Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
....I predict huu ndio msimu wa mwisho wa Arsene Wenger.
Nahisi hata sign Contract kuendelea. Baada ya Game ya leo matusi
ya mashabiki kuelekea kwake yatazidi maradufu!
Noma sana mkuu, haiwezekani kila siku tunapoteza mechi kwa style hile hile. Wenger sio mkali kwa wachezaji wake kutwa anawapa sifa hata wakiboronga na ndio maana hawajitumi wanaendelea vile vile tu.