Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
It is not acceptable to have poor performance for more than 5 years now...:angry: something must be done asap in order to rectify this situation.
...aha ha, pole bro....inauma sana. Eti wahenga walisema, "asiyekubali kushindwa!"
anyway, tuendelee kujivunia sexy futiboli, top 4 na over 10yrs CL place...
Namuonea huruma AW, hivi kila baada ya mechi na kuwaudhi mamilioni ya Arsenal fans all over the world, analala kwa amani kweli? Wachezaji waaala hawajali, utawaona na updates zao kwenye twitter, oooh, relaxing, chilling, bla....blah, blah!
he he he.
Kumuuza Adebayor na kumnunua Maruhani Samaki wewe unaona ni upgrade? Trust me wachezaji wengi wa Arsenal wanaona timu inabalance Cesc akiwepo. He is the only intelligent player in Arsenal midfield. Nasri is useless kama alivo Wilshere, Walcott na lazy ass Arshavin.
....duuuhh, ha ha ha....hilo jina limenichekesha sana!
Asante sana AW kwa kunfanyie fitna Dowans waondoe stima kwangu, iwanje mtaa mzima kwangu tu ndo hakuna umeme?
Asante sana Mbu, Quest, BBK na first lady wenu Michelle kwa kumhudumia marehemu wetu Assholes hadi anatoka wodin to mochwar....
Belo alishwaambia, nafasi yenu ni ya 3, so, mmerud kwenye nafasi yenu...kwa hili mnahitaji pongezi, na makofi ya nguvu matatu...
Peasant ana kamsemo kake...we will finish above you...hahahaha! kuanzia leo namwita Peaaaaaa The Sheihk The Yahyaaaaa's....lol
Anko Wacha1 ngoma ya kitoto haikeshi, tunakusubir kwa hamu apa jamvini uje na longolongo.
BTW Questt hujajiMKwawa kwel kaka?
Hahahahahah! khekheeeeeee! kheeeeeeeeeeeeeee!
...eeehhh? Manda uwe unalipa LUKU bana,
acha kuwadanganya wanao eti kina Mbu wanakuloga!
Mnh, Questt nilimuonya na mapeeema, I hope he's ok.
heri ya Michelle aliyeaga na mapeeema, sie tulijifanya ngangari
kumpa matumaini mgonjwa ilhali mashine ya kupumulia Peasant alishaihujumu switchi!
he he he!