Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yan huyu jamaa ukikuta kwny majukwaa ya wenzie anavoielezea Arsenal.. Kama ww hauangalii mpr unaweza dhan anaongelea team ambayo ni htr sana kuwah kutokea kwny uso wa dunia .

Saivi aliko huyu jamaa hamis77 ni Mungu pekee na cabinet yake ndo wanajua na wanaweza kumpata na kumtoa huko.

Inasemekana hamis77 amefuta kabisaaaa App ya JF na kuchomoa battery kwenye kishikwambi chake, sasa hivi anatumia kiswaswadu kukwepa usumbufu.
 
That's why hatusongi mbele reason ni kuwa na die hard fans wwnye small mentality kama hizi ,hii kauli ilikuwa inanichekesha sana hamis77 Will Jr ndio kauli zao hizi leo Manchester City ametukojolea je Arteta anatosha kwenye position yake? reason kwenye game za pressure mean 8 za kumaliza round na kuwa winner katika last 4 games kapata 3 points pekee
Kama Team tumekuwa kimalengo,mwakani ndio ingekuwa kipindi chetu cha kugombea ubingwa,ila mwka huu tumejaribu kupigania ubingwa. kwa miaka saba ataja shiriki klabu bingwa leo kurudi ni mafanikio makubwa sana.walichotuzid man city sio ubora wa mbinu za kocha ila quality ya mchezaji mmoja mmoja na squad depth,ukweli kusema hata xhaka sio first team player,pale man city kuna kipindi hata ruben diaz alikuwa anakaa benchi maana yake anapumzika kikija kipindi ambacho season imekolea ndio wanarud wanakuwa na nguvu zaidi.arsenal hatuna nguvu ya kumweka mchezaji benchi aliyetoka kupiga hart trick kama mahrez.ni Kweli kwamba ARTETA anachangamoto zake kama vile kukariri wachezaji kwenye position fulan hata kama game inakataa(na hisi hii kaitoa kwa wenger) ila bado ni kocha zaidi kuifikisha arsenal kuchukua epl
 
Kima nyie mnajitangazia ubingwa wakati points mlizonazo ni za kuwaepusha kushuka daraja
Haya wazee wa Taito Kunitenda Kiko wapi sasa?
tapatalk_1107005034_388x512.jpg
 
Squad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.

Hivi unategemea kweli Holding ndio beki wa kukushindia ligi?? Hatuna natural RB aliye fit maana White kimahesabu ni CB so angeweza chezea badala ya Holding ila ndio tungekosa RB!! tayari ni tatizo.

Same to Saka au Odegaard sub zao ni Nelson na Vieira seriously? Au Nketiah kwa Jesus?? We need depth ndio tuanze kufikiria ubingwa. Hata msimu ujao tu focus kuwa na benchi imara kuanzia RB/RCB/CDM/ST. Unfortunately hii ndio ilikua best chance maana msomi ujao Newcastle, Man u , liver na Chelsea zitaamka so tunaweza hata tusimalize top 4.

So sad
Kauli ya kusema timu zingine zitaamka na kuifanya arsenal ilale iyo sikubaliani nayo kabisa, ubora wetu ndio umetuweka hapo tulipo sasa, wao watatukuta tulipo na najua kuna ongezeko la wachezaji zaid msimu ujao kwaiyo ukitegemea wao wawe bora fikilia na sisi tutakua bora kuliko tulivyo sasa, iyo ni mentality ya uoga, kitu cha muhimu ulichosema ni upana w kikosi basi tena wachezaj wenye ubora mkubwa ..
 
Kauli ya kusema timu zingine zitaamka na kuifanya arsenal ilale iyo sikubaliani nayo kabisa, ubora wetu ndio umetuweka hapo tulipo sasa, wao watatukuta tulipo na najua kuna ongezeko la wachezaji zaid msimu ujao kwaiyo ukitegemea wao wawe bora fikilia na sisi tutakua bora kuliko tulivyo sasa, iyo ni mentality ya uoga, kitu cha muhimu ulichosema ni upana w kikosi basi tena wachezaj wenye ubora mkubwa ..
Hapana mkuu kwenye Mpira unategemea pia weakness za wenzio kufanya vizuri. Hata msimu ambao Leicester alibeba ligi timu zote kubwa zilikua hovyo ndio maana alibeba ndoo kwa point chance mnoo kulinganisha na mabingwa wengine wa EPL.

Mfano msimu ujao tunaweza pata injuries kwa watu kama Saka, Odegaard ama Martinelli tayari msimu unafia hapo. Au say Chelsea ikapata kocha mzuri, kwa kikosi chake tu wanaweza fikisha 80+ points, hapo Bado Newcastle itamwaga pesa kuongeza depth and so will Man UTD na Liverpool so usitegemee ubora wetu pekee utatubeba sometimes na failure za competitors zinakubeba.

Pia Kuna kitu kinaitwa fatigue, ukipambania kitu sana ukakikosa morale yote inakufa. Imagine tumeongoza ligi kwa almost Kila wiki alafu Bado tumepoteza ubingwa unadhani mwakani fighting spirit inatoka wapi? Saka atakua gassed out, Odegaard motisha itashuka, ndio Mpira ulivyo. Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujao.
 
Squad depth ndio changamoto huwezi shindana na city ambayo haya kikosi B kinaweza beba ubingwa. Niliwahi sema mwanzoni mwa msimu nikatukanwa na kuambiwa depth sio muhimu maana Kuna wachezaji Wana chezea multiple positions.

Hivi unategemea kweli Holding ndio beki wa kukushindia ligi?? Hatuna natural RB aliye fit maana White kimahesabu ni CB so angeweza chezea badala ya Holding ila ndio tungekosa RB!! tayari ni tatizo.

Same to Saka au Odegaard sub zao ni Nelson na Vieira seriously? Au Nketiah kwa Jesus?? We need depth ndio tuanze kufikiria ubingwa. Hata msimu ujao tu focus kuwa na benchi imara kuanzia RB/RCB/CDM/ST. Unfortunately hii ndio ilikua best chance maana msomi ujao Newcastle, Man u , liver na Chelsea zitaamka so tunaweza hata tusimalize top 4.

So sad
Nakumbuka ulikuwa ukiwaambia ukweli ndugu zako wakaishia kukushambulia na kukuita mamluki sasahivi wanaamini maneno yako
Tatizo mashabiki wa Arsenal wengi hawajielewi wanafikiri kupata ubingwa ni rahisi tu kwa kikosi hichi cha kuunga na wachezaji wa mafungu

Mkiambiwa fanyeni usajiri wa maana mnaishia kusema mchezaji huyu hana thamani ya bei hiyo utafikiri hiyo hela inatoka mifukoni mwenu hiyo miaka 20 mliokaa bila ubingwa itafika 40 kama msipokuwa seriously
 
Am not worried at all hapa ni usajili tuu tue na kikosi akitoka mtu anaingia mtu bado tuna nafasi ya kusumbua ligi hii arteta mtu
 
Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted.

Nimekuelewa sana tena sana hii sentensi ya mwisho ndo inapigilia msumali wote.
Tuanze na Rice & Caicedo
Yaani kaka hapo ndo tunapofeli tu
 
Hapana mkuu kwenye Mpira unategemea pia weakness za wenzio kufanya vizuri. Hata msimu ambao Leicester alibeba ligi timu zote kubwa zilikua hovyo ndio maana alibeba ndoo kwa point chance mnoo kulinganisha na mabingwa wengine wa EPL.

Mfano msimu ujao tunaweza pata injuries kwa watu kama Saka, Odegaard ama Martinelli tayari msimu unafia hapo. Au say Chelsea ikapata kocha mzuri, kwa kikosi chake tu wanaweza fikisha 80+ points, hapo Bado Newcastle itamwaga pesa kuongeza depth and so will Man UTD na Liverpool so usitegemee ubora wetu pekee utatubeba sometimes na failure za competitors zinakubeba.

Pia Kuna kitu kinaitwa fatigue, ukipambania kitu sana ukakikosa morale yote inakufa. Imagine tumeongoza ligi kwa almost Kila wiki alafu Bado tumepoteza ubingwa unadhani mwakani fighting spirit inatoka wapi? Saka atakua gassed out, Odegaard motisha itashuka, ndio Mpira ulivyo. Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujao.
Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujao
This is a mere prediction mkuu,yes arteta anaweza fukuzwa kama kocha mwingine yeyote ila kupata kocha aina yake sio kitu rahisi.ndo maana unaona timu kubwa zinatapatapa kupata makocha bora.
On paper unafikiri ni team ngapi zinaizidi juve kwa ubora wa kikosi?where are they? Japo hawako pabaya ila hawapo wanapostahili kuwa
 
Mmoja wa commentators wakati game inaisha alisema " it was a mature host against immatured visitors"
Tumepoteza kwa timu iliyokua bora zaidi, it's a fair results

As Arsenal We have a long way to go
Squad depth
Matured players, hawa Vijana hawatatufikisha popote pale

Come on up gunners

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
 
Back
Top Bottom