Na tuna wachezaji wenye mentality ya ushindi.. Wakiongozwa na Rice.Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbali
Ni michuano ya kimkakati tu
Watu wananiona natania ila mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley
Timu nyingi UCL unga unga Sana
Bado mpinzani halisi Ni mancity
Hatimaye umekiri kuhusu Nketiah Goood!Ndio Maana sipend Nketiah kumuona kwenye hii timu
Pia sipend kumuona Kai as LCM
Kurejea kwa Partey ,means our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice
Napenda kumuona Kai as CF, anakusaidia vitu Kama hivo ,
Nketiah Ni mzururaji ,Arsenal wanarud sokon kusaka CF ,
Kwasasa Hakuna huruma
White ameletewa Jurrien Timber
Rams kaletewa Raya
Nketiah ni muda Sasa umefika atupishe
Huyu acheze CF ,LCM kasharud Rice Partey akamatie dimbaCity wakimuona huyu wanamuogopa kuliko defenda ya polisi
Aliwagalagaza sana kwenye ngao. Leo katoka na assist. Hata siamini kama mimi ndo naandika hivi!View attachment 2776012
Na Boko la Jorginho likawapa spurs pointDhidi ya Man utd 3 points
Dhidi ya Spurs 1 point
Dhidi ya Man City 3 points
Hii ndiyo maana ya timu kubwa.
Ukitaka kushinda Epl lazima uchukue pints kwa Big 6
We are gunners![]()
Wewe kiraka umetoka kupigwa juzi na lens team iko nafasi ya 18 kule seria A , harafu unasema ninUCL ilikuwa zaman unakutana na Bayern ,Barcelona ,made ,AC Milan ,intermilan , Halafu Kuna kina Porto ,man u, n.k
Leo eti Madrid ambayo haina world class GK Wala world class CF inasubiri Jude aiokoe ,
Bayern inaruhusu magoli daily, beki mbovu ,
Barcelona ndio yule alifungwa had na manjesta kule Europa


ila kweli mashabiki WA Arsenal ni makalio daaaaa.....huna nafasi hata ya kufuzu CL group stage mbele ya sevilla mzeeKwanini mkuu?Hatimaye umekiri kuhusu Nketiah Goood!
Nakujibu kimakosa but kufungwa hata Madrid iliyochukua Tripple UCL ilikuwa inafungwa had na kina Sheriff aliyokuwa anachezea Peter BandaWewe kiraka umetoka kupigwa juzi na lens team iko nafasi ya 18 kule seria A , harafu unasema ninila kweli mashabiki WA Arsenal ni makalio daaaaa.....huna nafasi hata ya kufuzu CL group stage mbele ya sevilla mzee
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?EPL mnaweza kubeba ila UCL ni ngumu sana.
Umekuja🤠🤠🤠...mnaanza kupiga ramli tena....walijifunga kwny ngao ya hisani tukabeba ndoo...na hii wamejifunga tena🤠🤠🤠.. malizia sentensi ya mwshoEpl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.
#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbali
Ni michuano ya kimkakati tu
Watu wananiona natania ila mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley
Timu nyingi UCL unga unga Sana
Bado mpinzani halisi Ni mancity
Hahahah! Kwamba tusubiri Leicester warudi EPL wakibeba ubingwa ndiyo Arsenyani tuwafikirie kwenye shughuli za ubingwa.Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.
#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Unavyokomalia mech na Lens Tena tumefungwa 2-1Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.
Kubeba EPL ni quality & squad depth tu. Leo mmemfunga City ila wao wana probability ya kuja kushinda hata mechi 7 mfululizo kwa quality waliyonayo. Sasa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
Kwahiyo knockout ni mechi moja?asa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
Masingeli anapenda kujitoa ufahamu tu, ingekua ni rahisi kama anavyosema angekua tayari ana makombe hata matatu ya Europa ambayo wameshiriki miaka 7 mtawaliwa pasi na kufika hata fainali, labda kama mimi sijaelewa kua anamaanisha kufika fainali ya Uefa ni rahisi kuliko kufika fainali ya Europa.Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.
Kubeba EPL ni quality & squad depth tu. Leo mmemfunga City ila wao wana probability ya kuja kushinda hata mechi 7 mfululizo kwa quality waliyonayo. Sasa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
Unakuja kwa kuchunguliaEpl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.
#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu