Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira una matokeo matatu

But hii haizuii Mashabiki kuwa na Iman na timu Yao

Hata wao Mancity wanaogopa pitia platform zao

EPL Hakuna mchekeamchekea ,

Wanakuja kwetu lazima wawe na adabu
Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu

Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye camera lazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani
 
Kwamba picha za mazoezi zimefichwa

Ila utoto raha sana kama kombolela vile.

Yaani hivi vichekesho hupati sehemu yoyote ile zaidi ya humu, Man city wakusubiri picha za mazoezi za Arsenal kwel? ili tu kuangalia kama martinelli yupo amq hayupo picha zenyewe za insta au youtube

Kama hizi ndo mind games basi hata ihefu tu hawezi kufanya maana ni vichekesho ila wauza matikiti wanakuambia kwao ndo mind games. Yaani picha za mazoezini zifanye team ipate ushindi au ifungwe haya ni maajabu .
 
City mara nyingi amekuwa ananufaika anatukuta hatuna key players wetu wengi

Uliona Community shield alitukuta Jesus hayupo ,wengi walikuwepo ,uliona mziki wake

Sasa leo tutaishi nae vzr atake asitake


Kuna mechi tulimkamataga Sana hapo Emirates,Refa akaingilia Kati kuwasaidia tukanyimwa penalty wakaja kupewa wao na tukapewa Red
Sawa wanakuwaga hawapo sasa ndo mpigwe mechi nyingi hivi mfululizo.

Utofauti wenu na kondoo tukisema ni harufu tu tutakuwa tumekosea.

Yani hii Ni zaidi ya uteja aise Yani Ni kupigwa Left _Right

Prediction

Arsenyani 1 vs Manchester City 3
1676402760623.jpg
 
Mpira una matokeo matatu

But hii haizuii Mashabiki kuwa na Iman na timu Yao

Hata wao Mancity wanaogopa pitia platform zao

EPL Hakuna mchekeamchekea ,

Wanakuja kwetu lazima wawe na adabu
Adabu unaitoa wapi kwa ratiba hii kwanza man City akutakiwa hata kupasha maana anaendelea alipoishia maana nyie ni vibonde wake tu mtaki mtapigwa mnataka mtapigwa.
1696517779849.jpg
 
Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu

Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye camera lazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani
Hamis ni tapeli pekee aliyepo arsenal, wengi wenu mna akili sana isipokuwa huyo hamis chambuzi la ETH
 
Mimi kusema kule UCL timu ngumu Ni city ukitoa wengine ungaunga anachukia


Yalianza makampuni ya ubashiri yaliweka kwa ascending Order

Mancity
Baryen
Madrid
Arsenal

Nikasema Madrid hatishi Tena hata magoli kwasasa yanafungwa Sana na Jude , je Jude atafunga kila siku ?

Nikasema Madrid pia hawana a world class GK na CF

Bayern pia Ni unga unga ,Hana beki nzuri anaruhusu Sana magoli ,Hana a no.6/DM wakueleweka

Tuliona Bayern alivyocheza na Manjesta iliyojichokea ,walioangalia Bayern na Copenhagen watakuwa wanaelewa jinsi Bayern alivyokuwa anasumbuliwa

But kwa factors hizi Ni dhahiri hao Wawili hawana Quality kama ya mancity wamewekwa juu ya Arsenal kwa kigezo kimoja tu Ni wazoefu na big teams .


So Mimi kumuona mancity ndiye mgumu pekee UCL mtu anaumia .

Huo ndio ukweli


Tukutane may Pale Wembley Fainal
Mna miaka karibu 200 hamna hyo UCL, acha kuwadanganya kaka zako humu JF
 
Ni mara nyingi tu Arsenal wamewakosa wachezaji muhimu dhidi ya City i.e Partey, Saliba etc, hiyo ni hali ya kawaida mchezoni, ni kama vile Arsenal watavyomkosa Timber au Gabriel Martinelli, au maybe Saka. Mwisho wa siku mpira lazima uchezwe, No excuses.

City nayo mpaka saivi imekosa wachezaji ambao kwao ni muhimu zaidi vile vile kama KDB lakini husikiii wakilalamika . Ni sawa na Arsenal kumkosa ode hawa wengine si engine ya team kama alivyo KDB au ode, so excuses zisiwepo .

Kuna baadhi ya games hao kina martineli huwa hawafanyi lolote mpaka baadhi ya arsenal fans mnataka aanze trossard badala ya martinelli.

Key players akiwa fit nachojua ni kuwa panga pangua huwezi kumkosa X1 sasa nyie kila mchezaji mnamwita key player yaani timber angekuwepo halafu zincheko kaumia bado mngepiga kelele kuwa zincheko hayupo au white hayupo. Wakati tunajua hata wote wangekuepo still kuna baadhi wasingecheza kutokana na kucheza position inayofanana.
 
Mimi kusema kule UCL timu ngumu Ni city ukitoa wengine ungaunga anachukia


Yalianza makampuni ya ubashiri yaliweka kwa ascending Order

Mancity
Baryen
Madrid
Arsenal

Nikasema Madrid hatishi Tena hata magoli kwasasa yanafungwa Sana na Jude , je Jude atafunga kila siku ?

Nikasema Madrid pia hawana a world class GK na CF

Bayern pia Ni unga unga ,Hana beki nzuri anaruhusu Sana magoli ,Hana a no.6/DM wakueleweka

But kwa factors hizi Ni dhahiri hao Wawili hawana Quality kama ya mancity wamewekwa juu ya Arsenal kwa kigezo kimoja tu Ni wazoefu na big teams .


So Mimi kumuona mancity ndiye mgumu pekee UCL mtu anaumia .

Huo ndio ukweli


Tukutane may Pale Wembley Fainal
Assume itokee Real Madrid, Bayern, Arsenal na Man City wawe kundi 1 UCL alafu zinafuzu team 3, unafikiri Arsenal ana quality ya kufuzu hapo?
 
Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu

Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye camera lazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani
Mimi na exposure huenda kuliko wewe ,

Kwa akili yako unadhani mancity anakuja bila kupambana ?


Nimepitia platforms za mancity kwenye mitandao yakijamii nimeona wanavyohofu mechi ya leo


Wewe upo tandahimba unanibishia ,hivi utaacha ujinga lini


Yaani wewe unatokeeaga kwenye mechi unazohisi tunaungwa ili utunange vzr


Tulifungwa pre season na manjesta 2-0 uliinanga timu na kocha ukajimaliza


Mech na mancity Community shield hivo hivo uliinanga timu ukasema tupaki basi


Tulipomuweka nyuma mancity nakupata goli ,ukapotea


Why mtu Kama wewe usikilizwe?


Unataka tuseme leo tutafungwa ndio ufurahi


Wewe ulihamia PSG ukatuacha humu na kejeri kibao ,Leo Nani atakuamini
 
City nayo mpaka saivi imekosa wachezaji ambao kwao ni muhimu zaidi vile vile kama KDB lakini husikiii wakilalamika . Ni sawa na Arsenal kumkosa ode hawa wengine si engine ya team kama alivyo KDB au ode, so excuses zisiwepo .

Kuna baadhi ya games hao kina martineli huwa hawafanyi lolote mpaka baadhi ya arsenal fans mnataka aanze trossard badala ya martinelli.

Key players akiwa fit nachojua ni kuwa panga pangua huwezi kumkosa X1 sasa nyie kila mchezaji mnamwita key player yaani timber angekuwepo halafu zincheko kaumia bado mngepiga kelele kuwa zincheko hayupo au white hayupo. Wakati tunajua hata wote wangekuepo still kuna baadhi wasingecheza kutokana na kucheza position inayofanana.
Hao City wanalalamika kwan wana mashabiki?

Uku kuna banda umiza moja kulikua na game kama 4 ivi alf zote za mda mmja ilikua ni EFL tv ni 3 tu
Brendford vs Arsenal

Liverpool vs Leicester

Chelsea vs Brighton

Newcastle vs Man city


mwenye banda analazimisha kuweka game ya Man city mwamba mmoja akasimama akauliza

"Kuna mashabiki wa Arsenal watu ndio
Kuna mashabiki wa Chelsea watu ndio
Kuna mashabiki wa Liver watu ndio
Kuna mashabiki wa City au Nyuke watu kimya "
Done
 
Back
Top Bottom