Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.

Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.

Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?

Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.

Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.

Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?
Umeandika vizuri sana ila sentensi ya mwisho umeharibu kila kitu. Makocha wakubwa wenye CV za uhakika wako dunia nzima, unasema hakuna replacement ya arteta? Castr
 
Umeandika vizuri sana ila sentensi ya mwisho umeharibu kila kitu. Makocha wakubwa wenye CV za uhakika wako dunia nzima, unasema hakuna replacement ya arteta? Castr
Bayern wamemchukua Tuchel ana CV fresh ya CL trophy ona nini kinaendelea.

Bayern pia ikamchukua Nagelsman exciting prospect ona walipofika naye.

Spurs went with Conte. Experienced coach ona alipowafikisha.

Liva wapo na Klopp na wanapambana wawepo Europa.

Point yangu ni kwamba Arsenal ilipo na iliyenaye ni kocha sahihi kwa sasa.
 
Tumebebwa na bahati kwa muda mkubwa umefika muda wa sisi kujibeba wenyewe tumeshindwa kumaintain. Najaribu angalia Arteta kakosea wapi na ninabaki kwenye kusema labda ameshindwa kuizamisha winning mentality kwa wachezaji.

Nimesema labda kwakua kwenye game dhidi ya southampton baada ya kufungwa goli la pili Zinchenko akawaita wenzake. Game dhidi ya Westham baada ya Saka kukosa penat alikuja kuomba msamaha na kuahidi kujirekebisha.

Am simply saying mentality is there. Pengine haipo kwa 100% but its there. Tatizo lipo hapa Odegaard lwa game ya jana na iliyopita alikua hovyo kwanini hatolewi? Swali laweza kua akitolewa ataingia nani?

Sisi kutokuepo kwenye mashindano mengi siyo sifa nzuri it simply means hatuna kikosi kinachofanania uwezo kinachoweza shindana kwenye ligi na huko kwingine. Same na liva ilivyokua kisha kocha wao akaclaim hawadeal na trophies ndogo.

Katika games hizi nne with proper game planning tungenyanyuka na points nane. Westham na Southampton ni must win games, Liva double chance kwa city ni kuja kupaki basi.

Anyway, assume Arteta anaondolewa leo nani atakua mtu sahihi kuja pale?
Nadhani atakuja Julio kiwelu
 
MAKONDOO bado yamelala. Hahah!
images (11).jpeg
 
Ligi ya msimu huu timu nyingi zilianza kwa kusuasua sana kasoro Aseno tu
Hadi kufika robo ya tatu ya msimu timu nyingi zikawa zimekwisha jitafuta na kujipata, hapo sasa Aseno akaanza kukutana na uhalisia wa Epl

Mara nyingi sana epl ikianza zile top 6 huwa haiangushi point kizembe laki mwaka huu sio Liva au Man city wala Chelsea na hata spurs na man u zote zilikua na in and out nyingi zilizofanya Aseno kuonekana bora sana

Mimi naamini ni mazingira ya epl kwa vigogo wengi kuanza vibaya ndio kulimpa Aseno nafasi ya ku shine
Ukumbuke pia msimu huu uliingiliwa na World Cup, kwa hiyo mastaa wengi walikuwa wanawaza huko wakampa assannal chance ya kukimbiza. SASA MASTAA WAMERUDI.
 
Arsenyani walijazana ujinga wakajisahau wakaanza kejeli na matusi hata kwa timu iliyoshinda kombe msimu huu wakiamini watabeba EPL, matokeo yake wanamaliza msimu trophyless!!! 😁
 
Bayern wamemchukua Tuchel ana CV fresh ya CL trophy ona nini kinaendelea.

Bayern pia ikamchukua Nagelsman exciting prospect ona walipofika naye.

Spurs went with Conte. Experienced coach ona alipowafikisha.

Liva wapo na Klopp na wanapambana wawepo Europa.

Point yangu ni kwamba Arsenal ilipo na iliyenaye ni kocha sahihi kwa sasa.
Sentensi yako ya mwisho mara zote ndio huwa inakuangusha. Kama bodi ya assanal wana akili kama hii mmekwisha. "Tusibadili kocha kwa kuwa Bayern wamebadili na wamefeli"
 
Bayern wamemchukua Tuchel ana CV fresh ya CL trophy ona nini kinaendelea.

Bayern pia ikamchukua Nagelsman exciting prospect ona walipofika naye.

Spurs went with Conte. Experienced coach ona alipowafikisha.

Liva wapo na Klopp na wanapambana wawepo Europa.

Point yangu ni kwamba Arsenal ilipo na iliyenaye ni kocha sahihi kwa sasa.

Arteta is equally smarter as pep, hata pep hakipewa kikosi cha arsenal hawezi kushinda EPL.
Pep ana cv nzur kwa sababu he never manages team owned by misers
 
Naaam,naaamini watu wenye low vision ya mpira wataangalia ubora wa arteta as a coach.watahoji experience ya coach kwenye title race and his decision making before and within game.wote wako sawa.

Ila tu naomba niwaaambie kwamba arteta na timu yake nzima walijua kwamba hawachukui ubingwa labda maajabu yatokee kama yaliyotaka kutokea .
Kwa mtazamo wangu msimu huu arteta na timu yake msimu huu walikuwa wanatengeneza image ya club ili kuvutia wachezaji ambao ni first class.
Alichotuzid city ni class ya wachezaji ila sisi kuna muda tulimzidi fomu tu.never hatujaweza kumzidi mancity class ya wachezaji.

Image ya timu kwa miaka karibu 7-10 ilikuwa imeharibika na ilipoteza mvuto kwa investors na wachezaji.arteta na edu wame reclaim sura ya timu.what next?.
Ni muda wa kupata quality players hasa na sio squad players tu.lazima tupunguze saana squad players, wachezaji kama vieira,nelson,smith rowe,lokonga,nketiah,holding,kiwior,jorginho nk ni squad players tu.hubebi ubingwa na hawa watu.watakusaidia kwenye baadhi ya tournaments tena at low level ila ikifika knockout stage kwa uingereza hawana msaada.UZA WOTE HAWA.
sija panick hata kidogo I saw it coming jana,kufungwa kulikuwepo tu.


Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted
 
Wakulaumiwa ni hamis77 kawajaza ujinga mashabiki wenzie humu halafu yeye kawakimbia.

Poor hamis77
Yan huyu jamaa ukikuta kwny majukwaa ya wenzie anavoielezea Arsenal.. Kama ww hauangalii mpr unaweza dhan anaongelea team ambayo ni htr sana kuwah kutokea kwny uso wa dunia .

Saivi aliko huyu jamaa hamis77 ni Mungu pekee na cabinet yake ndo wanajua na wanaweza kumpata na kumtoa huko.
 
Naaam,naaamini watu wenye low vision ya mpira wataangalia ubora wa arteta as a coach.watahoji experience ya coach kwenye title race and his decision making before and within game.wote wako sawa.

Ila tu naomba niwaaambie kwamba arteta na timu yake nzima walijua kwamba hawachukui ubingwa labda maajabu yatokee kama yaliyotaka kutokea .
Kwa mtazamo wangu msimu huu arteta na timu yake msimu huu walikuwa wanatengeneza image ya club ili kuvutia wachezaji ambao ni first class.
Alichotuzid city ni class ya wachezaji ila sisi kuna muda tulimzidi fomu tu.never hatujaweza kumzidi mancity class ya wachezaji.

Image ya timu kwa miaka karibu 7-10 ilikuwa imeharibika na ilipoteza mvuto kwa investors na wachezaji.arteta na edu wame reclaim sura ya timu.what next?.
Ni muda wa kupata quality players hasa na sio squad players tu.lazima tupunguze saana squad players, wachezaji kama vieira,nelson,smith rowe,lokonga,nketiah,holding,kiwior,jorginho nk ni squad players tu.hubebi ubingwa na hawa watu.watakusaidia kwenye baadhi ya tournaments tena at low level ila ikifika knockout stage kwa uingereza hawana msaada.UZA WOTE HAWA.
sija panick hata kidogo I saw it coming jana,kufungwa kulikuwepo tu.


Lastly tunahitaji wachezaji katili,wagumu,wenye roho mbaya,dedicated na selflly motivated ILA technically and tactically gifted
Huko sahihi.. Punguzeni kununua wachezaj kama mafungu ya nyanya.. Wekeni hela anayetoka na anayeingia isiwe Mbingu na Ardhi.

Ubingwa hauna ujanja ujanja kwmb utabahatisha tu ubebe wakt kuna watu serious wamewekeza na wako makini na kazi zao.. Mnakoelekea ni kuzr lkn ss badilikeni kama mnatk kubeba makombe ya maana sasa.
 
Back
Top Bottom