hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,250
- 26,641
Leicester kiande ,ligi inaanza hapa Kama mnakumbuka walipomuuza GK Schmichael , nilisema watashuka darajaHuu ubingwa msimu huu sijui............ City moto anao mpelekea Leicester si wakitoto.
Pia Soton walipomuuza Forster ,na kwenda kununua watoto wa mancity ,
Kama mlikuwa makini ligi inaanza Arsenal toka pre season alionekana atagombea ubingwa
Leicester ,Soton watashuka daraja
Liverpool sababu ya age ya kikos alikuwa na 50/50 kugombea ubingwa
Chelsea alionesha atapitia Hali ngumu






️