Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Haya wakuu siku njema ngoja tuendeleze maisha sehemu nyingine sasa.
Hiyo inaweza kuwa psychological blow kwenye CL.
Kama black americans wanavyosema N***a please!!! spare us this 'we are better' blather.Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee vijana wamecheza vizuri na mpira ulikuwa kama kawa two attacking teams arsenal wanakosa breaks ambazomanure na Chelsick wanapata kutokana na mpunga na bahasha. Vijana walicheza vizuri bali tunam-miss Thomas Vermaelen bila hivyo tungefunga biashara zamani still games to play for.
Chali ipi mkuu? labda hufahamu EPL karibu sana tulikuwa kwenye derby tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Kila timu ina chance wewe kila moja ina mechi 38 ingawaje wengine wanategemea bahasha zaidi ... ..... khe khe kheeeeeeeeeeee
Kwa mpira upi ule wa jana sahauni khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
khe khe kheeeeeeeeeeeeeee inaonyesha jinsi vidonge ninavyowapa vinafanya kazi kiasi gani khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia mmeona mwezi leo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacha ngebe wewe, tulikuwa kwenye derby anything can happen still a lota to play for khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Heheh jioni njema babu, tusubirie NBA Playoffs sasa.Haya wakuu siku njema ngoja tuendeleze maisha sehemu nyingine sasa.
Penati hiooooo kama kawaida yetu
Kama black americans wanavyosema N***a please!!! spare us this 'we are better' blather.
Nyumba hii salama? maana mara ya mwisho kuepo hapa soga zilizokuwa zikipigwa zilikuwa za quadruple..vipi maendeleo?lol
What happened to 'In Wenger We Trust', seems a pure comedian to me..only two EPL wins since Feb 12..lol.Umerudi kabla ya kutangaza timu yako unayoshabikia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tatizo la Arsenal ni nini jamani? tukishafunga tunalegea au??? i don't get it....i just don't!! fed up with same crap!!
mpira dakika 90 ndugu yangu....sisi hata sekunde tu watu waweza sawazisha manne....l.o.l
ukuta wetu wa neti sana..... unavuja mpk kero....... hawa jamaa watarudisha........
Ngoja sasa nikachume fimbo ya mpera watanitambua leo hawa watoto wa Wenger.
Kweli Ng'ombe wa masikini hazai..... na Akizaa Dume.... na Dume lenyewe laweza kuwa Shoga......... Timu haina uwezo wa kutunza ushindi??????? Annnnggrrrrrrr!!!! It sucks
Mie hapa nashindwa ku-balance furaha na uzuni nimebaki na homa. naona mwili temp imeshapanda.
Waliongeza dakika nne mkuu lol.
Tatizo liko wapi sijui, Wilshereatakuja kusaidia kukaba siju.Nimechanganyikiwa hapa.
it pains sana kaka...... Sijui wana nini tu!!!!!
...Acha tu kaka, huyu mgonjwa wetu mbishi kunywa dawa, akipata nafuu hafuati ushauri wa dakitari.
Uwezekanao wa kutokea hilo, au hata kupoteza game wala haitokuwa ajabu kwangu.
Nishakuwa sugu sasa.
noma sana mkuu, nimeshamaliza chupa mbili za maji hapa.
Kwenye el clasico nitajiunga baada ya game yangu hapa.
..hili ni balaa!
same old arsenal
I am tunning to SPAIN ........ Stupid Arsenal...... mnaudhi sana.....................
"You have to make a decision: either go and win, or develop players." - Fabregas.
Mie hapa nipo hoi, utasema adhabu kushangilia vijana wa wenger.
...hayasemeki mkuu. Msimamo wa ligi mpaka sasa
1. Man United
2. Chelsea.
3. Arsenal
...najiskia kama nichukue likizo jukwaa hili mpaka August, msimu ujao!
Mie ni mshabiki wa Arsenal, nimeangalia yale magoli yanavyorudi nikaona mtu unaweza kuzimika ghafla. Ukweli watu hawawezi kubadilisha timu, ila kuwa mpenzi wa Arsenal inahitaji moyo saana. Leo nimeamua kucomment maana kila siku huwa nachungulia halafu naugulia maumivu. Hata leo Arsenal hawa hawatashinda. Yaani itakuwa ni kuokota point moja moja mpaka ligi inaisha. Threat kwa MAN U ni Chelsea peke yake na si Arsenal. Ngoja niendelee na Spain kwanza. Afya muhim
....I predict huu ndio msimu wa mwisho wa Arsene Wenger.
Nahisi hata sign Contract kuendelea. Baada ya Game ya leo matusi
ya mashabiki kuelekea kwake yatazidi maradufu!
...Truth Hurts, lakini ukweli ndio huo.
Suala sio wachezaji, tactics pia zinachangia.
Well,...
....pamoja wakuu. Nilikuwepo!
Noma sana mkuu, haiwezekani kila siku tunapoteza mechi kwa style hile hile. Wenger sio mkali kwa wachezaji wake kutwa anawapa sifa hata wakiboronga na ndio maana hawajitumi wanaendelea vile vile tu.
Acha tu bana! Ngoja nifuatilie hobby nyingine mpaka August, msimu mpya.
wenger bora aondoke amezidi kutuumiza mioyo yetu kwa ubahili wake,man u naipa nafac kubwa ya kutwaa ubingwa,arsenal nimewatoa wao kupata ubingwa nisawa na ngamia kupita ktk tundu la sindano,inauma sana.
Sintoweza kuisahau siku ya leo.Asanteni wanajamvi kwa kuwa pamoja tujiandae na msimu ujao.
Nimechoka na Arsenal hata sijui nifanyeje, nimegundua kwanini jamaa wanajiua. Siyo siri kuipenda hii timu kumenifanya mtumwa na mgonjwa. Nashindwa kujua tatizo letu liko wapo, wachezaji au kocha. Nadhani tunahitaji ufundi mwingine , wa huyu mzee umekuwa obsolete kama antivirus isiyo updatiwa!
Yote tisa kumi kushangilia na kufurahia ball possession ni kama kuwa na mbwa asiye na meno! I'sorry but i must say it we no longer need wenger as our manager! Huku mtu akikuambia You are becoming an arsenal manake you are a loser. Inaniuma mpaka basi!
Kila mwaka sio wetu tu, uzembe umezidi kuanzia kocha mpaka wachezaji.
mchanganyiko wa wageni wa kila siku ambao hata hawajitumi wala nini.
...aaah, am not convinced bana.
Tatizo ni la kiufundi zaidi. Arsenal is too predictable.
Kila team sasa weshajua jinsi ya kuwazuia Arsenal, ...hata wakitangulia kufunga, wana uhakika wa kusawazisha.
There's no psychologic resilience in this team, na hiyo haiji kwa Experience, ... ni mbinu za kiufundi za manager!
Check Mourinho anavyoweza mould hiyo kitu kwa kila team anayofundisha.
Mpaka Redknapp amefaulu kuwapa kichwa ngumu Spurs msimu huu...
Noma mkuu, sasa Wenger sijui atasema nini manake mwanzo kwake 2nd position ilikuwa mafanikio kwake .
Haya mambo ya kila mwaka kushika nafasi ya nne halafu tunajiita timu kubwa hata sikubaliani nayo Hapa ndipo ninapomtamani Abramovich angeshamtimua huyu mfaransa kudadadadaddeki. Ngoja niishie hapa manake nkiendelea tu robot atanifungia kwani haki ya mungu natamani wenga na wale watoto wangekuwa beaks za gari ningeliendesha spidi kisha nakaba break na naongeza moto ili wachemke kama breaks za treni. Nakumbuka baba alipenda kutumia hili neneo "Shwaini"! leo limwendee Wenger na vitoto vyake!
It is not acceptable to have poor performance for more than 5 years now...:angry: something must be done asap in order to rectify this situation.
What happened to 'In Wenger We Trust', seems a pure comedian to me..only two EPL wins since Feb 12..lol.
BTW, 'khe khe khe' ndio ni gani? hebu tufafanulie kidooogo.
Nimeyapenda haya maelezo ya Fab,inaonekana yuko mbioni kutimukia huko atakako.
Fabregas said: "There will be a moment when you have to decide - do you win things or not?
"Since 2007 I have started to say 'We don't win but we play very well'. And after that you realise that it doesn't work.
"You cannot make the final step and it is here where a decision has to be made - to go out to win or to develop players."
Ha ha ha waliondoka kila Thiery Henry,Vieira,Adebayor,Toure,Flamin,Hleb na wengineo lakini bado Arsenal iko pale pale.Akiondoka Arsenal isahau top four, maana no one will fear them anymore.
Ha ha ha waliondoka kila Thiery Henry,Vieira,Adebayor,Toure,Flamin,Hleb na wengineo lakini bado Arsenal iko pale pale.
Ningependelea Wenger abadilishe style,anatakiwa ku introduce 4-4-2 with either Chamakh or Bendtner partnering van Persie up front.By starting either of Chamakh or Bendtner, Wenger creates a player that can be targeted within the box and he creates a physical presence in the box.Kila mwaka sio wetu tu, uzembe umezidi kuanzia kocha mpaka wachezaji.
mchanganyiko wa wageni wa kila siku ambao hata hawajitumi wala nini.
Mkuu unataka kutuambia kuwa tangubwameondoka hao wachezaji mmepata mafanikio zaidi?Ha ha ha waliondoka kila Thiery Henry,Vieira,Adebayor,Toure,Flamin,Hleb na wengineo lakini bado Arsenal iko pale pale.
Kumuuza Adebayor na kumnunua Maruhani Samaki wewe unaona ni upgrade? Trust me wachezaji wengi wa Arsenal wanaona timu inabalance Cesc akiwepo. He is the only intelligent player in Arsenal midfield. Nasri is useless kama alivo Wilshere, Walcott na lazy ass Arshavin.Ha ha ha waliondoka kila Thiery Henry,Vieira,Adebayor,Toure,Flamin,Hleb na wengineo lakini bado Arsenal iko pale pale.