Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

City wakimuona huyu wanamuogopa kuliko defenda ya polisi😂

Aliwagalagaza sana kwenye ngao. Leo katoka na assist. Hata siamini kama mimi ndo naandika hivi!😂
IMG_20231008_214153_219.jpg
 
Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbali

Ni michuano ya kimkakati tu

Watu wananiona natania ila mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley

Timu nyingi UCL unga unga Sana

Bado mpinzani halisi Ni mancity
Na tuna wachezaji wenye mentality ya ushindi.. Wakiongozwa na Rice.

Huyu jamaa ni kiongozi uwanjani. Anawaza kushinda muda wote.
 
UCL ilikuwa zaman unakutana na Bayern ,Barcelona ,made ,AC Milan ,intermilan , Halafu Kuna kina Porto ,man u, n.k


Leo eti Madrid ambayo haina world class GK Wala world class CF inasubiri Jude aiokoe ,

Bayern inaruhusu magoli daily, beki mbovu ,

Barcelona ndio yule alifungwa had na manjesta kule Europa
 
Ndio Maana sipend Nketiah kumuona kwenye hii timu

Pia sipend kumuona Kai as LCM

Kurejea kwa Partey ,means our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Napenda kumuona Kai as CF, anakusaidia vitu Kama hivo ,

Nketiah Ni mzururaji ,Arsenal wanarud sokon kusaka CF ,

Kwasasa Hakuna huruma


White ameletewa Jurrien Timber

Rams kaletewa Raya

Nketiah ni muda Sasa umefika atupishe
Hatimaye umekiri kuhusu Nketiah Goood!
 
UCL ilikuwa zaman unakutana na Bayern ,Barcelona ,made ,AC Milan ,intermilan , Halafu Kuna kina Porto ,man u, n.k


Leo eti Madrid ambayo haina world class GK Wala world class CF inasubiri Jude aiokoe ,

Bayern inaruhusu magoli daily, beki mbovu ,

Barcelona ndio yule alifungwa had na manjesta kule Europa
Wewe kiraka umetoka kupigwa juzi na lens team iko nafasi ya 18 kule seria A , harafu unasema ninila kweli mashabiki WA Arsenal ni makalio daaaaa.....huna nafasi hata ya kufuzu CL group stage mbele ya sevilla mzee
 
Hatimaye umekiri kuhusu Nketiah Goood!
Kwanini mkuu?

Mimi nketiah namsapoti Kama mchezaji wa Arsenal , but Kati ya Nketiah na Kai ukiniambia Nan aanze CF nitaenda na Kai ,

Nketiah anatukaba ,ana faida moja tu anayowazid Jesus na Kai , finishing Tena Ina siku na siku

Kai akicheza CF anaweza asifunge ila atakupa faida watafunga wengine sio nketiah
 
Wewe kiraka umetoka kupigwa juzi na lens team iko nafasi ya 18 kule seria A , harafu unasema ninila kweli mashabiki WA Arsenal ni makalio daaaaa.....huna nafasi hata ya kufuzu CL group stage mbele ya sevilla mzee
Nakujibu kimakosa but kufungwa hata Madrid iliyochukua Tripple UCL ilikuwa inafungwa had na kina Sheriff aliyokuwa anachezea Peter Banda

Hivi unadhan Arsenal angehitaji matokeo anakosa kwa Lens ,?


Huyo Lens anakuja Emirates
 
EPL mnaweza kubeba ila UCL ni ngumu sana.
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kamfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.


#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
 
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.


#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Umekuja🤠🤠🤠...mnaanza kupiga ramli tena....walijifunga kwny ngao ya hisani tukabeba ndoo...na hii wamejifunga tena🤠🤠🤠.. malizia sentensi ya mwsho
 
Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbali

Ni michuano ya kimkakati tu

Watu wananiona natania ila mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley

Timu nyingi UCL unga unga Sana

Bado mpinzani halisi Ni mancity
Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.

Kubeba EPL ni quality & squad depth tu. Leo mmemfunga City ila wao wana probability ya kuja kushinda hata mechi 7 mfululizo kwa quality waliyonayo. Sasa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
 
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.


#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Hahahah! Kwamba tusubiri Leicester warudi EPL wakibeba ubingwa ndiyo Arsenyani tuwafikirie kwenye shughuli za ubingwa.
 
Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.

Kubeba EPL ni quality & squad depth tu. Leo mmemfunga City ila wao wana probability ya kuja kushinda hata mechi 7 mfululizo kwa quality waliyonayo. Sasa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
Unavyokomalia mech na Lens Tena tumefungwa 2-1

Wale wakija Emirates Ni 4-0

Lens kutufunga Ni bahati mbaya tu

Na kwenye makundi hizi scenario zipo tu

UCL hata timu mbovu zinafikaga mbali ,unakuta kwenye Ligi zipo hoi

UCL Ni mechi za mikakati tu


Mark my words ,Arsenal tutakuwa Wembley may mwakani
 
Kubeba UCL siyo rahisi kama unavyofikiria, ingekuwa hivyo Arsenal mngeshabeba miaka mingi sana. Kwenye UCL ukifanya makosa hata mechi moja tu upo nje wakati huo kwenye ligi unaweza kudondosha points na ukamaliza msimu vizuri.

Kubeba EPL ni quality & squad depth tu. Leo mmemfunga City ila wao wana probability ya kuja kushinda hata mechi 7 mfululizo kwa quality waliyonayo. Sasa UCL kama ni knockout stage ile mechi na Lens tayari mmetolewa kwa kucheza vibaya mechi 1 tu inawagharimu.
Masingeli anapenda kujitoa ufahamu tu, ingekua ni rahisi kama anavyosema angekua tayari ana makombe hata matatu ya Europa ambayo wameshiriki miaka 7 mtawaliwa pasi na kufika hata fainali, labda kama mimi sijaelewa kua anamaanisha kufika fainali ya Uefa ni rahisi kuliko kufika fainali ya Europa.
 
Epl ipi unayoizungumzia kwanza?
Isije kua unazungumzia Epl ya mwanaFA na Emirates cup halafu mimi nikakupinga bure.
Arsenyau itachukua Epl baada ya Leicester City kuchukua hilo kombe kwa mara nyingine tena, usiniulize ni lini Leicester atashinda tena hilo kombe maana hata mimi mwenyewe sijui.
Ni Uongo mkubwa kusema leo Arsenyo kumfunga Mancity, bali ni sahihi kusema leo Mancity amejifunga halafu Asenyo akapata point 3.


#Kai Balon D'or
#Nketiah kiatu
Unakuja kwa kuchungulia


Mashabiki wa manjesta bhana
 
Back
Top Bottom