Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu ubingwa msimu huu sijui............ City moto anao mpelekea Leicester si wakitoto.
Leicester kiande ,ligi inaanza hapa Kama mnakumbuka walipomuuza GK Schmichael , nilisema watashuka daraja

Pia Soton walipomuuza Forster ,na kwenda kununua watoto wa mancity ,


Kama mlikuwa makini ligi inaanza Arsenal toka pre season alionekana atagombea ubingwa

Leicester ,Soton watashuka daraja

Liverpool sababu ya age ya kikos alikuwa na 50/50 kugombea ubingwa

Chelsea alionesha atapitia Hali ngumu
 
Huyu city aliyecheza Kama manjesta pale emirate

Tutamfanya hamna hapo kwake


Uzuri kimahesabu tunahitaji draw 2 tu ,Moja against yeye city

Nyingine na kiande yeyote

Uwezo tunao Nia tunayo

Kiukweli mechi vs Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa inatuumiza kichwa

Hawa wengine Wana mpira gani wakutushambulia Sana


Mtu anakaa kabisa anasema mna mech ngumu na Newcastle, Chelsea ,
dah
 
Haya shime wana Arsenal, kila mtu kwa dini yake na matunguri yake, hatuna muda wa kulemaa, hatuna mbinu mbadala isipokuwa kumfunga MAN CITY kwake.

Tutakuwa tumemvunja guu, hatokuwa na hiki kimuhe muhe tena..., Sahivi wanakimbia kama hawana akili nzuri
 
Dalili za kumfunga city Etihad sizioni tukikomaa sana labda Draw! Huu moto wanao uwasha ni balaaaa
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
 
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Unaota mkuu amka, amka, amka, amka
 
Baada ya kupoteza Vs City tumepiga WIN 7 DRAW 1

Kesho tunaanza Tena WIN 7 DRAW 2

Halafu mtaniambia Huyo bwana wenu city atabebea wapi huo UBINGWA
 
Gabriel Jesus on Arsenal team spirit:

"First of all, it starts in the dressing room. Everyone’s together, like a family. The chemistry is amazing.

I’m in love with this club because I feel like (I’m at) home." [BBC]
 
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Kuna kima waliwapa spurs na Chelsea nafasi za juu kuliko the Arsenal

Huyo city tutamalizana nae wenyewe hatuna presha yoyote, we focus on the next game against West ham United
 
Kuna kima waliwapa spurs na Chelsea nafasi za juu kuliko the Arsenal

Huyo city tutamalizana nae wenyewe hatuna presha yoyote, we focus on the next game against West ham United
Hawa mashabiki wa Nyumbu wanatuchukulia sisi Kama timu yao

Ligi haijaanza hatukupewa nafasi , Sasa hivi wanahangaika


OPTA Predictions at the start of 22/23 PL season

Liverpool - 50%
Man City - 47%
Sp*rs - 2%
Chelsea - 1%
Man Utd - 0.2%
Arsenal - 0.1%

Current OPTA prediction to win the PL:

Man City - 53%
Arsenal - 47%

The mighty Gunners rose from the ashes of decimal places…
 
Super Frank Lamparange.

The Ligend of Chelsea.

Fantastic and competitive Coach.

Apewe mkataba wa miaka buku "millennium"

Hakuna mwingine kabisa zaidi ya FL.

Tumeipenda wenyewe Chelsea na tuvimbe tupasuke.

Asepimbi nipeni moyo wa kuvumilia mateso ya Chelsea FC la sivyo nitapasua hii TV hapa kibanda umiza

Tangu 2003 hamkubeba EPL ila mna vitambi kabisa
JamiiForums-1387865150.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Toka ligi inaanza mm niliweka wazi tutagombea ubingwa na vigezo niliweka

Top 4 yangu

Arsenal

Mancity

Newcastle

Astonvilla
Wewe ndio mjinga wa mwisho. Nasema siku zote Newcastle hata Top 4 hatoboi, Spurs anamshisha hapo.
 
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Unachosema inategemaea na uwepo wa Saliba pale nyuma.
 
Wewe ndio mjinga wa mwisho. Nasema siku zote Newcastle hata Top 4 hatoboi, Spurs anamshisha hapo.
Wewe kweli Ni mwehu nimeamini

Newcastle ana consinstency Bora kuliko Spurs

Newcastle ana uwezo wa kushinda mechi hata 3 mfululizo ndio maana yupo top 4 muda mrefu


Spurs na Manjesta ndio mgombanie top 4 maana hamueleweki
 
Haya shime wana Arsenal, kila mtu kwa dini yake na matunguri yake, hatuna muda wa kulemaa, hatuna mbinu mbadala isipokuwa kumfunga MAN CITY kwake.

Tutakuwa tumemvunja guu, hatokuwa na hiki kimuhe muhe tena..., Sahivi wanakimbia kama hawana akili nzuri
Nasema hivi, City anashinda mechi zote zilizobakia kwenye EPL na UCL
 
Back
Top Bottom