Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oya kuna huyu mtu anaitwa Diaby RW anacheza leverkusen naona he is the big deal, huyu anafit roles za Saka/Raphinha vizuri.
 
Screenshot_2022-07-04-08-22-18-50.jpg
 
CHELSEA KILA DILI WANAVAMIA , KWASASA SOKON HAKUNA CF , UNAAMBIWA CHELSEA NA WENZAKE WAWILI AMBAO MMOJA WAPO NI TOTENHAM WALITAKA KU HIJACK UHAMISHO WA JESUS


HIVI HIZI TIMU HAZINA SCOUT WAKUELEWEKA AU SHIDA NINI?

KUONDOKA KWA MARINA NA CECH , BAS CHELSEA NDIO ANAKURUPUKIA KILA DILI

Fabrizio anasema hivi


Three clubs tried to hijack Gabriel Jesus deal until Sunday, June 26… but he always wanted Arsenal as priority. Now it’s finally official and confirmed. 🚨⚪️🔴 #AFC

Signed last week, delivered today. £45m to Man City. Contract until June 2027.



 
SASA NAANZA KUELEWA KWANINI ARSENAL JANA IMEVUJISHA HABARI KUWA HAIMUHITAJI SERGE GNABRY...

KUNA WATU HAWAKAWII KUINGILIA NA MWISHO BARYEN APANDISHE BEI

BINAFSI NAAMINI ARSENAL YUPO INTERESTED NA GNABRY , NDAN YA SIKU CHACHE HIZI ARSENAL ITAKUWA KIMYA SANA KWENYE TETES
 
ANATAKA ASIMAME PALE KATIKATI

Gabriel Jesus on his position: “


I’m a #9! I’m a striker & I thank God every day that I can be alive & that I can play in three or four different positions but I think my position is nine.”

Hi @Tim_Vickery 👋🏼
 

Attachments

  • IMG_20220704_121341.jpg
    IMG_20220704_121341.jpg
    46.9 KB · Views: 17
NILIWAHI KUSEMA WIKI ILIYOPITA KWASASA DUNIANI KUNA UHABA MKUBWA WA CF ,

IWAPO CR7 ANAONDOKA MAN U NA KWENDA NJE YA EPL , NI WAZI MAN U NA CHELSEA ZINABAKI BILA CF WA MAANA ,ITAWALAZIMU KUTUMIA FALSE 9 .

Kitu ambacho Ni Risk kwa epl, Ni pep na Klopp ndio walithubutu kufanya hivo ,Lakin nao wamerudi sokon wamenunua typically CF ,Halland na Nunez.

Arsenal katika Scout yao walikuwa na majina ya Gabriel Jesus akiwa top kabisa kwenye list, kulikuwa na Gianluca Scamaca , Victor Osmhen ,

Kwa uhaba wa CF uliopo barani Ulaya iliwalazimu Liverpool waweke mezan karibu €80m kwa Nunez ambaye ana msimu mmoja mzuri ,

Ukienda pale Napoli , ukamuulizia Victor Osmhen a CF wakawaida tu basi Rais wa Napoli Ndugu Aurelio De Laurentiis anakwambia weka mezani €100m .

Ukienda pale Sasuolo ukamuulizia bwana mdogo Gianluca Scamaca ambaye bado haja prove chochote Cha maana utaambiwa weka mezani €50m.

Hii inaonesha kwasasa Kuna uhaba wa CF duniani, hii imepelekea Arsenal wasisite kutoa €50m(£45m) kwa Gabriel JESUS, kwanza ana uzoefu na epl ,pili Ni winner akiwa na mataji manne ya epl .

Mwisho had Jumapili iliyopita bado Kuna klabu zinahaha kusaka CF , zilimfata Gabriel Jesus aachane na Arsenal kabla hajatangazwa.

Fabrizio Romano anasema

Three clubs tried to hijack Gabriel Jesus deal until Sunday, June 26… but he always wanted Arsenal as priority. Now it’s finally official and confirmed. 🚨⚪️🔴 #AFC

Signed last week, delivered today. £45m to Man City. Contract until June 2027.


Huu Ni usajiri muhimu Sana kwa Arsenal
 

Attachments

  • IMG_20220704_121556.jpg
    IMG_20220704_121556.jpg
    223.5 KB · Views: 15
Gabriel Jesus on Arteta: “We spoke a couple of times about the club, about the players, about the project, the future of the club. It was good, it was amazing. I believe 100 per cent in Mikel. I had a very good time with him before, he’s a very good guy & very good coach.” #afc

Jesus on Arteta: “He helped me a lot. We would always stick together after the training sessions & do some finishing or something. He’s a very intelligent guy & was an amazing player so if he knows something he can teach me or the young players, I had a very good time with him.”
 

Attachments

  • IMG_20220704_121324.jpg
    IMG_20220704_121324.jpg
    233.3 KB · Views: 15
KAZI KWA VIUNGO SASA, KUTUPIA MIPIRA NDANI YA BOX ,TAKWIMU ZINASEMA NDANI YA BOX G9 NI MNYAMA

Gabriel Jesus ndiye mfungaji bora zaidi katika historia ya Premier League kufunga kwa 100% ya mabao yake akiwa ndani ya eneo la hatari [Kupitia - @OptaJoe].

HII NDIO MAANA AMESEMA YEYE BINAFSI NI NAMBA 9 ,JAPO KWA PEP ALIKUWA ANACHEZESHWA NAFASI HADI 4

Gabriel Jesus anasema

“Mimi ni namba 9! Mimi ni mshambuliaji na ninamshukuru Mungu kila siku kwamba ninaweza kuwa hai na ninaweza kucheza katika nafasi tatu au nne tofauti lakini nadhani nafasi yangu ni tisa."
 

Attachments

  • IMG_20220704_121341.jpg
    IMG_20220704_121341.jpg
    46.9 KB · Views: 18
kijana Gabu naona mashindano ya club bingwa ulaya ameamua kustaafu kwa hiari kwa kujiunga na washika mitutu ,hongereni gunners kwa kumpa kijana mapumziko ya mrchi za j4 na j5.
 
Jesus atafunga Hadi achoke ,


Alizungukwa na KDB, Foden, Gundogan, Silva, Sterling hakufunga mpaka achoke.

Huko anaenda kucheza na Odergaard, Saka, Nketiah, Pepe, Rowe na hiyo skeleton mlotoka kuisajili. Ngoja tuone atakapofunga mpaka achoke
 
Back
Top Bottom