Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi mtu kama Partey anakula £200,000 p/w anabaka vipi, with all the money at his disposal anabaka vipi sasa? Si unachukua mwanamke yoyote duniani au mimi ndio sielewi.

If at all ni kweli, huyu mwamba kaharibu maisha yake yote.
 
Hivi mtu kama Partey anakula £200,000 p/w anabaka vipi, with all the money at his disposal anabaka vipi sasa? Si unachukua mwanamke yoyote duniani au mimi ndio sielewi.

If at all ni kweli, huyu mwamba kaharibu maisha yake yote.
ndio maana nikaandika "attempt to rape" ina maana pana, haimaanishi tu kwamba ni domo zege. harrassment kwa mdada inaweza kuwa interpreted kama attempt to rape. mfano ukiomba ukanyimwa halafu unaendelea kumghasi mrembo, kutaka kwa nguvu. Kosa lake kwa huku unaweza kulifananisha labda na kuua mtu
 
Hivi mtu kama Partey anakula £200,000 p/w anabaka vipi, with all the money at his disposal anabaka vipi sasa? Si unachukua mwanamke yoyote duniani au mimi ndio sielewi.

If at all ni kweli, huyu mwamba kaharibu maisha yake yote.
Mkuu hizo issue huwa zinatengenezwa...

Unakuta Partey anadate na mtu kwa muda flani au hata anaweza kulala naye... Baada ya hapo anatafuta mwanasheria anatengeneza mazingira ya kuwa amebakwa..

Issue wanapeleka polisi..
Wanajua pesa itakuja tuu
 
ndio maana nikaandika "attempt to rape" ina maana pana, haimaanishi tu kwamba ni domo zege. harrassment kwa mdada inaweza kuwa interpreted kama attempt to rape. mfano ukiomba ukanyimwa halafu unaendelea kumghasi mrembo, kutaka kwa nguvu. Kosa lake kwa huku unaweza kulifananisha labda na kuua mtu
Mimi huwa siamini kwamba kwa status yake anaweza kubaka, huenda ni kama unavyosema kuwa kuna figisu nyingi ndani ya issues za namna hiyo.
 
Mkuu hizo issue huwa zinatengenezwa...

Unakuta Partey anadate na mtu kwa muda flani au hata anaweza kulala naye... Baada ya hapo anatafuta mwanasheria anatengeneza mazingira ya kuwa amebakwa..

Issue wanapeleka polisi..
Wanajua pesa itakuja tuu

Inawezekana unayosema. investigation inaangalia ukweli au uongo wa tuhuma. Kama Partey ana evidence walikubaliana eg Messages, phonecalls hapo hakuna kesi. Lakini kama unavyosema always rich persons are targeted and fixed. Ni nadra rofa kama mimi kupata hizo tuhuma.
Namkumbuka Johnson, alikuwa dribbler mmoja safi sana wa Man City, amepotea kabisa
 
Partey mbakaji, akamatwe mara moja apelekwe selo, asije akaendelea kuharibu watoto wa watu kwa michezo yake michafu.Hiyo michezo ameizoea huko kwnye kambi ya Arsenal ,kuwashika shika akina Odegaard makalio.
Asipokamatwa ataendelea kuwaharibu akina Odegaard.
 
Arsenyeto mnaendelea pale mlipoishia kwenye vipigo 😁
Ni mwendo wa kubanduliwa hata mechi za mchangani
 
Back
Top Bottom