Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetuMpira una matokeo matatu
But hii haizuii Mashabiki kuwa na Iman na timu Yao
Hata wao Mancity wanaogopa pitia platform zao
EPL Hakuna mchekeamchekea ,
Wanakuja kwetu lazima wawe na adabu
lazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzaniKwamba picha za mazoezi zimefichwa
Ila utoto raha sana kama kombolela vile.

Sawa wanakuwaga hawapo sasa ndo mpigwe mechi nyingi hivi mfululizo.City mara nyingi amekuwa ananufaika anatukuta hatuna key players wetu wengi
Uliona Community shield alitukuta Jesus hayupo ,wengi walikuwepo ,uliona mziki wake
Sasa leo tutaishi nae vzr atake asitake
Kuna mechi tulimkamataga Sana hapo Emirates,Refa akaingilia Kati kuwasaidia tukanyimwa penalty wakaja kupewa wao na tukapewa Red
Sawa mlichafua hii mechi tufanye iyo mlifungwa sababu ya red card Vipi na hizi zingine zimefikaje?Hii game naikumbuka
Before red card, ngoma ilikua 50/50 octopus partey anachafua tu dimba
Yule Refa mpuuzi akaanza kumtoa umeme partey![]()
Shukrani mkuu kwa kutukumbushaSawa mlichafua hii mechi tufanye iyo mlifungwa sababu ya red card Vipi na hizi zingine zimefikaje?View attachment 2775223
Adabu unaitoa wapi kwa ratiba hii kwanza man City akutakiwa hata kupasha maana anaendelea alipoishia maana nyie ni vibonde wake tu mtaki mtapigwa mnataka mtapigwa.Mpira una matokeo matatu
But hii haizuii Mashabiki kuwa na Iman na timu Yao
Hata wao Mancity wanaogopa pitia platform zao
EPL Hakuna mchekeamchekea ,
Wanakuja kwetu lazima wawe na adabu
Hamis ni tapeli pekee aliyepo arsenal, wengi wenu mna akili sana isipokuwa huyo hamis chambuzi la ETHAlmost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu
Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye cameralazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani
Leo mkorea na kuona jinsi utavyolia Sana aise na kutapatapa Kama mfa maji huku haters wenu ikiwa ni furaha tu.Shukrani mkuu kwa kutukumbusha

Mna miaka karibu 200 hamna hyo UCL, acha kuwadanganya kaka zako humu JFMimi kusema kule UCL timu ngumu Ni city ukitoa wengine ungaunga anachukia
Yalianza makampuni ya ubashiri yaliweka kwa ascending Order
Mancity
Baryen
Madrid
Arsenal
Nikasema Madrid hatishi Tena hata magoli kwasasa yanafungwa Sana na Jude , je Jude atafunga kila siku ?
Nikasema Madrid pia hawana a world class GK na CF
Bayern pia Ni unga unga ,Hana beki nzuri anaruhusu Sana magoli ,Hana a no.6/DM wakueleweka
Tuliona Bayern alivyocheza na Manjesta iliyojichokea ,walioangalia Bayern na Copenhagen watakuwa wanaelewa jinsi Bayern alivyokuwa anasumbuliwa
But kwa factors hizi Ni dhahiri hao Wawili hawana Quality kama ya mancity wamewekwa juu ya Arsenal kwa kigezo kimoja tu Ni wazoefu na big teams .
So Mimi kumuona mancity ndiye mgumu pekee UCL mtu anaumia .
Huo ndio ukweli
Tukutane may Pale Wembley Fainal
In Arteta we trustLeo mkorea na kuona jinsi utavyolia Sana aise na kutapatapa Kama mfa maji huku haters wenu ikiwa ni furaha tu.View attachment 2775230




Ni mara nyingi tu Arsenal wamewakosa wachezaji muhimu dhidi ya City i.e Partey, Saliba etc, hiyo ni hali ya kawaida mchezoni, ni kama vile Arsenal watavyomkosa Timber au Gabriel Martinelli, au maybe Saka. Mwisho wa siku mpira lazima uchezwe, No excuses.
Assume itokee Real Madrid, Bayern, Arsenal na Man City wawe kundi 1 UCL alafu zinafuzu team 3, unafikiri Arsenal ana quality ya kufuzu hapo?Mimi kusema kule UCL timu ngumu Ni city ukitoa wengine ungaunga anachukia
Yalianza makampuni ya ubashiri yaliweka kwa ascending Order
Mancity
Baryen
Madrid
Arsenal
Nikasema Madrid hatishi Tena hata magoli kwasasa yanafungwa Sana na Jude , je Jude atafunga kila siku ?
Nikasema Madrid pia hawana a world class GK na CF
Bayern pia Ni unga unga ,Hana beki nzuri anaruhusu Sana magoli ,Hana a no.6/DM wakueleweka
But kwa factors hizi Ni dhahiri hao Wawili hawana Quality kama ya mancity wamewekwa juu ya Arsenal kwa kigezo kimoja tu Ni wazoefu na big teams .
So Mimi kumuona mancity ndiye mgumu pekee UCL mtu anaumia .
Huo ndio ukweli
Tukutane may Pale Wembley Fainal
Kaifunze kwanza upangaji wa makundi unakuwajeAssume itokee Real Madrid, Bayern, Arsenal na Man City wawe kundi 1 UCL alafu zinafuzu team 3, unafikiri Arsenal ana quality ya kufuzu hapo?
Nitake radhi mkuu ,mm sio tapeliHamis ni tapeli pekee aliyepo arsenal, wengi wenu mna akili sana isipokuwa huyo hamis chambuzi la ETH
Mimi na exposure huenda kuliko wewe ,Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu
Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye cameralazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani
Hao City wanalalamika kwan wana mashabiki?City nayo mpaka saivi imekosa wachezaji ambao kwao ni muhimu zaidi vile vile kama KDB lakini husikiii wakilalamika . Ni sawa na Arsenal kumkosa ode hawa wengine si engine ya team kama alivyo KDB au ode, so excuses zisiwepo .
Kuna baadhi ya games hao kina martineli huwa hawafanyi lolote mpaka baadhi ya arsenal fans mnataka aanze trossard badala ya martinelli.
Key players akiwa fit nachojua ni kuwa panga pangua huwezi kumkosa X1 sasa nyie kila mchezaji mnamwita key player yaani timber angekuwepo halafu zincheko kaumia bado mngepiga kelele kuwa zincheko hayupo au white hayupo. Wakati tunajua hata wote wangekuepo still kuna baadhi wasingecheza kutokana na kucheza position inayofanana.


