Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

...jamaa mnachonga sana nyie,

images



...We Are The Gunners, Together We Stand!
Stay tuned!

We will be back!!!
 
Khe khe kheeeeeee nani ananitafuta (huwezi kunitafuta kwenye mfuko wako kwani tulikuwa na miadi?) Mimi nakwambia nawanyima wakuda wengi tu hapa usingizi hawajui kwamba hii ni game na katika ushindani kama hujui kufungwa basi wewe sio mshindani, wewe angalia media yote inaongelea Arsenal hawasemi kitu kuhusu Spurs wala manure au mafioso team ni Arsenal or Wenger kwa kwenda mbele hiyo tu inaashiria chichi ni bab-kubwa na wataendelea kukonda maana vitu vikali viko njiani ndio chababu wanaweweseka na sie khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee karibu sana .

Kama kawa Mungiki Brother et al in the house plus all other losers nimewapa sherehe hadi weekend utaona watapotea kama uyoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hata yule mshabiki bandia anayeshabikia timu za vichochoroni alionekana jana akiwanga wakati watu wamelala khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati anajiita Abduhalimi chijui ndio nini?

Bwana eeh utasema sana lakini mnalo ndugu yangu...media inawaongelea sana kwa ajili mmezidi kusindika ligi bila dalili za trophies!!..
Presha uliyonayo mwilini haikutoshi mpaka ushabikie Arsenal?? job tru tru!! pia kwa kujifagilia siwawezi, kweli mnajua kujipa moyo wakati hamna matumaini hata kidogo!!!
Haya Easter njema..ukipata uzi wa Walcott nishtue, atleast nimvae!! lol
 
[
Namuonea huruma AW, hivi kila baada ya mechi na kuwaudhi mamilioni ya Arsenal fans all over the world, analala kwa amani kweli? Wachezaji waaala hawajali, utawaona na updates zao kwenye twitter, oooh, relaxing, chilling,
Arsene Wenger has called on Arsenal fans not to lose faith as the Gunners look to salvage their season by delivering the Barclays Premier League crown.
He added: "Hopefully they keep cheering us and keep the morale as well because we have to support each other now in that final part of the season, because it is a vital part."
The Gunners boss accepts his job is to keep the players positive at their Hertfordshire training base.
 
Acheni kulalamika, jumamosi na jumanne mliegesha kwenye jukwaa letu jana na leo tunaegesha hapa....weekend ikifika kama kuna kilio kwingine tunahamisha kambi.
 
Acheni kulalamika, jumamosi na jumanne mliegesha kwenye jukwaa letu jana na leo tunaegesha hapa....weekend ikifika kama kuna kilio kwingine tunahamisha kambi.


ha ha ha. mateso kwa zamu!...msiba wa wengi harusi.
Si Man U wala Arsenal anayeweza jivunia lolote wiki hii, angalau Chelsea ana cha kujivunia!
 
ha ha ha. mateso kwa zamu!...msiba wa wengi harusi.
Si Man U wala Arsenal anayeweza jivunia lolote wiki hii, angalau Chelsea ana cha kujivunia!
Mkuu we acha tu... Hii ligi inatuweka roho juu sana.
 
Wee Peasant nduguyo Wacha1 yu wapi?
Mwenye info zake tafadhal anai PM.

Kheeeekheeeeee! kheeeeeee!

We Manda we nani kakwambia mimi nina undugu na mafioso? Coward Peasant huwaoni dugu zake anaokenua nao kina Eqlypz na yule kikojozi siku hizi anajiita padri Masa. Hivi leo hawalali maana Bundi ameanza kufanya fujo pale kwenye Cowshed sasa wanajaribu kumpeleka Cash Cole pamoja na Mungiki Brother wajaribu kumuwinda kabla ya mpambano wao wakati wa weekend maana wanafahamu nini kitatokea wasipompata. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mungiki Brother kajitolea maana matanga yakianza inabidi arudi Kibera na kule kama unavyojua hakuna vyoo (flying toilet kama kawa) wala umeme chacha hawezi kuingia JF na picha zake khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha1
Welcome Back anko, nilikumiss....khekheeeeeee! vipi, ubingwa wa EPL mnatangaza lini?
 
Wacha1
Welcome Back anko, nilikumiss....khekheeeeeee! vipi, ubingwa wa EPL mnatangaza lini?

Mkuu Chelsick walitangaza ubingwa November last year nyinyi Manure mlitangaza mwezi wa pili sisi tunasubiri May hapo ndipo mtajua zipi ni mbivu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee Si unajua mwenyewe anayecheka mwisho ndio anafaidi! Nimeona wakuda wa Chelsick wamefufuka kama uyoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu Chelsick walitangaza ubingwa November last year nyinyi Manure mlitangaza mwezi wa pili sisi tunasubiri May hapo ndipo mtajua zipi ni mbivu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee Si unajua mwenyewe anayecheka mwisho ndio anafaidi! Nimeona wakuda wa Chelsick wamefufuka kama uyoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Tulitangaza ama media kama kawaida yao ndio ilitangaza? A'fu speaking of February nyie ndio mlianza kutangaza sijui Quadruple (Samir Nasri and co baada ya kuwatoa Leeds emphatically), mkasema mnaanza na Carling Cup and whatnot.
splash-arse_1233594a.jpg


"We want to go for every single competition. How far will we go? I personally believe we can go in every competition to the end. But we can as well stop very quickly." Arsene Wenger

“Of course we can win all four trophies.” - Samir Nasri
 
mkuu hii ndio ilikuwa ARSENAL!!! yenye nidhamu uwanjani...! arsenal hii ndiyo iliyomo ndani ya guinness book 49 matches without a defeat Arsenal nakumbuka ndiyo ilimchakaza inter ndani ya san siro goli 5!! .. ! wenger amekosea nini? au anakosa nini? wakati yeye ndiye aliye kuwa kocha wa arsenal hii ya zamani...

74_invincibles_682x_965618a.jpg
 
Nahodha wa Arsenal Cesc Fabregas amesema kukosekana kwa ari ya ushindi kumesababisha klabu hiyo kukosa vikombe tangu mwaka 2005.

Fabregas pia anaamini meneja Arsene Wenger kama angekuwa anafundisha soka Hispania, huenda angekwishafukuzwa kazi.

"Kwangu mimi, tunakosa ari ya ushindi, pia kukomaa katika kukabiliana na hali ngumu. Tunao wachezaji wengi wenye vipaji, lakini wanakosa kujiamini," alisema.

Arsenal inakabiliana na Tottenham siku ya Jumatano katika mchezo ambao utaamua hatma yao ya kuweka hai tamaa ya kubeba ubingwa msimu huu wa Ligi Kuu ya England.

Matokeo yoyote zaidi ya ushindi kwa kikosi cha Wenger katika uwanja wa White Hart Lane, kutathibitisha mbio za kunyakuwa kombe zitakuwa zimefikia ukingoni kwa msimu wa sita mfululilizo.

Fabregas amelieleza gazeti la Hispania la Don Balon: "Kuanzia mwaka 2007 nilikwishaanza kusema hatushindi, lakini tunacheza vizuri. Na sasa unashuhudia ukweli.

"Tatizo ni kwamba timu inahitaji kushinda kitu na ndio maana ilikuwa muhimu kushinda mchezo wa fainali ya Kombe la Carling, pale tulipofungwa 2-1 na Birmingham katika mchezo wa fainali.

"Unatakiwa uamue: ama ucheze na ushinde, au ukuze wachezaji."

Na Fabregas anaamini meneja wa Arsenal, Wenger angekabiliwa na chagizo kubwa nchini Hispania ili alete kikombe.


BBC Swahili - Habari - Fabregas: Arsenal inakosa ari ya ushindi
 
Aya ayaaa...majirani na watani zangu...nikutakieni sikukuu njema ya Pasaka...najua mmenuna lakini ndo mpira huo...tukaribishane 'mnuso' huo wajameni.
 
:rant::rant::rant:...
Arsène Wenger has revealed he will be in a position to spend big this summer if required.

"Is [that] available? Frankly I don't know," he said. "We have not completely checked out our financial position. The only thing I can say is that the Club is in a healthy financial situation and, if needed, we can make a big transfer."

But while the figures could be large, the number of incoming players will be few.

"No I don't [expect a busy summer] at all," he said. "The team is 23 years-old [on average] so why should we expect to have a huge turnover at the end of the season?"
...mnh,....!!!...pamoja na kwamba hiki 'kizungu' hakihitaji uwe umekwenda shule au la, lakini nadhani sijamuelewa vizuri huyu mzee. "If" maana yake nini?
 
Bingwa atajulikana 30.4.2011 mechi baina ya man u na wenger boys atakaeshinda ndie atakua anaukaribia ubingwa
 
Back
Top Bottom