Mkuu haina haja kutukana, hawa Arsenyani watani zetu, hivyo twende nao tu mdogomdogo mpaka ligi inaisha halafu kombe anakabidhiwa City tuwaulize kiko wapi wanachotutambia?
*Mara yao ya mwisho kuchukua Epl ni mwaka 2003, miaka zaidi ya 20 wamekua ni wasindikizaji.
*Wana miaka zaidi ya 8 hawajawahi kuingia kwenye top4 ya Epl, yaani wana miaka zaidi ya 8 hawajashiriki Uefa.
*Tokea dunia kuumbwa hadi hii leo hawajawahi kubeba Uefa Cup .
*Tokea Adamu anateremshwa mbinguni hadi leo hii hawa wahuni hawajawahi hata kushika tu Europa Cup.
Hizi kima zenyewe zinajijua kabisa kua timu yao ni miongoni mwa zile mid table teams kwenye Epl so zinatumia nguvu nyingi kuCompete na giant teams kama vile Man Utd ili nao walau waonekane.
View attachment 2589174View attachment 2589176View attachment 2589178