Recently, everytime we meet City, kuna key player wetu huwa ana miss.
Last season, game ya kwanza Emirates tulimkosa Partey ambae mfumo ulikua ushamkubali, akacheza Jorginho tukala chuma 3-1, though tulikua best team on the field.
Mechi ya marudiano Ettihad, kulimkosa Saliba akacheza Holding mwisho tukala chuma 4-1 na tulitawaliwa mwanzo mwisho.
This time may be different, though ilibaki kiduchu tumkose na Saka..
Nachotaka kusema safari hii odds zinaweza zikawa upande wetu coz wao wanamkosa mchezaji wao muhimu, Rodri.. So tuna nafasi nzuri ya kukatisha uteja wetu kwa City.
Mi nasema tusipomfunga Pep safari hii basi hatutamfunga tena mpaka atakapoondoka!