hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,290
- 26,693
Ndio nimeangalia msimamo hapa ,nimeshangaa namuona manjesta yupo taabani kumbe anaweza kukaa juu ya hao NewcastleUkianza kutajiwa wachezaji Sasa...unaambiwa sijui tuna Almiron...sijui Gordon...sijui Gimaraes...mara tuna forward Kali....njoo kwny msimamo Sasa....ukicheki unaona wao na Manunu Wana tofauti ya point 1...unachoka kabisa
![]()


Tuliambiwa itaongoza Ligi msimu huu

. 