safari hii hata top 6 wanaweza wasiingie
Sasa nikitafakari manjesta Wana points 12 halafu huyu Newcastle tunayepigiwa kelele ana 13 nachoka kabisa