Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rafael-Van-der-Vaart-Tottenham-Hotspur-Premie_2587923.jpg

Wojciech-Szczesny-Tottenham-Arsenal-Premier-L_2587938.jpg
 
Tunakwenda 30 minutes extra time, what a footy fest! Come on Los Blancos!
 
Hehehe Wenger on Sky Sports HD 1 'It's not over, we will fight on' kama kawaida analalamikia uchovu 'two big games in three days', Liverpool ilikuwa imejazaa fringe players huwezi kusema ilikuwa tough.
"Mental strength of the team has been outstanding" C'mon Wenger your own captain criticized the team's mentality.



Wenger is deluded!
 
Duuuh! Sijawahi kumwona Di Maria anapiga kazi namna hii, kweli Jose kifaa!
 
Mourhino noma sana. na anauwezo mkubwa wa kuwatoa champions league, sio Wenger anarudia makosa yale yale kila siku lol.
Barca naona wamepeleka kila mtu mbele, Adebayor na Ronaldo wamemiss kubury the game.
Angel Di Maria anapata kadi nyekundu dakika ya mwisho.
 
Mhhhh! Real wanabaki 10...Di Maria anapewa kadi nyekundu
 
Ilo goli linanikumbusha UCL final 2008....
Ila jamani Mourinho ni tactician mzuri sana dah!! Alijifunza kutoka kwenye 5-0 defeat.

Mourhino noma sana. na anauwezo mkubwa wa kuwatoa champions league, sio Wenger anarudia makosa yale yale kila siku lol.


Jose doesn't play sexy footy, but knows the tactics and he is the winners!

Real Madrid won it!
 
So sorry Arsenal fans, I feel you all!...ni mpira tu, life inaendelea!!

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee vijana wamecheza vizuri na mpira ulikuwa kama kawa two attacking teams arsenal wanakosa breaks ambazomanure na Chelsick wanapata kutokana na mpunga na bahasha. Vijana walicheza vizuri bali tunam-miss Thomas Vermaelen bila hivyo tungefunga biashara zamani still games to play for.

chekechea leo tena chali , lol

Chali ipi mkuu? labda hufahamu EPL karibu sana tulikuwa kwenye derby tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

Mwaka sio wenu huu lakini mliikuwa naa chance sana kama mngetumia vizuri

Kila timu ina chance wewe kila moja ina mechi 38 ingawaje wengine wanategemea bahasha zaidi ... ..... khe khe kheeeeeeeeeeee

Mkuu usikate tamaa mpira bado sana.........Kuna mechi kadhaa zinakuja ila MAN U tunakuja kuchukua kikombe uwanjani kwenu!

Kwa mpira upi ule wa jana sahauni khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Siyo yeye huyo, Wacha1 anaweza kula vidonge yule kama Omondi, sio kulia tu.

khe khe kheeeeeeeeeeeeeee inaonyesha jinsi vidonge ninavyowapa vinafanya kazi kiasi gani khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia mmeona mwezi leo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hahah nimemuona Wacha1 uwanjani, mmemuona huyo jamaa mwenye jezi ya njano ya Arsenal alikuwa anafuta machozi?

Wacha ngebe wewe, tulikuwa kwenye derby anything can happen still a lota to play for khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom