Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Yan huyu jamaa ukikuta kwny majukwaa ya wenzie anavoielezea Arsenal.. Kama ww hauangalii mpr unaweza dhan anaongelea team ambayo ni htr sana kuwah kutokea kwny uso wa dunia.
Saivi aliko huyu jamaa hamis77 ni Mungu pekee na cabinet yake ndo wanajua na wanaweza kumpata na kumtoa huko.





Inasemekana hamis77 amefuta kabisaaaa App ya JF na kuchomoa battery kwenye kishikwambi chake, sasa hivi anatumia kiswaswadu kukwepa usumbufu.
.

