Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
not true
Nyani haoni ......... mechi alizokosa ni za kadi nyekundu zake za kila siku.
not true
tayari chelsea ana 1 huko so mkipigwa tu mnarudi kwenye nafasi yenu ya 3
mpira dakika 90 ndugu yangu....sisi hata sekunde tu watu waweza sawazisha manne....l.o.lHAHHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA..................NASRIIIIIIIIIIIIIII.....hawatoki hii game.....
Agrrrrrrrrrr......! yamekata umeme uku kwetu....
Agrrrrrrrrrr......! yamekata umeme uku kwetu....
tayari chelsea ana 1 huko so mkipigwa tu mnarudi kwenye nafasi yenu ya 3
-Good!2-0 mpaka sasa, kalou kapiga bonge ya bao....game on!
Beki yetu tukiongoza inachanganyikiwa bila sababu, noma sana tunaitaji kiongozi kule nyuma wa kuwapiga wenzake makwenzi.
duuuuuuh walcot bado kidogo tu.
ukuta wetu wa neti sana..... unavuja mpk kero....... hawa jamaa watarudisha........