Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsemwali mliudanganya ulimwengu kua tayari mmeshavunja ungo na mwaka huu mnaolewa, mkafanyiwa mpaka Sendoff na Kitchen Party mbwa nyie ila matokeo yake mmeishia kuzalishwa bila ndoa.
Ndio mshakua Single Mother tayari, msahau tena habari ya kuolewa

#Arsemwali Ndoa
#Haaland Kibuti
 
City jana tumefanya kitu kinaitwa "purification of arsenal fanbase in JF"
Hili jukwaa sasa litabaki na wale "pure" arsenal fans, zile takataka zote zilizokua zinachafua jukwaa hili na mengine ya jirani hazitaonekana kwa muda mrefu humu.

Naam, Jukwaa sasa li safi.
 
Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.

Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.

Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?

Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.

Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.

Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?
Ligi ya msimu huu timu nyingi zilianza kwa kusuasua sana kasoro Aseno tu
Hadi kufika robo ya tatu ya msimu timu nyingi zikawa zimekwisha jitafuta na kujipata, hapo sasa Aseno akaanza kukutana na uhalisia wa Epl

Mara nyingi sana epl ikianza zile top 6 huwa haiangushi point kizembe laki mwaka huu sio Liva au Man city wala Chelsea na hata spurs na man u zote zilikua na in and out nyingi zilizofanya Aseno kuonekana bora sana

Mimi naamini ni mazingira ya epl kwa vigogo wengi kuanza vibaya ndio kulimpa Aseno nafasi ya ku shine
 
Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.

Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.

Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?

Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.

Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.

Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?

Upo sahihi, jana odegard, martinelli, Jesus kidogo na zinchenko walikuwa mizigo na coach hakujali kufanya subs mapema.
Tunatakiwa kuwa na the right depths sio hawa akina vieira, holding, nketiah.
We are likely to lose KT sijajua kosa lake. City akitoka mtu anaingia mtu unlike sisi, mtu ana flop unashindwa kumtoa kwa sababu the bench is empty
 
Upo sahihi, jana odegard, martinelli, Jesus kidogo na zinchenko walikuwa mizigo na coach hakujali kufanya subs mapema.
Tunatakiwa kuwa na the right depths sio hawa akina vieira, holding, nketiah.
We are likely to lose KT sijajua kosa lake. City akitoka mtu anaingia mtu unlike sisi, mtu ana flop unashindwa kumtoa kwa sababu the bench is empty
Ass'anal kuongoza ligi ni matusi kwa EPL.
 
Back
Top Bottom