Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

N
Vita ya top four inachezwa hadi nje ya uwanja, Arsenal ikimtaka mchezaji wengine wanakuja kama nyuki lengo kufanya bei ya mchezaji ipande ili budget isituruhusu kuspend kwenye other options, tukihusishwa na mchezaji utaona Spurs / chelsea/ Man utd wanafika haraka. Kama issue ya Raphinha Spurs wanamtaka wakati priority ilikuwa Richarlison. Spurs wameingia kwa Jesus/ Bentacur/ kulusevski/ Vlahovic wote walikuwa wanahusishwa kutua Emirates. Sajili inabidi zifanyike chini kwa chini kama usajili wa Fabio Vieira.
Ndicho kitafanyika Sasa, hutasikia tetesi Tena

Subiri TU BANG
 
Vita ya top four inachezwa hadi nje ya uwanja, Arsenal ikimtaka mchezaji wengine wanakuja kama nyuki lengo kufanya bei ya mchezaji ipande ili budget isituruhusu kuspend kwenye other options, tukihusishwa na mchezaji utaona Spurs / chelsea/ Man utd wanafika haraka. Kama issue ya Raphinha Spurs wanamtaka wakati priority ilikuwa Richarlison. Spurs wameingia kwa Jesus/ Bentacur/ kulusevski/ Vlahovic wote walikuwa wanahusishwa kutua Emirates. Sajili inabidi zifanyike chini kwa chini kama usajili wa Fabio Vieira.

Ni uvivu wa kuscout kwa timu zingine au ni umuhimu wa nafasi wanazozitaka wao ndo inawabidi waingilie deal zetu, na nmepita pahala man U pia wanahusishwa Na Tielemans
 
Hello gunners. Sijapata nafasi ya kufuatilia sajili mpya vizuri ila naona tutaenda vizuri tu maana tunaangalia key areas za kuimarisha kwa sasa. Tumeleta kipa mpya ili leno aweze kwenda kutafuta nafasi ya kikosi cha germany. Tumeleta creative mid ashirikiane na ode kupikia striker mpya gabriel na kina saka. Challenge kubwa kuliko zote sasa kwangu ni nafasi ya left back. Tukipata wa kuaminika hapo nitakuwa na amani kiasi. Naona back up ya partey hatutafuti wakati huu itakuwa tumewaamini kina lokonga na elneny. Sio mbaya kama watakuwa bora zaidi msimu huu. Focus iwe kwenye mpira mtamu zaidi tufurahie kuutazama...Tufungwe goli chache zaidi na tufunge mengi zaidi ya last season. Tujitahidi kufikia 80 points, tutakuwa tumeboreka zaidi.
 
MTEGO KWA LISANDRO MARTINEZ HUU HAPA

Kwa MUJIBU was nguli wa Habari David ORNSTEIN anasema Arsenal wanamuona Lisandro Martinez Kama LB , wakati Man u wanamtaka Kama CB. Chaguo limebaki kwa mchezaji Sasa.

Man u katuma ofa inayokaribiana na ya Arsenal

🚨 Arsenal’s pursuit of Lisandro Martinez continues & personal terms would not be a problem. The issue now is which club can agree a fee with Ajax & then who Martinez decides to join. [@TheAthleticUK] #afc

Manchester United in advanced negotiations for Ajax's Lisandro Martinez

Arsenal wanamuona Zaid eneo la LB Sababu kimo chake Ni mfupi ana 5 feet na 9 inch ,, .

Lakini Bwana Charles Watts Arsenal correspondant kutoka Goal.com Anasema Lisandro anavutiwa zaidi kufanya kazi na Arteta , lakin pia Man u Wana advantage kutokana na Uwepo wa Van der sar pale Ajax ,pia Lisandro Martinez alikuwa chini ya Eric ten Hagg pale Ajax.

Soma Zaid Hapa

Charles Watts:

Those close to the situation believe that the Lisandro Martinez connection with ten Hag might give United an advantage over Arsenal, but insist that he is still open to a move to Arsenal and that he is a big admirer of Mikel Arteta’s ideas

Manchester United match Arsenal's €45m Martinez bid with Ajax eying Premier League bidding war | Goal.com
 
Arsenal will face Ipswich Town in a behind closed doors pre-season friendly at London Colney today. #afc https://t.co/qcRehxZLyc
 

Attachments

  • IMG_20220702_131615.jpg
    IMG_20220702_131615.jpg
    185.3 KB · Views: 16
Nakuonaga unauelewa mdogo ila ngoja nikuulize tu, torres anawekwaje kwenye list ya flops wakat ameisaidia timu kubeba UEFA?
Ni kitu gani kinajustify mchezaji kuwa flop? Mafanikio yake binafsi au ameisaidiaje timu kupata mafanikio?
Nakusaidia kitu.

Niweke kwenye ignore list.

Binafsi sijawahi kukuona kwenye uzi wowote wa michezo so naamini umetokea jukwaa la mapenzi na unaleta vibes za kuvamia kila unayemuona.
 
Ile jina la Arsenal kutumika kuboost bei ya mchezaji imeendelea mpaka kwa Aaron Hickey.

Alitajwa kutakiwa na Arsenal. Brentford wamepanda dau mdau wa Twitter akaikashifu Arsenal ila Fabrizio akaweka hali sawa.

Screenshot_2022-07-02-18-05-16-22_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Ilitarajiwa kwamba baada ya kipindi cha mkopo cha mafanikio akiwa na Fiorentina msimu uliopita, Lucas Torreira angejiunga na timu hiyo ya Serie A kwa kudumu.

Vilabu hivyo viwili vilikubali chaguo la euro milioni 15 kununua mwishoni mwa msimu, lakini Fiorentina ilitoa chini ya nusu ya hiyo kwa Arsenal, na inaeleweka kwamba hiyo ilikataliwa moja kwa moja.

Nafasi yoyote ya maridhiano au mazungumzo ilisitishwa mapema mwezi huu wakati mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay alipowaaga mashabiki, na tangu wakati huo ameachwa katika hali ya kutatanisha kuhusu mustakabali wake.

Walakini, pendekezo lolote ambalo anaweza kusalia na kupigania nafasi Kaskazini mwa London limepigwa chini, kwani aliweka wazi hamu yake ya kuondoka inatokana na kuambiwa hakuna jukumu lake katika mpangilio wa sasa wa Mikel Arteta.

Akiongea na waandishi wa habari nchini, Torreira alisema, "Je, una nafasi ya kukaa? Hakuna.

"Tangu mwanzo waliniambia kuwa sina nafasi, kwa hivyo hamu yangu sio kukaa kwani niliteseka sana, ilinigharimu sana kuzoea."

The Gunners wanatazamia kurejesha kiasi cha Euro milioni 28 walizotumia kumnunua alipojiunga kutoka Fiorentina mwaka wa 2018, na akaendelea, “Timu yoyote inayonihitaji lazima inunue mkataba wangu, ambao leo una thamani ya takriban €15 milioni. ”

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 hapo awali alionyesha nia ya kuchezea Boca Juniors, lakini ikizingatiwa kwamba uhamisho wao wa rekodi unasalia kuwa £10m aliolipwa Juan Román Riquelme kutoka Villarreal mnamo 2008, inaonekana ni vigumu sana kukaribia kumnunua Torreira.

Ni maumivu ya kichwa ambayo Arsenal wangeweza kufanya bila, lakini hii ni hali mbaya ya soko la usajili, na inabakia kuonekana mahali ambapo Torreira anaishia msimu huu wa joto. Inahisi kama hii ni ile ambayo inaweza kuvuta kwa kuchelewa kwenye dirisha.View attachment 2278393

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Huyu ni miongoni mwa wachezaji nilioamini watakua star Arsenal.

Timu za Italia zimesemwa sana wiki za nyuma kutokana na ubahili. Mfano Inter mwaka jana wamemuuza Lukaku kwa 90M mwaka huu wanaambiwa watoe 10M wakae naye kwa mkopo wakasema wana 5M.

Fiorentina ilikubaliana na Arsenal kulipa 15M mkopo umeisha Fiorentina anasema hana nia ya kulipa. Yaani hana nia ya kulipa kwaajili ya mchezaji ambaye amecheza kwake msimu mzima huku Kocha akisema anataka jamaa abaki.

Pia kuna shida moja mfano timu ndogo ya italy inakubali kumuuza mchezaji Juve kwa 60M ambayo atalipwa kwa awamu na anakataa 60M ya mara moja kutoka klabu ya nje ya italy
 
Back
Top Bottom