Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hapo Kai umemuongeza tu ila hata asingekuwepo hakuna ambaye angelalamika. Ila Tomi jana sijui aliingia kucheza kama beki ama forward maana nakumbuka kumuona mbele tu anafanya machambulizi ila sikumnbuki kumuona nyuma akikaba
Arteta anasema alipoona Pep kamuingiza Doku upande wa Zinny akamleta Tomiyasu kumkabili, ila alipohamia upande wa White akampa Tomi majukumu ya kwenda mbele
20231009_082539.jpg
 
Watangazaji wakawa wanafananisha red ya yule dogo wa liva jones baada ya kumchezea rafu Bissouma na Kovacic alichofanya jana baada ya yellow ya kwanza.

Binafsi niliamini Kovacic hastahili kubaki baada ya ule mchezo alioufanya.

Wakati Tomi anampelekea mpira Kai nilisimama nikijua Kai anaunga ule mpira, mpaka unafika kwa Kai Ake akawa kashafika akili ya haraka ikaniambia Kai atajaribu kubody feint na kuscore.

Instead akachagua the simple solution he could see. Akamrudishia sub mwenzake Martinelli. Wakati Martinelli anausogelea mpira, Tomiyasu akawa anapisha njiani, mtangazaji akaita "Martinelliiiiii" mimi muda huo nishasema "Kai vipi tena hapo".

Martinelli anakuja na sasa hivi naamini anaitafuta angle kwa kupiga ndizi. Ake, beki tuliyeambiwa amekuja kumfunika Saka, yeye hakutoka njiani. Ile ndizi ikatua kwake na mpira ukawa wavuni.

Jinsi tumecheza kutotaka kujibizana nao kumesababisha Haaland aonekane wa kawaida, jana au juzi kuna member tukiwa tunaongelea finishing ya Nketiah nikamuambia in terms of finishing and consistency ya conversion Nketiah ndiye top kwa Arsenal.

Na asiposcore utamuona miyeyusho coz huko kwingine ni mbovu. Haaland hajascore na mashabiki wa City wanamuona miyeyusho, lakini ni lini Haaland ameoffer kitu zaidi ya kuscore consistently?

Wiki nzima tunaambiwa Ben atakiona cha moto akikutana na Doku. Doku akaingia na Ben akampiga tobo jamaa na jamaa hajafurukuta hata kidogo.

Tulivyocheza na liva msimu uliopita % kubwa tuliamini we have a chance mara zote 2 nafikiri mpaka msimu ujao tutakua na imani hiyo dhidi ya City pia.

Yule jamaa aliyedai kwamba atajitoa JF nasikia JF wenyewe ukiripoti wanamban
Me nimesema Nketiah Hana finishing ya kustaajabisha, anaachwa mbali sana na Trossard. Hata Chamack alikua anafunga

Kuna chance aliipata akapiga off target, ile angeipata mtu kama Trossard tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi. Kuna move nyingine alikuwa na odegard, Odegard alijua jamaa ameotea akawa anauwahi mpira, Nketiah naye kauwahi ikawa offside (ameua shambulizi)

Kitu ambacho nadhani kamzidi Trossard labda nguvu tu. Lakini pia Nketiah siku hizi namuona anawahi sana kuchoka tofauti na game za nyuma kidogo
 
Cc
YinYang
Bridger
Cookie
BlackBold
Moderator

Atimiziwe ombi lake huyu mdau
Ligi Ni marathon ,mim katika kitu ambacho Sina wasiwasi nacho Ni Arsenal kuwa top of the table ...

Ni team flani hivi average ya kitoto haina ambition ,hata tukiwaacha Arsenal na Spurs wakimbizane kugombea ubingwa Spurs will cook you ..

Mara nyingi team ndogo kama Arsenal season after season Ni kusherekea kuzifunga team kubwa ambazo walikuwa na mlolongo bila kuzifunga ,last season ubingwa wenu ulikuwa kuifunga united stoppage time ,ndio maana mlicelebrate kama vile mmechukua EPL ,the rest is history..

Ndio maana hata mashabiki wengi WA Arsenal psychological walishakuwa affect ,Uzi WA Arsenal unaweza fikilia labda wanadiscuss football , tactics na technique ,masikini ya Mungu ukiangalia comments zao Ni za kusikitisha ,maana unahisi Ni watu WA mirembe wapo jf wanajaza server za jf Kwa kuandika pumba tupu ,ila Ni haki Yao Kwa sababu simu Ni zao na Bando Ni Lao ......Sisi wenye Akili timamu tuaoelewa football kuingia Uzi WA Arsenal na kujipishana na watu waliozeeka lakin hawana knowlodge na football Ni matumizi mabaya ya Akili ,,siwezi kabisa absolute not ,..
 
Mara zote tulipokua tunakutana na city tulikua na bahati mbaya ya kikosi
Either kikosi kinajitafuta (enzi za kina mustapha)
Majerui (partey, saliba..)

Kwa mwendo huu wa kikosi kipana
Tusiwe na injuries Sana za watu muhimu

• 23 touches
• 0 shots.
• 0 shots on goal
• 0 goals

• [0.00{ Expected goals rate (xG)

• Found in the pockets of Saliba

Eti Haaland wanamuita jini
IMG-20231009-WA0000.jpg
 
Ligi Ni marathon ,mim katika kitu ambacho Sina wasiwasi nacho Ni Arsenal kuwa top of the table ...

Ni team flani hivi average ya kitoto haina ambition ,hata tukiwaacha Arsenal na Spurs wakimbizane kugombea ubingwa Spurs will cook you ..

Mara nyingi team ndogo kama Arsenal season after season Ni kusherekea kuzifunga team kubwa ambazo walikuwa na mlolongo bila kuzifunga ,last season ubingwa wenu ulikuwa kuifunga united stoppage time ,ndio maana mlicelebrate kama vile mmechukua EPL ,the rest is history..

Ndio maana hata mashabiki wengi WA Arsenal psychological walishakuwa affect ,Uzi WA Arsenal unaweza fikilia labda wanadiscuss football , tactics na technique ,masikini ya Mungu ukiangalia comments zao Ni za kusikitisha ,maana unahisi Ni watu WA mirembe wapo jf wanajaza server za jf Kwa kuandika pumba tupu ,ila Ni haki Yao Kwa sababu simu Ni zao na Bando Ni Lao ......Sisi wenye Akili timamu tuaoelewa football kuingia Uzi WA Arsenal na kujipishana na watu waliozeeka lakin hawana knowlodge na football Ni matumizi mabaya ya Akili ,,siwezi kabisa absolute not ,..
Tutachukua tu hata Liverpool walikuwa wanakosa kombe mara kibao tu lakini baadae wakalipata na sisi tutalipata punguza kukariri maisha usikae hapo ukafikiri Arteta na Arsenal yake hawajifunzi from mistakes ili wapate matokeo bora zaidi mwisho wa siku kuchukua kombe,i tell you this season is different last season city kachukua point 6 kwetu but now tumeshachukua 3 kutoka kwake na tunasubiri kukusanya more points from top 6 team na hakika msimu huu tutafanya kitu zaidi ya last season mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutachukua tu hata Liverpool walikuwa wanakosa kombe mara kibao tu lakini baadae wakalipata na sisi tutalipata punguza kukariri maisha usikae hapo ukafikiri Arteta na Arsenal yake hawajifunzi from mistakes ili wapate matokeo bora zaidi mwisho wa siku kuchukua kombe,i tell you this season is different last season city kachukua point 6 kwetu but now tumeshachukua 3 kutoka kwake na tunasubiri kukusanya more points from top 6 team na hakika msimu huu tutafanya kitu zaidi ya last season mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa MTU anaejua EPL ,kujua makocha waliopo na mentality walizonazo harafu akaangalia hii table ilivo , ndio unaweza kudhibitisha kuwa kuna watu humu wanajiita Ni mafans WA Arsenal dish lilishayumba , ubingwa hapo bado mnoo ,Kwa table ilivo hata united anaweza kupush game 4 tu akawa top of the table ...
IMG-20231009-WA0000.jpg
 
Kwa MTU anaejua EPL ,kujua makocha waliopo na mentality walizonazo harafu akaangalia hii table ilivo , ndio unaweza kudhibitisha kuwa kuna watu humu wanajiita Ni mafans WA Arsenal dish lilishayumba , ubingwa hapo bado mnoo ,Kwa table ilivo hata united anaweza kupush game 4 tu akawa top of the table ...View attachment 2776380
Elewa message yangu,kwa mtazamo wangu naona bado tuna uwezo wa kupambania kombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa MTU anaejua EPL ,kujua makocha waliopo na mentality walizonazo harafu akaangalia hii table ilivo , ndio unaweza kudhibitisha kuwa kuna watu humu wanajiita Ni mafans WA Arsenal dish lilishayumba , ubingwa hapo bado mnoo ,Kwa table ilivo hata united anaweza kupush game 4 tu akawa top of the table ...View attachment 2776380
Acha kukariri wewe unaongea as if hao man city toka ianzishwe inachukua tu makombe...arsenal is progressing bro unaona kabsa kila mwaka kuna hatua wanavuka hebu sometimes jaribuni kuwapa credit hiv mmesahau arsenal ilipotoka?
 
Ligi Ni marathon ,mim katika kitu ambacho Sina wasiwasi nacho Ni Arsenal kuwa top of the table ...

Ni team flani hivi average ya kitoto haina ambition ,hata tukiwaacha Arsenal na Spurs wakimbizane kugombea ubingwa Spurs will cook you ..

Mara nyingi team ndogo kama Arsenal season after season Ni kusherekea kuzifunga team kubwa ambazo walikuwa na mlolongo bila kuzifunga ,last season ubingwa wenu ulikuwa kuifunga united stoppage time ,ndio maana mlicelebrate kama vile mmechukua EPL ,the rest is history..

Ndio maana hata mashabiki wengi WA Arsenal psychological walishakuwa affect ,Uzi WA Arsenal unaweza fikilia labda wanadiscuss football , tactics na technique ,masikini ya Mungu ukiangalia comments zao Ni za kusikitisha ,maana unahisi Ni watu WA mirembe wapo jf wanajaza server za jf Kwa kuandika pumba tupu ,ila Ni haki Yao Kwa sababu simu Ni zao na Bando Ni Lao ......Sisi wenye Akili timamu tuaoelewa football kuingia Uzi WA Arsenal na kujipishana na watu waliozeeka lakin hawana knowlodge na football Ni matumizi mabaya ya Akili ,,siwezi kabisa absolute not ,..
Against Arsenal your most clinical finisher hajapiga shot.

The whole team imepiga shots nne.

Sisi tumekubali Arsenal ni timu ndogo. Swali langu kwako ni utajipiga ban au ulikua unanogesha stori?
 
Kwa MTU anaejua EPL ,kujua makocha waliopo na mentality walizonazo harafu akaangalia hii table ilivo , ndio unaweza kudhibitisha kuwa kuna watu humu wanajiita Ni mafans WA Arsenal dish lilishayumba , ubingwa hapo bado mnoo ,Kwa table ilivo hata united anaweza kupush game 4 tu akawa top of the table ...View attachment 2776380
Huyo united apush game 4 awe top of the table labda top 6 wapigwe game zote 4 kitu ambacho siyo rahisi kutokea bro ni kama ndoto tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game na spurs kama partey angekuwepo, zile nafasi kina jesus wangeweka basi tungekuwa tunazungumza mengine.
Kibabu jorginho kiliharibu mambo.

Lakini si mbaya, ndio football.
Jorginho sio mzuri kupiga pasi za mbele, mara zote hupenda kuilinda timu kwa kurudisha mipira kwa Kipa
 
Watangazaji wakawa wanafananisha red ya yule dogo wa liva jones baada ya kumchezea rafu Bissouma na Kovacic alichofanya jana baada ya yellow ya kwanza.

Binafsi niliamini Kovacic hastahili kubaki baada ya ule mchezo alioufanya.

Wakati Tomi anampelekea mpira Kai nilisimama nikijua Kai anaunga ule mpira, mpaka unafika kwa Kai Ake akawa kashafika akili ya haraka ikaniambia Kai atajaribu kubody feint na kuscore.

Instead akachagua the simple solution he could see. Akamrudishia sub mwenzake Martinelli. Wakati Martinelli anausogelea mpira, Tomiyasu akawa anapisha njiani, mtangazaji akaita "Martinelliiiiii" mimi muda huo nishasema "Kai vipi tena hapo".

Martinelli anakuja na sasa hivi naamini anaitafuta angle kwa kupiga ndizi. Ake, beki tuliyeambiwa amekuja kumfunika Saka, yeye hakutoka njiani. Ile ndizi ikatua kwake na mpira ukawa wavuni.

Jinsi tumecheza kutotaka kujibizana nao kumesababisha Haaland aonekane wa kawaida, jana au juzi kuna member tukiwa tunaongelea finishing ya Nketiah nikamuambia in terms of finishing and consistency ya conversion Nketiah ndiye top kwa Arsenal.

Na asiposcore utamuona miyeyusho coz huko kwingine ni mbovu. Haaland hajascore na mashabiki wa City wanamuona miyeyusho, lakini ni lini Haaland ameoffer kitu zaidi ya kuscore consistently?

Wiki nzima tunaambiwa Ben atakiona cha moto akikutana na Doku. Doku akaingia na Ben akampiga tobo jamaa na jamaa hajafurukuta hata kidogo.

Tulivyocheza na liva msimu uliopita % kubwa tuliamini we have a chance mara zote 2 nafikiri mpaka msimu ujao tutakua na imani hiyo dhidi ya City pia.

Yule jamaa aliyedai kwamba atajitoa JF nasikia JF wenyewe ukiripoti wanamban
Ila kuna muda huwa naamini pengine martinell akikaa kati kama centre foward pengine tunaweza ona zaidi ya tunachoona
 
hapo Kai umemuongeza tu ila hata asingekuwepo hakuna ambaye angelalamika. Ila Tomi jana sijui aliingia kucheza kama beki ama forward maana nakumbuka kumuona mbele tu anafanya machambulizi ila sikumnbuki kumuona nyuma akikaba
Kuna kitu kimoja jana nilikiona baina ya Ederson- halland -alvarez kuna long ball alikua anazipiga Ederson halland anahold kwa fisrt touch alf alvarez anapita na mpira kama upepo alifanya kama mara mbili au 3 ivi, na last game KDB lituumiza kwa mpira wa aina iyo iyo.

Kwa uwezo wa Raya wa kupiga long ball kwa usahihi tunamuitaji Kai au new striker aina ya Toney kuna mipira ilikua inapotea sana tulikua tunamtegemea jesus pekee kwenye kufanya ivyo ila na yeye alikua yuko Wide kwaiyo nmemtaja Kai kwa kile nilichokiona kwenye game ya Jana,game ambazo anazokuepo na aina ile ya mipira tunayoitaji kucheza,

Kuna jamaa umu alikua analalamika sana kuhusu Arteta kua amekaliliwa na aina yake ya uchezaji ana akawa anahusu angalau kuna muda inabid tupige pasi 3/2 au moja kufika golini na kupata bao naona msimu huu kuna mabadiliko sana ya ivho kitu ambacho jamaa alikua anadai na kina matunda sana, nahis ni kati ya
-Castr
-ComputerArsenal
- Au zittor sina hakika saaana ila kama yupo naona anikumbushe kwaiyo sijamtaja Kai kwa bahati mbaya bro

Tomiyasu mpira upo katikati ila yeye yupo pale ambapo Xhaka alikua anakaa sikuamin kama atakua eneo lile yule jamaa.
 
Back
Top Bottom