Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

watu mlitaka tumsajili Anthony wa kuspin

mchezaji kucheza vizuri ama vibaya inaathiriwa na vitu vingi vya ndani ya uwanja.

inaweza kuwa ni mfumo ama wachezaji wenzie wanaomzunguka.

naimani.. antony chini ya arteta kwa sasa jinsi timu inavocheza.. angecheza vizuri even noni madueke pia.
 
No UCL no right to speak.
Humu huwa mnajadili nini, au mnauziana kahawa kimya kimya
Bado una hangover ya hiki kipigo
20230903_220054.jpg
 
mchezaji kucheza vizuri ama vibaya inaathiriwa na vitu vingi vya ndani ya uwanja.

inaweza kuwa ni mfumo ama wachezaji wenzie wanaomzunguka.

naimani.. anthony chini ya arteta kwa sasa jinsi timu inavocheza.. angecheza vizuri even noni madueke pia.
Pepe ana uwezo mkubwa kuliko Anthony masebene
 
Tomiyasu anachafua LCB mechi na Germany


Tomiyasu on either his left or right foot, his balls are just unreal.. His cameo against United playing as the inverted leftback moving into DM channels says it all.. A big season coming for him
Aisee hyu mjapani naona kama alivyotoka majeruhi amerudi kivingine kabisa🤠🤠🤠...kuna kpndi alishuka kiwango kidogo ila Sasa unauwasha kwlikwli...yy ni right footed player ila anavyoutumia mguu wake wa kushoto aisee inazidi kunistaajabisha...mabeki wetu wasipopata majeraha makubwa msimu huu tutakuwa na msimu mzuri sana🤠🤠🤠
 
Defender Gabi amekuwa sana kiakili yeye ndiye ametupa ushindi vs Manchester United kwa offside trick aliyoifanya🫡🫡 tunashangilia 3-1 Results but bila Gabi ingekuwa maumivu ya mwaka
 
mchezaji kucheza vizuri ama vibaya inaathiriwa na vitu vingi vya ndani ya uwanja.

inaweza kuwa ni mfumo ama wachezaji wenzie wanaomzunguka.

naimani.. anthony chini ya arteta kwa sasa jinsi timu inavocheza.. angecheza vizuri even noni madueke pia.
Anthony hamna kitu pale kaka
 
Niliangalia uchezaji wa Kai jana German vs Japan,jamaa hana maajabu kabisa,sijui ana matatizo gani
Ile mechi nami niliiangalia nimuone nikijua kwamba huenda Arteta hawezi kumtumia na bado mavi matupu..

Katika wachezaji niliowaona wakipata game time ya kutosha katika positions tofauti tofauti na chini ya makocha tofauti tangu waje EPL, basi mmoja wapo ni Kai.. Lakini jamaa habadiliki and there is no any signs of improvement.

Huyo hata awepo kwenye timu ya Guardiola na akapewa muda still hawezi toboa.

Pale tunyooshe mikono! Arteta akiendelea kubisha atazidi kuumbuka mpaka akubali alipokosea.

Time will tell!
 
Ile mechi nami niliiangalia nimuone nikijua kwamba huenda Arteta hawezi kumtumia na bado mavi matupu..

Katika wachezaji niliowaona wakipata game time ya kutosha katika positions tofauti tofauti na chini ya makocha tofauti tangu waje EPL, basi mmoja wapo ni Kai.. Lakini jamaa habadiliki and there is no any signs of improvement.

Huyo hata awepo kwenye timu ya Guardiola na akapewa muda still hawezi toboa.

Pale tunyooshe mikono! Arteta akiendelea kubisha atazidi kuumbuka mpaka akubali alipokosea.

Time will tell!
F5q-zTkXoAAcM9A.jpeg
Kashamfukuzisha kocha wa ujerumani kazi, bado Arteta.
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

North London forever, WHATEVER the weather'. We've got you

Sehemu ya Wimbo pendwa sana kwa Arsenal Unaimbwa sana Uwanjani kabla , Kipindi, Na baada Match

Wimbo Huu haujaanza siku nyingi ni juzi tu je umetoka wapi nini sababu kuwepo

Credits ziende kwa Kocha Ameweza kurudisha Tradition (Tamaduni) Ameweza kurudisha Playing identity ( Utambulisho kiuchezaji) Ameweza kurudisha Team kwenye ushindani

Leo hii watu wanazungumza Arsenal kwa heshima sio tena ike banter error

Ulimsikia David Silva Anasema " Yeye kwa sasa Anaona Arsenal tu ndio inaweza kwenda toe to toe na Man city" japo ni maoni yake ila hayajaja hivi hivi Arsenal wameonesha kitu

Leo Arsenal Fans tunakaa kujadili Tactical Set up na vitu kama hivyo uko nyuma ilikuwa ni kuponda uongozi tu tumefika hapa sababu tumetengeneza Msingi na daraja bora kufikia malengo yetu

Of course North London Forever whatever the weather we have got you Arsenal

Amigo adios hermanos
20230910_103251.jpg
 
Niliangalia uchezaji wa Kai jana German vs Japan,jamaa hana maajabu kabisa,sijui ana matatizo gani
Back Kai Havertz!

It took Thierry Henry 8 games before he scored his 1st Arsenal goal. Back then, people were moaning about Arsène playing a winger who can’t score at CF. Football is about patience, Rome wasn’t built in a day. Show Kai your support, it’s for Arsenal’s benefit
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

North London forever, WHATEVER the weather'. We've got you

Sehemu ya Wimbo pendwa sana kwa Arsenal Unaimbwa sana Uwanjani kabla , Kipindi, Na baada Match

Wimbo Huu haujaanza siku nyingi ni juzi tu je umetoka wapi nini sababu kuwepo

Credits ziende kwa Kocha Ameweza kurudisha Tradition (Tamaduni) Ameweza kurudisha Playing identity ( Utambulisho kiuchezaji) Ameweza kurudisha Team kwenye ushindani

Leo hii watu wanazungumza Arsenal kwa heshima sio tena ike banter error

Ulimsikia David Silva Anasema " Yeye kwa sasa Anaona Arsenal tu ndio inaweza kwenda toe to toe na Man city" japo ni maoni yake ila hayajaja hivi hivi Arsenal wameonesha kitu

Leo Arsenal Fans tunakaa kujadili Tactical Set up na vitu kama hivyo uko nyuma ilikuwa ni kuponda uongozi tu tumefika hapa sababu tumetengeneza Msingi na daraja bora kufikia malengo yetu

Of course North London Forever whatever the weather we have got you Arsenal

Amigo adios hermanosView attachment 2745189
Atmosphere ya Emirates kwasasa inatisha

Red Army wanashangilia muda wote

Clock end wanapiga kelele muda wote


Nasubiri usiku wa UCL tu


North London Forever huu wimbo kwasasa Ni habari ya mjini
 
Arsenal walificha kesi ya Partey pamoja na kelele za yule Malaya kwenda mitandaoni kutaka Partey azuiwe bado Arsenal walisimama na Partey ,yule Malaya alikula spana kutoka kwa mashabiki wa Arsenal mpaka aka deactivate account

Shutuma za yule Malaya hazina tofauti na hizi za Anthony masebene

Anthony masebene ana shutuma karibu 3

Shughuli yake imeisha hapo

Manjesta wanaendeshwa Sana na Feminist
 
Back
Top Bottom