


Huu uzi umevamiwa, ngoja tuendelee kuwanyoa .
Asemanati
Ligi ya msimu huu timu nyingi zilianza kwa kusuasua sana kasoro Aseno tuTumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.
Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.
Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?
Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.
Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.
Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?
































































































































































































































































Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.
Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.
Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?
Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.
Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.
Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?
Ass'anal kuongoza ligi ni matusi kwa EPL.Upo sahihi, jana odegard, martinelli, Jesus kidogo na zinchenko walikuwa mizigo na coach hakujali kufanya subs mapema.
Tunatakiwa kuwa na the right depths sio hawa akina vieira, holding, nketiah.
We are likely to lose KT sijajua kosa lake. City akitoka mtu anaingia mtu unlike sisi, mtu ana flop unashindwa kumtoa kwa sababu the bench is empty