Brighton wanashinda goli 3 hii game. Chelsea wanacheza kama wamekutana road.Na kwa pattern ninayoiona hapa hii game ni ama Chelsea afe au asuluhu
Ingawa alikua anaongoza ila Brighton walionekana comfortable mno kuanzia defense mpaka attack. Chelsea imedhamiria kucheza counter, shida inakuja kulinda goli huo upande wa Chalobah Mitoma anauchana chanaBrighton wanashinda goli 3 hii game. Chelsea wanacheza kama wamekutana road.
Yaani Brighton wapo comfortable mnoo, aisee Chelsea imekua ya kawaida sana...Wakija Emirates watakula 4 hawa.Ingawa alikua anaongoza ila Brighton walionekana comfortable mno kuanzia defense mpaka attack. Chelsea imedhamiria kucheza counter, shida inakuja kulinda goli huo upande wa Chalobah Mitoma anauchana chana
Derby haitabiriki. Watakuja wamenuna utafikiri ukiwafunga wanakufaYaani Brighton wapo comfortable mnoo, aisee Chelsea imekua ya kawaida sana...Wakija Emirates watakula 4 hawa.

Brighton anakufa asubuhi tuBetween Manchester City na Arsenal kuna mmoja ataacha points vs Brighton![]()
THREEDOORS.Between Manchester City na Arsenal kuna mmoja ataacha points vs Brighton![]()
Si ni kama wewe unavyoshinda humu kuliko kwenye uzi wa timu yako?Maajabu ya mafans wa Arsenal kila mala wanaitaja Manchester sijui tatizo nini.
Uyo jamaa ana post nyingi humu kuliko kule kwa nyumbu wenzieSi ni kama wewe unavyoshinda humu kuliko kwenye uzi wa timu yako?
Unakataa au unakubali?THREEDOORS.