Tumetembeza vipigo kwa timu nyingi mpaka zimekua haters siku hizi zote zinashangilia Arsenal ikiwa inastruggle.
Nafikiri imekua haraka sisi kutengeneza haters wengi kwa mara moja huku tukiwa hatuna 100% quality. Tuwe tunabeba hoja za msingi hoja za city ana mashindano mengi ni za kimiyeyusho.
Bado tunaweza kugeuza kitu labda. We'll show great character kama tutafanya hivyo
Nafikiri imekua haraka sisi kutengeneza haters wengi kwa mara moja huku tukiwa hatuna 100% quality. Tuwe tunabeba hoja za msingi hoja za city ana mashindano mengi ni za kimiyeyusho.
Bado tunaweza kugeuza kitu labda. We'll show great character kama tutafanya hivyo




