Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naaam,naaamini watu wenye low vision ya mpira wataangalia ubora wa arteta as a coach.watahoji experience ya coach kwenye title race and his decision making before and within game.wote wako sawa.

Ila tu naomba niwaaambie kwamba arteta na timu yake nzima walijua kwamba hawachukui ubingwa labda maajabu yatokee kama yaliyotaka kutokea .
Kwa mtazamo wangu msimu huu arteta na timu yake msimu huu walikuwa wanatengeneza image ya club ili kuvutia wachezaji ambao ni first class.
Alichotuzid city ni class ya wachezaji ila sisi kuna muda tulimzidi fomu tu.never hatujaweza kumzidi mancity class ya wachezaji.

Image ya timu kwa miaka karibu 7-10 ilikuwa imeharibika na ilipoteza mvuto kwa investors na wachezaji.arteta na edu wame reclaim sura ya timu.what next?.
Ni muda wa kupata quality players hasa na sio squad players tu.lazima tupunguze saana squad players, wachezaji kama vieira,nelson,smith rowe,lokonga,nketiah,holding,kiwior,jorginho nk ni squad players tu.hubebi ubingwa na hawa watu.watakusaidia kwenye baadhi ya tournaments tena at low level ila ikifika knockout stage kwa uingereza hawana msaada.UZA WOTE HAWA.
sija panick hata kidogo I saw it coming jana,kufungwa kulikuwepo tu.


Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted
Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted.

Nimekuelewa sana tena sana hii sentensi ya mwisho ndo inapigilia msumali wote.
Tuanze na Rice & Caicedo
 
Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.
Squad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.

Hivi unategemea kweli Holding ndio beki wa kukushindia ligi?? Hatuna natural RB aliye fit maana White kimahesabu ni CB so angeweza chezea badala ya Holding ila ndio tungekosa RB!! tayari ni tatizo.

Same to Saka au Odegaard sub zao ni Nelson na Vieira seriously? Au Nketiah kwa Jesus?? We need depth ndio tuanze kufikiria ubingwa. Hata msimu ujao tu focus kuwa na benchi imara kuanzia RB/RCB/CDM/ST. Unfortunately hii ndio ilikua best chance maana msomi ujao Newcastle, Man u , liver na Chelsea zitaamka so tunaweza hata tusimalize top 4.

So sad
 
Unakuta kabisa lishabiki linatutishia eti mna gemu ngumu anamuweka Newcastle


Huwa nacheka Sana ,
Huyu jamaa kachangia kwa kiasi kikubwa sana arsenyani tusiwapumzishe kupokea mashambulizi hapa ndani mdomo na kejeri zilikuwa nyingi.
Screenshot_20230427-073754.jpg
 
"Nacheka lakini naogopa."

Arsenyani acheni kuota, hamna uwezo wa kumfunga City Etihad. Ubingwa toeni kabisa kwenye mawazo yenu maana huu ndiyo muda wa Pep kufanya vitu vyake.

Haaland kiatu.
Arsenyani kondoo.
Mliambiwa hapa mkawa wabishi matusi na kejeri zilikuwa zenu.
 
Huyu city aliyecheza Kama manjesta pale emirate

Tutamfanya hamna hapo kwake


Uzuri kimahesabu tunahitaji draw 2 tu ,Moja against yeye city

Nyingine na kiande yeyote

Uwezo tunao Nia tunayo

Kiukweli mechi vs Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa inatuumiza kichwa

Hawa wengine Wana mpira gani wakutushambulia Sana


Mtu anakaa kabisa anasema mna mech ngumu na Newcastle, Chelsea ,
Ila wewe jamaa hamis77 ni kiazi sana umewaponza wenzio kwa maneno yako hafu umekimbia hapa

Ila Mungu mkubwa nyie na ana miguvu kweli kweli thanks God Sijui tungewezaje kuishi hapa ndani kwa izi kelele

Wewe hamis77 ni muoga mshenzi na kima wewe ni mamluki.
Screenshot_20230427-073754.jpg
 
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Eeh mkuu ikawaje baada ya hapo

Kilichofata bwana hamis77 ni
 
Leicester ka create xG kubwa kuliko city

Big chances kuliko city

Wangekuwa makini wangeshinda au Sare

Mashabiki wengi hasa manjesta na baadhi wa chelkenge wanatupigia kelele humu ,mpira hawaangalii

Huyu city bwana wenu tutamtafuna vzr Sana ,

Narudia tunahitaji draw 2 tu katika mechi tulizobakiza ,hiyo Ni minimum tu


View attachment 2589074
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Jana kuanzia wewe na timu yako na de zerbi wako wote mmekandwa aise.
 
My remaining fixture prediction
👇
Arsenal 4-1 Westham
Arsenal 4-0 Southampton
Arsenal 2-2 Man City
Arsenal 3-0 Chelsea
Arsenal 2- 1 Newcastle
Arsenal 2-1 Brighton
Arsenal 3- 0 N.Forest
Arsenal 4-0 Wolves
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
 
My remaining fixture prediction
👇
Arsenal 4-1 Westham
Arsenal 4-0 Southampton
Arsenal 2-2 Man City
Arsenal 3-0 Chelsea
Arsenal 2- 1 Newcastle
Arsenal 2-1 Brighton
Arsenal 3- 0 N.Forest
Arsenal 4-0 Wolves
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom