Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted.Naaam,naaamini watu wenye low vision ya mpira wataangalia ubora wa arteta as a coach.watahoji experience ya coach kwenye title race and his decision making before and within game.wote wako sawa.
Ila tu naomba niwaaambie kwamba arteta na timu yake nzima walijua kwamba hawachukui ubingwa labda maajabu yatokee kama yaliyotaka kutokea .
Kwa mtazamo wangu msimu huu arteta na timu yake msimu huu walikuwa wanatengeneza image ya club ili kuvutia wachezaji ambao ni first class.
Alichotuzid city ni class ya wachezaji ila sisi kuna muda tulimzidi fomu tu.never hatujaweza kumzidi mancity class ya wachezaji.
Image ya timu kwa miaka karibu 7-10 ilikuwa imeharibika na ilipoteza mvuto kwa investors na wachezaji.arteta na edu wame reclaim sura ya timu.what next?.
Ni muda wa kupata quality players hasa na sio squad players tu.lazima tupunguze saana squad players, wachezaji kama vieira,nelson,smith rowe,lokonga,nketiah,holding,kiwior,jorginho nk ni squad players tu.hubebi ubingwa na hawa watu.watakusaidia kwenye baadhi ya tournaments tena at low level ila ikifika knockout stage kwa uingereza hawana msaada.UZA WOTE HAWA.
sija panick hata kidogo I saw it coming jana,kufungwa kulikuwepo tu.
Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted
Nimekuelewa sana tena sana hii sentensi ya mwisho ndo inapigilia msumali wote.
Tuanze na Rice & Caicedo





is happy 
West ham
16:00
London stadium
Primier league