City imebebwa na Pep Guardiola hata ukiangalia Pep kaiacha ikiwa haipo kwenye ubora Sasa Enzo Maresca anakazi ya kuisuka mpya na ndio maana Mimi sipo kuipa nafasi kabisa msimu huu ni vile tu watu wamekaririWaungane tena kama miaka yote watafute wa kutuzuia maana huyu city atakula bakora mwanzo mwisho