toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
do you care?It ended in tears.View attachment 2291270
do you care?It ended in tears.View attachment 2291270
Ukiwekewa Zincheko na Martinez ,kuwa mkweli unamchukua Nan?It ended in tears.View attachment 2291270
WEWE mtu mzima acha kuongea ujinga, fika mahali badilika,Aser8 akicheza mashabiki wake duniani kote, wanapita mtaani na kanga moja imelowa maji huku wanatingisha wowowo, wakisema chukua yote
Kambaka dada yako.Kakubaka wewe!
Sikweli dakika 2 zilizopitaZinchenko to Arsenal bado, hakuna kilichofanyika Kati ya timu na timu au timu na mchezaji mpaka sasa
Kwa kua kocha anapenda wachezaji versatile binafsi sioni shida.
Iliwahi KUTOKEA kipind Maguire yupo Leicester, Pep alimtaka , man u wakaingilia kati , MWISHO Bei ikafika 80Kwa kua kocha anapenda wachezaji versatile binafsi sioni shida.
Nilimcheki sana Lisandro tulivyohusishwa naye, anajua kukaba ila ni reckless Zinchenko naona ni mchezaji ambaye kwa City anaweza asishine ila akashine Arsenal.
Kwa 30M nafikiri ni bargain. Tumesababisha Lisandro apande bei kisha tumewaacha United wadeal na over price.
t.co
This will be the best signing plus JesusArsenal are "very confident of a deal" to sign Manchester City's Oleksandr Zinchenko (25) and are looking to quickly complete the transfer, according to @Santi_J_FM.
![]()
Arsenal looking to quickly complete Oleksandr Zinchenko deal - Get French Football News
Arsenal are confident of completing their second signing from Manchester City this summer. Following the arrival of Gabriel Jesus (25), the London club aret.co
Why back up?huyo Tierney kwa sasa anatakiwa ndiye awe back up player tena uzuri Fabrizio ametoa good news about Zichenko aje atupe DNA ya ushindani,mchezaji gani kila baada ya game 4 au 5 kituo kinachofuata ni hospitalArsenal wanasajiri kwa profile sio kufata jina
|| Arsenal saw Lisandro Martínez as a LB to compete with Tierney whilst United see him as a CB [Via - @TheAthleticUK].
Profile za Mabeki wakati CB wa Arsenal ambao Kocha anawataka lazima wawe warefu
Gabriel magalhaes ana 6ft na 3inch
Ben White ana 6ft na 1 inch
Saliba ana 6ft na 4inch
So Arsenal walimuhitaji MARTINEZ mwenye 5ft 7 inch Kama LB backup ,
Sasa LB backup kwa €55m ,Arsenal walikataa hicho kitu waliishia €40m basi.
even juzi game kacheza only 20 minutes katolewa njeIle ya Juz Arteta alisema hakuumia ila alimpa dk chache apate fitness, ila kwasasa ameponaWhy back up?huyo Tierney kwa sasa anatakiwa ndiye awe back up player tena uzuri Fabrizio ametoa good news about Zichenko aje atupe DNA ya ushindani,mchezaji gani kila baada ya game 4 au 5 kituo kinachofuata ni hospitaleven juzi game kacheza only 20 minutes katolewa nje
Arteta ni coach anayedefend sana players wake may be inawezekana ni true or not but kwa Zichenko sio mchezaji wa kukaa benchi hapo Tierney ajiandae kisaikolojia anything can happen timu inayotaka achievements haiwezi kuwa na players aina ya Tierney tuombe Mungu mambo yaende vizuri even Partey replacement yake lazima ifanyike as soon as possibleIle ya Juz Arteta alisema hakuumia ila alimpa dk chache apate fitness, ila kwasasa amepona
Record zinasema kila msimu anacheza 57% ya mech zote ,hivo ndio maana wanaleta mshindan Mwingine
Kwangu ninavyomfahamu zincheko anaweza kumpa changamoto ya hali ya juu Tierney